FULL TIME: Yanga SC 1-0 Simba SC | Semi-Final | Community Shield | Benjamin Mkapa Stadium | 08/08/2024

FULL TIME: Yanga SC 1-0 Simba SC | Semi-Final | Community Shield | Benjamin Mkapa Stadium | 08/08/2024

Kwa mPira aliocheza siku ile mpeni haki yake mechi ya leo

Iiiiteniiii DEBORA day
 
Nimeshangaa aisee 😂😁😁😁 Cc ephen_
Acha kabisa mwamba ana ufunguo wa kuedit.
Hajui hata kuandika title so huwa anaangalia which is good for him anajimilikisha.
Nyuzi mbili ziliruka kabla yake akazifyeka.
Zilizokuja baada yake ana zi merge!! 🤣🤣
Active na Cookie hawajui hili kabisa.
🤣🤣🤣
And they preach about freedom of speech and writing...
 
Acha kabisa mwamba ana ufunguo wa kuedit.
Hajui hata kuandika title so huwa anaangalia which is good for him anajimilikisha.
Nyuzi mbili ziliruka kabla yake akazifyeka.
Zilizokuja baada yake ana zi merge!! 🤣🤣
Active na Cookie hawajui hili kabisa.
🤣🤣🤣
And they preach about freedom of speech and writing...
Suley2019 kuna malalamiko yako huku. Acha watu watumie uhuru wao wa kuanzisha nyuzi hata kama wewe ndio umeshika mpini.
 
MGUNDA JIANDAE KUCHUKUA TEAM... Hatuna coach na wachezaji ni tia maji tia maji... Kauli ya Coach wa simba za kitoto sana... Hajui mpira
 
Sidhani kama ni sahihi kuwaita waanzisha nyuzi za mechi ni viherehere. Wanaanzisha nyuzi mapema ili kupata wasaa wa kujadili mechi husika.
Saa sita usiku kuna wasaa gani kwa watu kujadili mechi inayochezwa saa moja jioni siku inayofuata? Hicho ni kiherehere tu na ushindani usio rasmi wa baadhi ya watu kutaka kuonekana wao ndiyo wameanzisha hizo nyuzi zinazofuatiliwa kwa ukaribu na mashabiki wengi wa mpira miguu nchini.
 
Mkeooo akikiweka ndani ukitoka usizofuw nenda na zile harufu chawa lala nazo na nguo zoteee mpaka asikilizie tena lala upande wake

By Thom j
 
Ndugu zangu wa Sanda......tunawakumbisha usajili hajafanya Mangungo, nadhani wakumpa lawama mlimuona juzi akimtambulisha Dada yake...........Ngungo asiguswe kwa matokeo ya leo
 
Back
Top Bottom