azyzy omary
JF-Expert Member
- Dec 8, 2020
- 863
- 1,293
Daah mambo ni mengi asee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23] Mkuu kumbe wanawake nao Wana wivu kiasi hiki jamani!
Sasa hapo mwanamke ana kosa gani?Si apigane na aliemsaliti hilo gume gume lake,mmewe.
Siku akimpata me aliye muingia moyoni ndani kabisa. Akaolewa nae afu kikampata hicho ataelewa.
Kwa kawaida ukiona huna wivu na mwenzio ujue kabisa haumpendi kabisa. Na hata ukimwona mwenzio hana hata wivu ujue kuwa hakupendi.
Kama Mrs Thabo Bester si mmesoma comment zake hapa.
Huyo bibie nilisoma comment yake kwenye uzi mmoja kuwa alizaa nje ya ndoa, japo mume wake alimsamehe .
Wewe ni Mwanamke unayejiamini.Huu utopolo ndio siwezi kuja kuufanya
Eti kupigana na mwanamke niliyegundua anachepuka na mume wangu
Nitext plz....butiama ? tatizo singeli nyingi pale
Afanye nisijue siyo dharau mtindo mmoja kitaa ntawatoa makalio aisee.Hahahha....utapigana na wangapi??
Kwanini asikatae alipotongozwa?
Especially Kama anajua kuwa jamaa ni mume wa mtu?
Labda kama hajui.
😀😀...una moyo..Afanye nisijue siyo dharau mtindo mmoja kitaa ntawatoa makalio aisee.
NakaziaWengi ni sababu ya ujinga na mapokeo tu na wala siyo wivu wala upendo.
Mkuu, ebu usiwe unadharau threds za muhimu kama hizi...😋Mijinga yote.
Nimepata 😂😂Kwani haujaipata mkuu...😳
Mme anauma jamani🤣Ila kuna wanawake wanajua kupenda jamani...dah...!kisa mume??pyee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu sio yule doctor wa saratani ya matiti kweli?
Sema na wewe aise....! Naanzaje...aku
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ati kiingerezaYule mwenye shanga za uno nimemsikia analia kwa kingereza....[emoji39]
Basi comments ziwe fupifupi ili tuokoe muda....[emoji1787]
Kweri kweri😀😀...Mme anauma jamani🤣
📌📌Mijinga yote.
Kwanza kupigana na mwanamke mwenzio kisa mume ni kumfanya huyo mwanaume avimbe kichwa kwa sababu anagombaniwa,mwanamke mwenye akili Huwa ana mute tu hata kama anajua kila kitu.Ni kweli,nitakuwa simpendi kama kigezo cha upendo ni kupigana na mwanamke ambaye kuna uwezekano mkubwa alitongozwa na mume wangu ambaye anajua ana mke
Nakuunga mkonoWalk away... [emoji2368]