Full Time: Tanzania 1 - 0 Guinea | 2025 AFCON Qualifier | Estadio Benjamin Mkapa | 19.11.2024

Full Time: Tanzania 1 - 0 Guinea | 2025 AFCON Qualifier | Estadio Benjamin Mkapa | 19.11.2024

Samia ndio kaleta Afcon

Samia ndio amekuwa anawpa ndege kusafiri Taifa stars

Samia ndio amekuwa anawatia moto sio tuu Taifa stars Bali Timu zote zinazoshieiki mashindano Kimataifa.

Samia amekuwa akiwapa pesa walifanya vizuri

Wewe umefanya kipi Hadi tukudigie badala ya Samia?
Ulivyo Kiazi Pitia Ujinga Ulio uandika
 
Mbona freshi tu rais na chama chake kuhusishwa na mafanikio ya Timu ya Taifa. Stars ishinde tu isije ikawa tunatazama timu za mataifa mengine AFCON wakati nasi tuna timu ya Taifa kuweza kufuzu. Siasa ndivyo zilivyo kujikweza kwenye mazuri yote yanayotokea
 
Mapema kabla ya mechi kuanza
IMG_4300.jpeg
 
Hivi Kelvin P. John mshambuliaji wa fc Aalborg ya denmark hajaitwa kwenye timu ya taifa ya Tanzania
 
Ni afadhali timu ya Tanganyika wafunge goli jioni wataweza kulilinda kuliko kufunga mchana.....itakuwa ngumu kulinda goli hilo.

Mungu ibariki Tanganyika, Mungu wabariki wachezaji wa Tanganyika. Amina..
Ushamchanganya Mungu hapa. Kila akiitafuta Tanganyika uwanjani haioni.
 
Back
Top Bottom