Full Time: Yanga SC 5-0 Fountain Gates FC | NBC Premier League | KMC Complex | 29 Disemba, 2024

Full Time: Yanga SC 5-0 Fountain Gates FC | NBC Premier League | KMC Complex | 29 Disemba, 2024

Furaha ipotee wakati simba ndio timu ya kwanza kufunga goli tano kwenye ligi msimu huu na bado inaongoza ligi, mbona mnapenda kujifariji kiasi hicho hivi huwa hamjisikii raha bila kujilinganisha na simba, na kumbuka katika yale matano hakukuwa na penalty maana mngepata cha kusema
mnaongoza ligina au mmekaimu ligi mtatoka hapo sasaivi.
 
Tujikumbushe kidogo
20241229_162418.jpg
 
Mimi ningekua beki wa IHEFU/SINGIDA FOUNTAIN GATE nisinge ruhusu mpira unizidi speed chuma Cha 5
 
Makolo waliokuja kuangalia game ya leo hadi huruma...kila chuma inayoingia...makolo wanalia kwanini Singida hawakabi 😜😜😜
 
mnaongoza ligina au mmekaimu ligi mtatoka hapo sasaivi.
Hiyo kanuni ya kukaimu ligi ni ya wapi, kwa sasa tunaongoza ligi na tunaingia mwaka 2025 huku tukiwa timu pekee yenye points 40 baada ya mzunguko wa kwanza wa ligi, baada ya kusema hayo naleta mic kwako ewe utopolo una lipi lingine la kusema
 
Back
Top Bottom