Meza wembe au jinyonge. Hamia Burundi.Unakosa uzalendo kwa visingizio vya kijinga.Hapa ndip nakereka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Meza wembe au jinyonge. Hamia Burundi.Unakosa uzalendo kwa visingizio vya kijinga.Hapa ndip nakereka.
Ubaya hatufiki popote tunaenda kutolewa hata robo hatufiki nasubiri kucheka hahahaUnashangaza jinsi watanzania wasivyojua mambo madogo kama haya....
Nakumbuka mara ya kwanza inatangazwa RTD... Tunakwenda lagosi....
sasa ulitaka watu waandamaneUzi umejaa wanafki.. kipindi goli halijaingia mlikuw mmejifungia huko.
Tunafuga bundi km njiwa kwa bei nafuuMeza wembe au jinyonge. Hamna Burundi.Unakosa uzalendo kwa visingizio vya kijinga.
ndo tunahesabu hapaVp kibunda cha mama kimetoka?
bora wamempunguzia pin pin majukumu sasa akatulie zake pale kilabuni kwa simbaKitendo cha guinea kutaka sare kimewaua na nnadhani waliichukulia poa sana Tanzania especially tulivyopigwa nje ndani na congo.
Yote kheri tu kamara wa kwetu na taifa stars ya kwetu.bora wamempunguzia pin pin majukumu sasa akatulie zake pale kilabuni kwa simba
KabisaKumsifia mwenye nyumba si kosa hata kama aliyefanya ni mtoto.
Uchawi tu huu..Ubaya hatufiki popote tunaenda kutolewa hata robo hatufiki nasubiri kucheka hahaha
Hahaha nasubiria kucheka sana na pongezi hizi ni maalumu kwa Rais Dkt.Uchawi tu huu..
.
Muhimu tumefuzu hayo mengine yana muda wake
Sintasikiliza huo upuuzi wao kaka.HUNIZIDI..
WW SUBIRI PRESS YA KARIA, NDUMBARU NA MWANA F.A
Huitaji Kuwa mchambuzi kuweza kujuwa Stars haina kocha ina wasimamizi wa mazoezi tu.Siyo mchambuzi wa mpira,lakini kitendo cha kumuacha mechi zilizotangulia Simoni Msuva kinaonyesha ni jinsi gani Makocha wetu wasivyojua mpira hii inatosha wapigwe chini Msuva abaki
Kameze wembe Au jinyonge.Mrundi.Refa achunguzwe sio kwa kuwabeba kule uvccm
Mpira ni magoli.Uvccm wakitizama marudio ya hii game kwa jinsi walivyocheza wataona aibu sana