Lawama zishaanza!! Woyoooooπππ mimi sipendi Simba muwe na amani kabisaYani mzamiru anaanzaje mbele ya ngoma na okjepha, huko kote mbali, hata yule kagoma tu mzamiru hamfikii kwa sasa.
Hivi vizee vichawi vichawi vichawi viachwe..
Ngoja tuone lakini kiungo cha mzamiru hapana, nakikataa mapemaaa
Niombee nifunge leoπ
Huyo atasugua sana benchi huko, na akitoka hapo kama sio Singida Black Stars basi safari ya Zambia itakuwa imeiva.Mzee Chama nasikia yupo benchi
Mkuu tupo pamoja π€£π€£π€£Leo utopolo hamtuambii kitu leo.
mmejiletaπΈπΈπΈπΈπΈπΈπΈπΈπΈπΈπΈπΈπΈπΈπΈ
π π πMuzamiru ndio mganga wa timu nini?