Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 8,611
- 16,118
😂😂 Ma'ke hapa n'cheke kwanza, umetisha Sana mkuuExAlieshika camera kazingua sana, kuna vitu muhimu alikua hashoot, ye kakazana kushoot mashuka yaliyo chink tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂 Ma'ke hapa n'cheke kwanza, umetisha Sana mkuuExAlieshika camera kazingua sana, kuna vitu muhimu alikua hashoot, ye kakazana kushoot mashuka yaliyo chink tu.
OkeiAutomatically huna uhusianao wa kihisia na mmeo/mke. HAKUNA binadam mwenye hisia za dhati juu ya ndoa yake akawa hivyo. Unless ndio pigo zako.... Unayoyaona pia unayafanya 🙄
Joanah njoo ukasome hapa tafadhaliunasema wanagombania ncha kali kwa sababu umri wako mdogo, hujaoa, hujapatwa na misukosuko ya ndoa. Au kama ni mtu mzima basi upeo wako mdogo, a plain old nitwit
watu huwa wanawekeza mipango yao, maisha yao na ya watoto wao kwenye ndoa, inapoharibika kwa wengi huwa ni karibia na death blow.
MyanguWee...unaweza pigana kisa mume?
haina haja ya kwenda kufumania , sijui unapigana! Kwanini ujitese??
Inakusaidia nini ukimpiga mtu kwa mfano?
Na ukiambiwa wapo mahali fulani eti unakwenda kuhakikisha nini? Ukishahakikisha na Ili ukijua ufanyeje sasa?
Wewe umezaa nje , mume wako umpendi nyamaza Mrs Thabo BesterSema na wewe aise....! Naanzaje...aku
Huu utopolo ndio siwezi kuja kuufanya
Eti kupigana na mwanamke niliyegundua anachepuka na mume wangu
Ukiona hivyo ujue huyo mkewe anadhibiti sana panchaHUYO MGONJWA (MCHEPUKO) KAJIPAMBANIA MNO, ILA WANAUME TUNA MBINU SANA AISE [emoji16]
Shida ni kwamba tunatofautiana mawazo/misimamo
Hana udogo wowote sema ndio tabia zake kutoka na waume za watu.....unasema wanagombania ncha kali kwa sababu umri wako mdogo, hujaolewa, hujaoa, hujapatwa na misukosuko ya ndoa. Au kama ni mtu mzima basi upeo wako simply ni mdogo, unafikiria kupatwa na ncha kali muda wote, a plain old nitwit
watu huwa wanawekeza mipango yao, maisha yao na ya watoto wao kwenye ndoa, inapoharibika kwa wengi huwa ni karibia na death blow.
Akishajua na akakomaa itaishajeSana sana nitafanya namna mume ajue najua anachofanya
Hakuna kitu nitafanya mtu naneTuambie vile utafanya Jo...
Itaisha akiamua yeye kuacha 🤷♀️Akishajua na akakomaa itaishaje
Upo sahihi,Joanah utakuwa humpendi mumeo tu, hapa Duniani Ni Bora mtu akunyang'anye vyote lakini akuachie mwenzako unayempenda kwa dhati yako yote.
Mapenzi yanauma Sana huyo mwanamke yupo sawa tu.
Safi, kwa hiyo hautamsusia mwizi wako?!Itaisha akiamua yeye kuacha [emoji2368]
Ama unadhani ukipigana ndio ataacha?
Uko sahihi mkuu kabisa.Utakuwa hujaolewa na mme umpendae wewe, au unaishi nae bora liende..... 🙄
Nchi gani hili limetokeaMke wa doctor amemfumania mume wake kituo cha kazi ( cha afya), akiwa na mchepuko,
Huku mchepuko akilala utupu kitanda cha mgonjwa kama mgojwa. Ili achepuke na doctor.
SORRY FOR VIDEO.
SIO MZURI SANA.
View attachment 2653675
View attachment 2653675
Na aliyepiga picha ma kuisambaza nani?Mke wa doctor amemfumania mume wake kituo cha kazi ( cha afya), akiwa na mchepuko,
Huku mchepuko akilala utupu kitanda cha mgonjwa kama mgojwa. Ili achepuke na doctor.
Mfano ndiyo umemfumania live kwenye kitanda unacholala wewe na mume wako.Huu utopolo ndio siwezi kuja kuufanya
Eti kupigana na mwanamke niliyegundua anachepuka na mume wangu