Imara ila ikija Tabora United mnasema wachezaji Wana uchovuYanga imara inataka kurudi tena
Toa sababuYanga wakishindwa kufunga magoli ya kutosha Leo watakuwa hawana akili
Usiwalaumu. Watoa vibuduz Supu bila ya kuona Live hawatoi ofa.Yani mashabiki wa hii timu sijui mna akili gani mnapenda sana kujilalamisha kama watoto wa kambo na kujifanya victims, jana hapa hadi simba inafunga goli la pili hakukuwa na update yoyote wala live ila hakuna shabiki wa simba aliyeongea huu ujinga, nimeamini mashabiki wa yanga mmeanza kuchanganyikiwa na hamjiamini kila kitu mnaona kama mnaonewa na simba inapendelewa..pathetic!!
Sio Tabora waje na Simba wenyewe tuwafunge mara tano mfululizoImara ila ikija Tabora United mnasema wachezaji Wana uchovu
WatulieNo live. Mechi ya kawaida sana hii.
ππSisi Jana lilifika mpaka goli la pili haikuwa live..tulia mkuuMods wameonesha wana hasadi Kabisa na sisi kama bando wameishiwa si waseme tuwanunulie mbona wanaonesha dharau kwetu sisi yanga Sc
Wivu huoo....ππWatulie
Wapo bize kutazama nyuzi zingine π πππSisi Jana lilifika mpaka goli la pili haikuwa live..tulia mkuu
πππWivu huoo....ππ
Hamchelewi kuandamanaπππMpo online Uzi hamuweki live acheni dharau wakuu
View attachment 3182632
πππWapo bize kutazama nyuzi zingine π π
Usikariri maisha na Tabora kumfunga yanga ni sawa na mende kuangusha kabati kwenye Mpira matukio ya namna iyo uwa yanatokea mara Moja Moja,,na iyo aiondoi ubora wa yanga na usidhani kitu cha namna iyo kitatokea Tena ivyo msijibanze kwenye kivuli cha Tabora!Imara ila ikija Tabora United mnasema wachezaji Wana uchovu
Wanadharau sana Hawa jamaaHamchelewi kuandamanaπππ
Sawa mkuuNilimdharau Mpumelelo sikumdharau Pastor.
Kwa hiyo bado nasimama kwenye kauli yangu.