SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Umedanganywa wewe na maccm wenzako tu.Punguza kidogo
Kwani wewe sio MdaNGANYIKA!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umedanganywa wewe na maccm wenzako tu.Punguza kidogo
Kwani wewe sio MdaNGANYIKA!?
Unamaana gani unaposema tumefuzu kimagumashi!!!Huitaji Kuwa mchambuzi kuweza kujuwa Stars haina kocha ina wasimamizi wa mazoezi tu.
Hatujachelewa sasa serikali hasa huyo mama ajitolee sasa kumlipa mshahara kocha wa viwango aje kufundisha stars.
Huyo Morocco amepata rekodi ya kuboost cv yake lakini tumwambie asante sana timu inahitaji kocha sasa, tumefuzu kimagumashi tu
Timu imefuzu kwa kushinda mechi 3 kufungwa 2 na kudroo moja.Mvimba macho anaita imeshinda kimagumashi.Ni chuki tu za kutofautiana kisiasa.Unamaana gani unaposema tumefuzu kimagumashi!!!
Wengi mmeaibika sana Stars kufuzu.Refa achunguzwe sio kwa kuwabeba kule uvccm
Mwambie uyo SAGAI GALGANOUshindi huu na kufuzu umewaudhi wavimba macho .Hameni Nchi.Ni kosa kuchukia timu ya Taifa lako kwa kutofautiana kisiasa.Tanzania Kwanza.
Yani kanishangaza sana hizo mechi tatu tumeshinda kihalali na tumefungwa kihalali pia.Timu imefuzu kwa kushinda mechi 3 kufungwa 2 na kudroo moja.Mvimba macho anaita imeshinda kimagumashi.Ni chuki tu za kitofautiana kisiasa.
Yalikuwa yanaequalize... Mungu Mkubwa.. kiulkubwa tumefuzu.Hii mechi tunashinda 1-0 au 2-1
Unaona sasa mizimu ilivyokuwa na nguvu?Acha kuabudu mizimu yupo YESU tu....
Clear goalHivi lile goli halikua offside kweli?
Mawazo yenye kiwango cha chini Sana cha kufikiri. Usaliti ndiyo unapimwa hivyo?Wasaliti wote kwa Taifa lao, waliokuwa wanaombea Taifa Stars ifungwe, wakati timu ya Guinea inaondoka nchini waondoke nayo. Utaratibu ni kwamba unakwenda kula ugali kule ulipopeleka mboga.
Never say Never, brother!Upotezaji wa hela tu hata kumi na sita bora hatufiki
NMewaandalia bites waende nazo tumewachoka wanafikiWasaliti wote kwa Taifa lao, waliokuwa wanaombea Taifa Stars ifungwe, wakati timu ya Guinea inaondoka nchini waondoke nayo. Utaratibu ni kwamba unakwenda kula ugali kule ulipopeleka mboga.