ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Tumenyimwa goli la azizi tutalipiwa piaTimenyimwa penati Mungu atatulipia...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumenyimwa goli la azizi tutalipiwa piaTimenyimwa penati Mungu atatulipia...
Tumewabinua mara tatu......mfululizoUto kama kawaida yenu bila mbeleko hamtoboi 🗑️
Nimwuliza na sijasema nataka kunywaWewe si umeokoka. Pombe za nn
Ulikunywa pombe gani
Mdomo uliponza kichwaMechi ijayo gamondi anakula rungu tatu kwenye kile kipara.
HahahahahahahahaWachezaji wa Simba wameacha kucheza nao wanatazama kama sisi
Ndizi nyama zimeliwa?Kesho nampiga Utopolo viwili nakula beer zangu nyama na ndizi then kulala.😂😂😂
Tarehe 11Final lini
😂😂😂😂Nasema hivi hatufungwi mara tatu mfululizo.
Nilidhan umeamua kurudi misriNimwuliza na sijasema nataka kunywa
Nipo mkuu Sema sijakujua ID yako ya zamani ni ipi?fresh tuuu. umepoteaa
SijakuelewaSasa wewe endelea kukaa hapo mtaani yakukute ya Yombo.
Wao hawanashida. Watawasubiri hapohapo kukiwa na mechi nyingine. Ambao hamkuhusika, this time mtahusika 😂Wadau aisee sijui kwanini huyu jamaa askari wa jwtz anaenda kuangalia mpira na raia Sasa ilikua hivi huyu mjeshi ni shabiki wa yanga siku ya mechi ya simba na yanga ikatokea ubishani Fulani mda huo yanga anaingoza Gori 1 Sasa kulikua na mashabiki wa simba 3 walikua wanamaindi mjeshi anavyotoa kauli mbovu wakamwambia kwani wewe unasemaje ndio ugomvi ukaanzia hapo aisee kumbe wanajeshi hamna kitu jamaa alichakazwa na raia wa 3 tu wale jamaa kugundua alikua mjeshi mtaani hawaonekani