Ally ayubu
Senior Member
- Jan 6, 2024
- 188
- 104
Vip kuhusu hii penaltyYanga bingwa π
haikua penat, si unaona refa hakuweka tutaJibu Kwanza hili nilizo uliza apa
Achana na Dube Beki wao baada ya ku kucheza mpira, kaenda ku mzoa Aziz K ndani ya 18 ya Goli la Simba na refa hakutoa PenaltyMbona dube alisukumwa... Je zile zilikuwa offside..??
Kwema π€£πππππUtopolo mlibwanjiiii
Hawa Leo ninao humu π€£πππWasameheeeππ
yes ilikuwa penati na lile goli la aziz ki ni goli halaliWewe unaizungumzia vip penati waliyo nyimwa Simba sc dakika za jioni kabisa
View attachment 3064874
π€£π€£ππππTupo mitamboni tunafurahia kimoko...kutoka 5....
View attachment 3064878
Sio penati... Haya na wewe jibuJibu Kwanza hili nilizo uliza apa
Niache nimevimbilwaWametoka kwenye TUMEKUFA KIUME saivi wamekuja na TIMU TUNAYO ππ Cc ephen_ View attachment 3064880
Uzuri ubaya ubwela unatrend...kinoma...yani umeshika nchi...ww utajua uuuweke wapi ubaya ubwela wako...1πππHawa Leo ninao humu π€£πππ
Umekula Nini ππNiache nimevimbilwa
Hata Simba wangepewa penati, wangekosa kama kawaida yao!Vip kuhusu hii penalty