princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
Wachambuzi walikua wanasubiri tusifuzu waanze kukosoa😄😄😄
MUNGU mkubwa nyie tumefuzu ! Iliowachoma na iwachome sana
MUNGU mkubwa nyie tumefuzu ! Iliowachoma na iwachome sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuh! Kufuzu kimagumashi!!? Mbona mpira wa miguu ni mchezo wa wazi na takwimu zipo wazi. Kwa nini awali tulikuwa hatufuzu, mfano, 1990-2000, 2000-2010?Huitaji Kuwa mchambuzi kuweza kujuwa Stars haina kocha ina wasimamizi wa mazoezi tu.
Hatujachelewa sasa serikali hasa huyo mama ajitolee sasa kumlipa mshahara kocha wa viwango aje kufundisha stars.
Huyo Morocco amepata rekodi ya kuboost cv yake lakini tumwambie asante sana timu inahitaji kocha sasa, tumefuzu kimagumashi tu
English gani wanayojua utasikia nani ka eat mkate angu sasa anakuelewa nani dunia hii zaid ya Kenya tuWakenya mbaki na kuongea English
Katika zile hatua za evolution nyani kuwa binadamu, Mtanzania alikomea hatua moja kabla ya kuwa mwanadamu kamili.Wabongo wameshindwa kukaa kimya majukwaani
Kumuelewesha Mbumbumbu utajipa kazi.Kamuambia kocha hajaumia bado anaweza kuendelea, unajua maana ya kugoma?
We jamaa mtu wa mpira kweli? Mbona katoa ishara kwa kocha kwamba yuko fiti na kocha kaelewa. Ile haikuwa sub ya kiufundi ukumbuke.Jameni Wonder kid clement mzize mbona anakuwa taita uwanjani, anagomaje kwenda bench, au hii timu ni ya mzee mzize?
Yeye ni nani.
Kubwa zote kubwa Afrika tunazijua na makombe waliyoshinda tunayajua.ila simba ni kilabu kubwa sana africa
Punguza kula chips yai angalia unazidi kuumuka makalioPunguza kidogo
Kwani wewe sio MdaNGANYIKA!?
Mkuu hiyo hiyo tofauti inayo kufanya uwaone wajinga ndio hiyo hiyo inayowafanya wao kuwa na mtazamo tofauti.Zinapocheza Simba na Yanga kwenye mashindano ya kimataifa utakuta wavimba macho wanazishangilia licha ya timu hizo kuonyesha wazi misimamo yao kisiasa. Linapokuja swala la timu ya Taifa ndio unakuta vinajitokeza kuiponda eti kwa sababu zinauungwa mkono na upande wasioupenda.Logic ya kijinga mno.
Mkuu sio kosa kabisa, wewe mbona unatofautiana nao sasa hivi hapa na hakuna aliye kuambia uhame nchi.Ushindi huu na kufuzu umewaudhi wavimba macho .Hameni Nchi.Ni kosa kuchukia timu ya Taifa lako kwa kutofautiana kisiasa.Tanzania Kwanza.
🤔🤔🤔Katika zile hatua za evolution nyani kuwa binadamu, Mtanzania alikomea hatua moja kabla ya kuwa mwanadamu kamili.
🤣 🤣 🤣ndo tunahesabu hapa
Jinyonge.Nimeumia sana Tanzania kushinda na kufuzu, nimeumia mno. I hate this country from the deepest part of my heart.
Mkuu usiseme hivyo, mpira ni bahati, maandalizi na juhudi.Ubaya hatufiki popote tunaenda kutolewa hata robo hatufiki nasubiri kucheka hahaha
Maneno hayo alikua ananiambia Mzee mmoja mtu mkubwa sana huko kwenye michezo maana anajua wachezaji wa Tanzania walivyo, jana wamekula bingo zaidi ya millioni 700 mezani sasa watapanda dau mfano wakisema ili waende robo basi wawekewe billion 20 kwenye akaunti, mama kizi yupo tayari kuwapa billion 20 ili waende robo? Km jibu ni hapana basi tegemea mwisho ndio hapo qualify unatolewa group stage kupita kwenyewe umepita kwa ndondokela pongezi hizi ni maalumu kwa Rais Dkt.Mkuu usiseme hivyo, mpira ni bahati, maandalizi na juhudi.
Tuwatie moyo na kuwaombea wachezaji na wakufunzi wetu waendelee kufanya vizuri katika mechi zijazo.
Hutapungukiwa na chochote Mkuu.
🙏Maneno hayo alikua ananiambia Mzee mmoja mtu mkubwa sana huko kwenye michezo maana anajua wachezaji wa Tanzania walivyo, jana wamekula bingo zaidi ya millioni 700 mezani sasa watapanda dau mfano wakisema ili waende robo basi wawekewe billion 20 kwenye akaunti, mama kizi yupo tayari kuwapa billion 20 ili waende robo? Km jibu ni hapana basi tegemea mwisho ndio hapo qualify unatolewa group stage kupita kwenyewe umepita kwa ndondokela pongezi hizi ni maalumu kwa Rais Dkt.
Duh.Mama, mama. mama, mama.
SI mfuatiliaji wa masuala ya mpira ila leo tukitandikwa hata goli mbili au tatu hivi nitafurahi sana lazima nipige konyagi ndogo na kitimoto choma kilo moja.
Masuala yanayohusu umoja wa kitaifa yakikabidhishwa kwa mtu au kikundi cha watu wenye itikadi za ki kabila, siasa au dini ni lazima umoja huo upotee. Viva Guinea, viva