Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Anamu-admire hadi anageuka kibweka.🤣🤣🤣🙏Si ndo hapo Sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anamu-admire hadi anageuka kibweka.🤣🤣🤣🙏Si ndo hapo Sasa
kajishindieni UTI sugu...🤣Mtu kahaidi mke huko
Acha kabisa mwamba ana ufunguo wa kuedit.Nimeshangaa aisee 😂😁😁😁 Cc ephen_
Suley2019 kuna malalamiko yako huku. Acha watu watumie uhuru wao wa kuanzisha nyuzi hata kama wewe ndio umeshika mpini.Acha kabisa mwamba ana ufunguo wa kuedit.
Hajui hata kuandika title so huwa anaangalia which is good for him anajimilikisha.
Nyuzi mbili ziliruka kabla yake akazifyeka.
Zilizokuja baada yake ana zi merge!! 🤣🤣
Active na Cookie hawajui hili kabisa.
🤣🤣🤣
And they preach about freedom of speech and writing...
Mtani leo lazima mfe tenaMatch Day.
Simba SC vs Yanga SC
🛡️ Community Sheald Semi-Final
🏟️ Benjamin Mkapa Stadium
⏰ 7pm
Tukutane kwa MkapaMtani leo lazima mfe tena
Saa sita usiku kuna wasaa gani kwa watu kujadili mechi inayochezwa saa moja jioni siku inayofuata? Hicho ni kiherehere tu na ushindani usio rasmi wa baadhi ya watu kutaka kuonekana wao ndiyo wameanzisha hizo nyuzi zinazofuatiliwa kwa ukaribu na mashabiki wengi wa mpira miguu nchini.Sidhani kama ni sahihi kuwaita waanzisha nyuzi za mechi ni viherehere. Wanaanzisha nyuzi mapema ili kupata wasaa wa kujadili mechi husika.
Isiku wa deni haukawii kucha...Watani zangu mtzedi, Bill bila kumsahau bina Chumchang Changchum naombeni mniruhusu nitabiri kidogo. Teh teh 🤣🤣
Wanabahati mbaya sana msimu ujao wanaweza kupigwa mechi zote tatu daah........View attachment 3064197
Kesho jiandae kulia tu