FULL TIME: Yanga SC 1-0 Simba SC | Semi-Final | Community Shield | Benjamin Mkapa Stadium | 08/08/2024

FULL TIME: Yanga SC 1-0 Simba SC | Semi-Final | Community Shield | Benjamin Mkapa Stadium | 08/08/2024

Mi nilipocheki kipindi cha kwanza tu nikasema hii ni timu.

Hapo bado wachezaji hawajapata muunganiko, matokeo ya hii mechi wala sio kitu ambacho naweza kujilaumu.

Na hii inaenda kuwa kama msimu uliopita, japo Gongowazi tuliwafunga lakini wao waliridhika kutokana na kile ambacho timu yao ilikionesha.

Tuipe muda timu kuna mengi mazuri yanakuja.
Unajipa moyo tu mkuu , ligi ya Tanzania haihitaji mtu anayejitafuta Kama Simba utapoteza mechi 1 Msimu ujao wakati tukijitafuta Tayari yanga anaenda kuwa bingwa Tatizo viongozi wanasajili kwa mihemko
 
Mi nilipocheki kipindi cha kwanza tu nikasema hii ni timu.

Hapo bado wachezaji hawajapata muunganiko, matokeo ya hii mechi wala sio kitu ambacho naweza kujilaumu.

Na hii inaenda kuwa kama msimu uliopita, japo Gongowazi tuliwafunga lakini wao waliridhika kutokana na kile ambacho timu yao ilikionesha.

Tuipe muda timu kuna mengi mazuri yanakuja.
Kikosi tunacho htr kbs, makosa ni madogo madogo
 

Huku tunaigwa
 
Back
Top Bottom