Naunga mkono hojaKikundi cha mazuzu
Nakusanya risiti π π πMuhimu points tatu na ushindi tu haijalishi umeshindaje maana hakuna wa kumsema mwenzie hapa, tutaona kwenye klabu bingwa kisha tukutane mwisho wa msimu, msianze tu zile taarab zenu za "oo hayo ni mashindano ya kina mama" mara "oo timu inashinda kwa magoli ya penati na kona tu"
Yahya na Yohana wanapiga mtanange hahaaaa this is kichekesho
Kwa hisani ya wananchi woteNakusanya risiti π π π
Sasa unalilia nini mkuu?Movie za kihindi zimejaa uongo uongo mwingi
View attachment 3187799
Umeazima simu ya shemeji yako uje kubishana sioYahya na Yohana wanapiga mtanange hahaaaa this is kichekesho
Ninazo nyingi Hawa baadae tutawaonea huruma sanaKwa hisani ya wananchi wote
Pira papatupapatuMakolo hapa wajifunze namna soka safi linachezwa. Sio kusubiri papatu na penalty
Pole mkuu, japo nimevutiwa na kipaji chako cha kulia live kwa njia ya maandishi.Muhimu points tatu na ushindi tu haijalishi umeshindaje maana hakuna wa kumsema mwenzie hapa, tutaona kwenye klabu bingwa kisha tukutane mwisho wa msimu, msianze tu zile taarab zenu za "oo hayo ni mashindano ya kina mama" mara "oo timu inashinda kwa magoli ya penati na kona tu"
Ligi hii ingekuwa ndege, tungesema Simba yuko zake Business Class habughudhiwi na anapata huduma zote za kikubwa, huyu mwingine anahangaika zake kule Economy Class na kina Fountain Gate.
Ukiwa Business Class, misuguano ya Economy wala hauisikii. Ndiyo kinachoendelea leo.
Twende kwaoKwa yanga hii ya Sasa ata ikikutana na man city inamwapa goli nyingi.gusa achiaaa
Hata kwa kutumia pua, tutafunga tu msimu huu! Muhimu tu mwizi akutwe kabla ya siku yake rasmi ya 40.Bado goli moja la mkono
We endelea kuzitunza tu hizo risiti ukija kushituka mwisho wa msimu zimechanika zoteNakusanya risiti π π π
Kamdomo kamdomoLigi hii ingekuwa ndege, tungesema Simba yuko zake Business Class habughudhiwi na anapata huduma zote za kikubwa, huyu mwingine anahangaika zake kule Economy Class na kina Fountain Gate.
Ukiwa Business Class, misuguano ya Economy wala hauisikii. Ndiyo kinachoendelea leo.