Shanily
JF-Expert Member
- Nov 4, 2024
- 856
- 1,662
ππ Wee huogopiYanga wanaongoza kundi kutoka CHINI..πππππ€£π€£π π π
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ππ Wee huogopiYanga wanaongoza kundi kutoka CHINI..πππππ€£π€£π π π
Mwaka huu medeama hayupoHuu msimamo unaweza kubadilika kwanzia raundi ya 4 kwani msimu uliopita mmesahau hadi raundi ya tatu Yanga walikuwa wa mwisho wakiwa na point 2 tu?
Mkuu waacheni hata wapate raha khaaaaπ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Yanga wanaongoza kundi kutoka CHINI..πππππ€£π€£π π π
Kwani Medeama pekee ndiye aliyeipa Yanga point? Vipi Al Ahly na Belouizdad hawakuipa Yanga point?Mwaka huu medeama hayupo
Kula tano mkubwa!Yanga 4 : Jelajela 0
Vipi ajapataHata nusu yake hampati
Kijana ogopa sana timu ambayo beki ndio anafunga zaidi kuliko strekaMagoli ya Bacca ya mechi moja ni mengi kuliko ya Kibu mwaka na nusu
Mwaka mwingine na timu nyingneKwani Medeama pekee ndiye aliyeipa Yanga point? Vipi Al Ahly na Belouizdad hawakuipa Yanga point?
πππJamaa waongo sanaaaWatu hawapendi kujisumbua kutoa updates kwenye movies za Kihindi.
Movies za Kihindi hazinaga mvuto
View attachment 3182605
Unamjuaa Mpumelelo Dube wewe??.!Kijana ogopa sana timu ambayo beki ndio anafunga zaidi kuliko streka
DuuuYanga 4 : Jelajela 0
Ondoa hofu hawa mtawapiga goli 5Hawa prisons walichofanya leo ni kulegeza ili kesho kutwa wakikutana na simba wakamie, yani leo ukiangalia ni kama hawakutaka kujichosha kabisa hakuna mashambulizi wala kukaba wanatunza nguvu zao kwa ajili ya kesho kutwa, yani ni kama timu za ligi kuu ghafla zimeswitch kutoka kuiogopa na kuikamia yanga hadi kuiogopa na kuikamia simba dooh
Malalamiko fc mmeanza!!!Hawa prisons walichofanya leo ni kulegeza ili kesho kutwa wakikutana na simba wakamie, yani leo ukiangalia ni kama hawakutaka kujichosha kabisa hakuna mashambulizi wala kukaba wanatunza nguvu zao kwa ajili ya kesho kutwa, yani ni kama timu za ligi kuu ghafla zimeswitch kutoka kuiogopa na kuikamia yanga hadi kuiogopa na kuikamia simba dooh