Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na saizi wamekuja na kitu kipyaTFF kwenye suala la kuruka ukuta wanatakiwa kuwa proactive. Funga geti zote za nyuma, labda wapitie juu
Hili nalo ni la kubisha sio?Sasa match fitness ataipata wapi asipocheza?
Leo tunampiga mtu goli tatu.Ushindi wa Yanga wa kabao kamoja kamoja kweli haunipi faraja yoyote; ni kama Yanga imeanza kuishiwa pumzi.
Kuota ndoto ya namna hii, unatakiwa uwe umelewa wanzuki na umeamkia matoborwa aka michembeTabora utd 9 yanga a.k.a ramadhani kayoko fc 0
Bado hujanijibu nauliza tena asipocheza fitness ataitoa wapi? Kwenye maelezo ukishaandika neno ''kama'' ina maana una uhakika.Hili nalo ni la kubisha sio?
Kibwana hata mazoezini hakuwepo kama week 1 .
Unadhani wanapanga tu hovyo mtu aingie?
Naomba takwimu za mechi walizocheza na magoli waliyofunga wachezaji wafuataoYANGA BINGWA
leo nyuma mwiko anakula tena chuma mojaUshindi lazima Leo
ukiona unaumia kwakukamiwa tumia mafutaKila la heri kwa Wananchi Young Africans. 💛💚💪 Ushindi kwenu ni muhimu sana, huku mkitambua fika kila timu ya ligi kuu kwa sasa inawaza kuwakamia tu ili msiwe mabingwa kwa miaka 10 mfululizo.
wakumfunga tabora goli nyingi ni simba siyo utopololeo kuna magoli mengi nashauri tabora wagome kuingiza timu waepuke aibu!
Naona umeamua kukaza fuvu tu sio?Bado hujanijibu nauliza tena asipocheza fitness ataitoa wapi? Kwenye maelezo ukishaandika neno ''kama'' ina maana una uhakika.
Mkifunga 6 niite 🐕Yanga 6 0 Tabora hutaki andamana
Ndicho na mimi nachomaanisha wapewe nafasi sijasema wacheze dakika 90Naona umeamua kukaza fuvu tu sio?
Hivi mtu hujacheza mechi hata moja tangu ligi ianze halafu leo ghafla upangwe kweli? Kama umewahi kucheza mpira utaelewa ila kama shabiki tu sawa.
Yaani farid mussa au kibwana ambao hawajacheza muda sana yaani hata game moja leo ghalfa uwapange kwenye game ngumu hivi?
Match fitness inapatikana kwa mchezaji kupewa dakika chache chache mfano dakika ya 80 huko then taratibu anazidi kuongezewa dakika mpaka anakuja kucheza game nzima.
Wakwetu tujuwaneKila la kheri Young Africans