Ally ayubu
Senior Member
- Jan 6, 2024
- 188
- 104
Kwa utopolo sioni cha ajabu apa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vip kuhusu hii penaltyYanga bingwa 😝
haikua penat, si unaona refa hakuweka tutaJibu Kwanza hili nilizo uliza apa
Achana na Dube Beki wao baada ya ku kucheza mpira, kaenda ku mzoa Aziz K ndani ya 18 ya Goli la Simba na refa hakutoa PenaltyMbona dube alisukumwa... Je zile zilikuwa offside..??
Kwema 🤣😁😁😁😁😁Utopolo mlibwanjiiii
Hawa Leo ninao humu 🤣😁😁😁Wasameheee🙌😂
yes ilikuwa penati na lile goli la aziz ki ni goli halaliWewe unaizungumzia vip penati waliyo nyimwa Simba sc dakika za jioni kabisa
View attachment 3064874
🤣🤣😁😁😁😁Tupo mitamboni tunafurahia kimoko...kutoka 5....
View attachment 3064878
Sio penati... Haya na wewe jibuJibu Kwanza hili nilizo uliza apa
Niache nimevimbilwaWametoka kwenye TUMEKUFA KIUME saivi wamekuja na TIMU TUNAYO 😀😀 Cc ephen_ View attachment 3064880
Uzuri ubaya ubwela unatrend...kinoma...yani umeshika nchi...ww utajua uuuweke wapi ubaya ubwela wako...1🙃😃😃Hawa Leo ninao humu 🤣😁😁😁
Umekula Nini 😂😁Niache nimevimbilwa
Hata Simba wangepewa penati, wangekosa kama kawaida yao!Vip kuhusu hii penalty