Baba Kisarii
JF-Expert Member
- May 7, 2024
- 1,844
- 3,089
Nimekushauri uache kiherehere au hujaelewa?Timu ya Yanga kushinda Leo ndio kisukari kikupande mwanetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekushauri uache kiherehere au hujaelewa?Timu ya Yanga kushinda Leo ndio kisukari kikupande mwanetu
Huyo usitumie nguvu kubishana nae inaonesha Hana kitu kabisaMjadala ni ligi kuu ama CAFCL? Uzi unasemaje usome upya!
Hahahaaa naona umesepa kiaina aina musee wa mkiniani...Mjadala ni ligi kuu ama CAFCL? Uzi unasemaje usome upya!
Utapata tabu hapo bado mwanetu endelea kuchekea chooniNimekushauri uache kiherehere au hujaelewa?
Hata wewe tulishawahi kukupiga bomu la bao 5Hahahaaa naona umesepa kiaina aina musee wa mkiniani...
Haya endelea kusheherekea ushindi wa kupiga bomu mochwari 😂😂
Usihamishe magori stick kwenye mada mkuu ukitaka twende uko anzisha Uzi wakeHahahaaa naona umesepa kiaina aina musee wa mkiniani...
Haya endelea kusheherekea ushindi wa kupiga bomu mochwari 😂😂
Hata wewe tuliwahi kukupiga bomu la bao 6Hata wewe tulishawahi kukupiga bomu la bao 5
Mtalalamika sana.Hahaha msimu huu malalamiko fc wanajulikana mbona, tena walianza mapema sana hata kabla ligi haijaanza, mwanzoni timu zilikuwa zinaikamia sana utopolo ila baada ya ushindi wa jana tutarajie mashambulizi kuhamia unyamani
Sikujua kwamba kuna Uto ya kupiga bomu mochwari NBCPL na kuna Uto ya kubuluzs mkia CAFCL..Usihamishe magori stick kwenye mada mkuu ukitaka twende uko anzisha Uzi wake
Nenda kampe hiyo kadi, kolowizard.Hapa Aucho ilitakiwa apewe kadi ya njano. Si aende akacheze mieleka kama Mpira umemshinda?
Weka picha na ushahidi wa video na mie niweke video zanguHata wewe tuliwahi kukupiga bomu la bao 6
Muda wa kusoma magazeti na makala za GSM anaharibu ligi. 😂Sikujua kwamba kuna Uto ya kupiga bomu mochwari NBCPL na kuna Uto ya kubuluzs mkia CAFCL..
Cha ajabu wachezaji ni wale wale...
Hivi ilikuwaje mkamfukuza yule babu Gamond?
YANGA 6Hata wewe tuliwahi kukupiga bomu la bao 6
Haya matikiti maji yatakuwa yameshindwa kaziMpo online Uzi hamuweki live acheni dharau wakuu
View attachment 3182632
Weka video tuoneYANGA 6
1935
Video kazikwa nayo Nyerere maana hakupenda uwepo wa hiyo video ya aibu kwa vijana wake kupigwa 6 na wana msimbaziWeka picha na ushahidi wa video na mie niweke video zangu
Relax bro don't get too emotional, this is football 😃Video kazikwa nayo Nyerere maana hakupenda uwepo wa hiyo video ya aibu kwa vijana wake kupigwa 6 na wana msimbazi