Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaa. Hivyo Mkuu ulitaka niseme kile ulichokiwaza wewe. Lol.Wananchi wen
Jidanganye kwa mashabiki wa simba oya oya😆😆
atajuta kuropokaNipo na coconut oil hapa
Lazima nimsaidie Ally Kamwe kupiga show
Sasa nitafute Mganga wa nini wakati Kolo mnajaza Wachezaji wasio na tija 🤣🤣🤣🤣Unaongea huku ukitafuta mganga wa kuwaloga kina mutale, kina mukwala na wenzake.
Sawa Mkuu, nisameheBy Default ndiyo inavyokuwa Boss.
Muende na maji aiseee.Nipo na coconut oil hapa
Lazima nimsaidie Ally Kamwe kupiga show
Ule Uzi ufutwe mobeto kamsaidia MwasibuTunasubiri report ya kihasibu kutoka kwa BOBAN SUNZU.
Mwijaku ni wa kwenu huyoMke wa mwijaku tunamkuta wapi 🤣
Huyoooo mtotooo 😹😹😹Mke wa mwijaku tunamkuta wapi 🤣
14 new Players mnaenda kuruka ruka tu UwanjaniUnaongea huku ukitafuta mganga wa kuwaloga kina mutale, kina mukwala na wenzake.
Makolo leo wamecheza faulo nyingi kwenye eneo lao alikua apigi filimbi,ila mchezaji wa makolo akiguswa tu filimbi,azam tv mizinguo na kwanini hawajarudia goli la pacome na faulo aliyochezewa aziz ki ndani ya box,ila faulo ya boka waneirudia mara kibao!Offsides mbili za mchongo zimemnyima Yanga magoli
Unajipa moyo tu mkuu , ligi ya Tanzania haihitaji mtu anayejitafuta Kama Simba utapoteza mechi 1 Msimu ujao wakati tukijitafuta Tayari yanga anaenda kuwa bingwa Tatizo viongozi wanasajili kwa mihemkoMi nilipocheki kipindi cha kwanza tu nikasema hii ni timu.
Hapo bado wachezaji hawajapata muunganiko, matokeo ya hii mechi wala sio kitu ambacho naweza kujilaumu.
Na hii inaenda kuwa kama msimu uliopita, japo Gongowazi tuliwafunga lakini wao waliridhika kutokana na kile ambacho timu yao ilikionesha.
Tuipe muda timu kuna mengi mazuri yanakuja.
Kwa Lucas MwashambwaMke wa mwijaku tunamkuta wapi 🤣
Sijaangalia,toka mwanzo nilikuwa nina wasiwasi.Umeangalia mechi lakini?
Kikosi tunacho htr kbs, makosa ni madogo madogoMi nilipocheki kipindi cha kwanza tu nikasema hii ni timu.
Hapo bado wachezaji hawajapata muunganiko, matokeo ya hii mechi wala sio kitu ambacho naweza kujilaumu.
Na hii inaenda kuwa kama msimu uliopita, japo Gongowazi tuliwafunga lakini wao waliridhika kutokana na kile ambacho timu yao ilikionesha.
Tuipe muda timu kuna mengi mazuri yanakuja.