FULL TIME: Yanga SC 1-0 Simba SC | Semi-Final | Community Shield | Benjamin Mkapa Stadium | 08/08/2024

FULL TIME: Yanga SC 1-0 Simba SC | Semi-Final | Community Shield | Benjamin Mkapa Stadium | 08/08/2024

Kesho li Aziz Ki limepania kumpiga tobo Debora, nasikia linasema eti litamfuata kila atakapokwenda mpaka limpige tobo ndiyo linaenda upande wake.

Kuna uwezekano mkubwa mechi ikachezwa dk 45 tu ili simba wajiepushe na dhahama. Maana 1st half watakuwa waaesha chezea 5Kesho atageuka Aziza Huyo
 
Kesho li Aziz Ki limepania kumpiga tobo Debora, nasikia linasema eti litamfuata kila atakapokwenda mpaka limpige tobo ndiyo linaenda upande wake.

Kuna uwezekano mkubwa mechi ikachezwa dk 45 tu ili simba wajiepushe na dhahama. Maana 1st half watakuwa waaesha chezea 5
Low IQ persona
 
Muda huu huko kambini wachezaji wa simba wanajiangalia mmoja mmoja na kujiuliza nani kati yetu atakuwa wa kwanza kupigwa tobo na Ki stephane Aziz..
 
🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁
 
Tobo kwa kingreza ni nini? Embu tuanzie hapo kwanza.

Aziz bado karne hii anajaribu kufunga magoli ya kumbabua kipa ili ateme watu wawahi mpira wafunge au analenga kokoto ili mpira ugonge jiwe umpoteze kipa.
 

Ngao ya Jamii: Alhamis hii ni nusu fainali ya wababe. Saa 1:00 usiku ni Kariakoo Derby Yanga SC dhidi ya Simba SC ngoma itapigwa dimba la Benjamin Mkapa.
Mwanzisha huu uzi ni kolo
Tafuta picha kama hii KOLO WEWE

FB_IMG_1723085922167.jpg


#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Back
Top Bottom