FULL TIME: Yanga SC 1-0 Simba SC | Semi-Final | Community Shield | Benjamin Mkapa Stadium | 08/08/2024

 
Low IQ persona
 
Muda huu huko kambini wachezaji wa simba wanajiangalia mmoja mmoja na kujiuliza nani kati yetu atakuwa wa kwanza kupigwa tobo na Ki stephane Aziz..
 
🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁
 
Tobo kwa kingreza ni nini? Embu tuanzie hapo kwanza.

Aziz bado karne hii anajaribu kufunga magoli ya kumbabua kipa ili ateme watu wawahi mpira wafunge au analenga kokoto ili mpira ugonge jiwe umpoteze kipa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…