FUMANIZI: Mke amfumania mume (doctor) akimlaza mchepuko kama mgonjwa

Ile comment uliiona ni ya serious? πŸ˜†πŸ˜† nikaandika kiben 5..lol..pole...mimi siww pigana kabisamume...ntapigana iwe ni sababu ya mom au baba
 
Tuachie utani...madokta wanafaidi aisee...ukiachilia mbali ile sauti yao ya unyenyekevu....ni Tongoza-Shawishi tosha kabisa kwa mtoto wa kike alielimbikiza/aliefuga nye.ge! Halafu akaugua ghafla!
 
haina haja ya kwenda kufumania , sijui unapigana! Kwanini ujitese??
Inakusaidia nini ukimpiga mtu kwa mfano?
Na ukiambiwa wapo mahali fulani eti unakwenda kuhakikisha nini? Ukishahakikisha na Ili ukijua ufanyeje sasa?
Asante naddy...sema na wewe wanaona raha wanawake kudhalilishana kisa mume .never on eath
 
Mke wa doctor amemfumania mume wake kituo cha kazi ( cha afya), akiwa na mchepuko,
Huku mchepuko akilala utupu kitanda cha mgonjwa kama mgojwa. Ili achepuke na doctor.


SORRY FOR VIDEO.
SIO MZURI SANA.

Video deleted
Mgonjwa wa mchongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…