The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 5,879
- 11,318
Kaka,Weka haya meneno, Chama hataweza kucheza sababu ya bullying atapata game shake. Baleke sio Striker wa kumuhofia wala dube, Tunakaba Pacome tu na Azizi mechi tumemlizaView attachment 3064197
Kesho jiandae kulia tu
Makabila ya Manyara yananichanganyaga Sana ila Kuna alinambia jina arajiga ni kimang'atiNi Mbarbaiq.
Mfungaji umemsahau hapo ni yule DUKE ABUYAKaka,Weka haya meneno, Chama hataweza kucheza sababu ya bullying atapata game shake.Baleke sio Striker wa kumuhofia wala dube,Tunakaba Pacome tu na Azizi mechi tumemliza
Yule namjua..Makabila ya Manyara yananichanganyaga Sana ila Kuna alinambia jina arajiga ni kimang'ati
Duke hii game haiwezi nakuambia.Mfungaji umemsahau hapo ni yule DUKE ABUYA
Sawa kaka baadae sio mbali 🤣😁😁Kaka,Weka haya meneno, Chama hataweza kucheza sababu ya bullying atapata game shake.Baleke sio Striker wa kumuhofia wala dube,Tunakaba Pacome tu na Azizi mechi tumemliza
Naunga mkono hoja dada Nifah 💛💛💛💛💛💛💛💛💛Picha limeanza, nimelalia jezi ya Yanga leo.
Tutafune hilo kubwa jinga kelele ziishe sasa, ishakuwa kero. Msimu uliopita palitulia tuli, huu nao tukate midomo yao mapema.
Umekojoa lakini.Maana utaweweseka.Kesho nakutia 2 Unaenda kulala na kulaumu Chama na DubePicha limeanza, nimelalia jezi ya Yanga leo.
Tutafune hilo kubwa jinga kelele ziishe sasa, ishakuwa kero. Msimu uliopita palitulia tuli, huu nao tukate midomo yao mapema.
Naunga mkono hojaYanga 4
Debora fc 0
We nae bwana,tengua kauli yako. Hakuna Simba. Ni Hashula. Ukitaka uongezee Bibi HalusiKesho li Aziz Ki limepania kumpiga tobo Debora, nasikia linasema eti litamfuata kila atakapokwenda mpaka limpige tobo ndiyo linaenda upande wake.
Kuna uwezekano mkubwa mechi ikachezwa dk 45 tu ili simba wajiepushe na dhahama. Maana 1st half watakuwa waaesha chezea 5
Sawa mkuu tusubiri tu.Muda unakaribia safari hii 8
Bila shaka ufanye hivyoNtakutag