Full Time: Tanzania 1 - 0 Guinea | 2025 AFCON Qualifier | Estadio Benjamin Mkapa | 19.11.2024

Full Time: Tanzania 1 - 0 Guinea | 2025 AFCON Qualifier | Estadio Benjamin Mkapa | 19.11.2024

Huitaji Kuwa mchambuzi kuweza kujuwa Stars haina kocha ina wasimamizi wa mazoezi tu.

Hatujachelewa sasa serikali hasa huyo mama ajitolee sasa kumlipa mshahara kocha wa viwango aje kufundisha stars.

Huyo Morocco amepata rekodi ya kuboost cv yake lakini tumwambie asante sana timu inahitaji kocha sasa, tumefuzu kimagumashi tu
Duuh! Kufuzu kimagumashi!!? Mbona mpira wa miguu ni mchezo wa wazi na takwimu zipo wazi. Kwa nini awali tulikuwa hatufuzu, mfano, 1990-2000, 2000-2010?
 
Wanafiki utawajua tu.Mnapoimba nyimbo za kuwasifu Mo na GSM huwa wanavuja jasho?Si wafadhili tu wa kuweka mazingira mazuri timu zishinde?
Sasa kwa nini iwe nongwa kwa Rais wa Nchi Mama Samia kuwapa motisha ili wawakilishe Taifa vizuri?
Kwanini iwaume nyie wanafiki Taifa Stars ikifadhiliwa kwa kupewa Ndege ya Kusafiria na pesa za hongera?
Halafu akisifiwa kwa mafanikio ya Taifa Stars mnanuna ila wakiimbwa kina Mo na GSM mtakimbia mchakamchaka na vifua wazi.
Tanzania Kwanza.Hupendi kajinyonge.
 
Jameni Wonder kid clement mzize mbona anakuwa taita uwanjani, anagomaje kwenda bench, au hii timu ni ya mzee mzize?
Yeye ni nani.
We jamaa mtu wa mpira kweli? Mbona katoa ishara kwa kocha kwamba yuko fiti na kocha kaelewa. Ile haikuwa sub ya kiufundi ukumbuke.
 
Zinapocheza Simba na Yanga kwenye mashindano ya kimataifa utakuta wavimba macho wanazishangilia licha ya timu hizo kuonyesha wazi misimamo yao kisiasa. Linapokuja swala la timu ya Taifa ndio unakuta vinajitokeza kuiponda eti kwa sababu zinauungwa mkono na upande wasioupenda.Logic ya kijinga mno.
Mkuu hiyo hiyo tofauti inayo kufanya uwaone wajinga ndio hiyo hiyo inayowafanya wao kuwa na mtazamo tofauti.

Hiyo ndio siasa unayoiogelea. Ndio maana ikaitwa maji machafu!!!
 
Ushindi huu na kufuzu umewaudhi wavimba macho .Hameni Nchi.Ni kosa kuchukia timu ya Taifa lako kwa kutofautiana kisiasa.Tanzania Kwanza.
Mkuu sio kosa kabisa, wewe mbona unatofautiana nao sasa hivi hapa na hakuna aliye kuambia uhame nchi.

Mkuu huna hati miliki ya nchi hii wala ya mioyo ya watanzania!! Kila mtu anautafsiri uzalendo jinsi apendavyo na jinsi aelewavyo.

Hapa sio kwa kiduku, hata kama ungependa iwe hivyo!!!
 
Ubaya hatufiki popote tunaenda kutolewa hata robo hatufiki nasubiri kucheka hahaha
Mkuu usiseme hivyo, mpira ni bahati, maandalizi na juhudi.

Tuwatie moyo na kuwaombea wachezaji na wakufunzi wetu waendelee kufanya vizuri katika mechi zijazo.

Hutapungukiwa na chochote Mkuu.
 
Mkuu usiseme hivyo, mpira ni bahati, maandalizi na juhudi.

Tuwatie moyo na kuwaombea wachezaji na wakufunzi wetu waendelee kufanya vizuri katika mechi zijazo.

Hutapungukiwa na chochote Mkuu.
Maneno hayo alikua ananiambia Mzee mmoja mtu mkubwa sana huko kwenye michezo maana anajua wachezaji wa Tanzania walivyo, jana wamekula bingo zaidi ya millioni 700 mezani sasa watapanda dau mfano wakisema ili waende robo basi wawekewe billion 20 kwenye akaunti, mama kizi yupo tayari kuwapa billion 20 ili waende robo? Km jibu ni hapana basi tegemea mwisho ndio hapo qualify unatolewa group stage kupita kwenyewe umepita kwa ndondokela pongezi hizi ni maalumu kwa Rais Dkt.
 
Maneno hayo alikua ananiambia Mzee mmoja mtu mkubwa sana huko kwenye michezo maana anajua wachezaji wa Tanzania walivyo, jana wamekula bingo zaidi ya millioni 700 mezani sasa watapanda dau mfano wakisema ili waende robo basi wawekewe billion 20 kwenye akaunti, mama kizi yupo tayari kuwapa billion 20 ili waende robo? Km jibu ni hapana basi tegemea mwisho ndio hapo qualify unatolewa group stage kupita kwenyewe umepita kwa ndondokela pongezi hizi ni maalumu kwa Rais Dkt.
🙏
 
Mama, mama. mama, mama.
SI mfuatiliaji wa masuala ya mpira ila leo tukitandikwa hata goli mbili au tatu hivi nitafurahi sana lazima nipige konyagi ndogo na kitimoto choma kilo moja.
Masuala yanayohusu umoja wa kitaifa yakikabidhishwa kwa mtu au kikundi cha watu wenye itikadi za ki kabila, siasa au dini ni lazima umoja huo upotee. Viva Guinea, viva
Duh.
 
Back
Top Bottom