mtzedi
JF-Expert Member
- Dec 13, 2011
- 5,983
- 6,171
Hivi kule Wana nusu pointi?KASONGO wanaongoza 3-0 HT! 🐸
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kule Wana nusu pointi?KASONGO wanaongoza 3-0 HT! 🐸
Uto mkishinda mtakuwa na points sawa na Azam ila kwa mnyama kawaacha mbali kwa points na idadi ya magoli...Kikubwa magoli 😃
Mmeshaanza kuchanganyikiwa pole pole tulieni mtaanza kunena kwa lugha.
Mwamba anaitwa nani jamani na Kanisa likowapi
Kanisa liko MakongoMwamba anaitwa nani jamani na Kanisa likowapi
NanikafungaaBacaaaaaaaaaa ⚽️⚽️⚽️⚽️
Bomu mochwari 😂Top scorer Bacaaaaaaa ⚽️😀
Kama jana tu bomu lilivyopigwa mochwari kwa KageraBomu mochwari [emoji23]
Acha uongo wako! Eti Simba wametuacha mbalii kwa points wakati ni point 1 tu mfwiiUto mkishinda mtakuwa na points sawa na Azam ila kwa mnyama kawaacha mbali kwa points na idadi ya magoli...
Endeleeni kugombania nafasi ya pili ila kuongoza ligi sahauni
Naona mmeamua kutuziba pumzi 😉😉😉Katika siku nyingine, siku ya Jumapili ya tarehe 22/12/2024 timu ya Young Africans almarufu wananchi watakuwa dimbani KMC complex kuzitafuta alama tatu dhidi ya Tanzania prisons almarufu kama wajela jela.
Timu ya Young Africans inajitafuta kurudi kwenye makali yake baada ya kupata vipigo mfululizo kwenye mechi mbili za nyuma za ligi kuu, je mashine kutoka ujerumani itaweza kufufua matumaini ya wananchi leo kutetea makombe yao kwa kupata alama tatu dhidi ya wajela jela au simanzi kuendelea ndani ya mtaa wa Twiga na Jangwani? Tukae sote kuzishuhudia dakika 90 za mtanange huu wa kukata na shoka hapo baadae saa kumi
Kikosi cha Yanga kinachoaanza leo:
Yanga wanaongoza kundi kutoka CHINI..😊😉😂😂🤣🤣😅😅😀Wajifariji tu hakuna namna
View attachment 3182651
Huu msimamo unaweza kubadilika kwanzia raundi ya 4 kwani msimu uliopita mmesahau hadi raundi ya tatu Yanga walikuwa wa mwisho wakiwa na point 2 tu?Wajifariji tu hakuna namna
View attachment 3182651