kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,779
- 4,982
Najibu swali la kwanza
Yohana 17 : 3
Jibu ni philiipe 2:5 - 11
ambaye yeye mwanzo alikuwa yuna namna ya Mungu, naye hakuona kule kuwa sawa na Mungu kuwa ni kitu cha kushikamana nacho; bali alijifanya kuwa hana utukufu, akatwaa namna ya mtumwa, akawa ana mfano wa wanadamu; tena, alipoonekana ana umbo kama mwanadamu, alijinyenyekeza akawa mtii hata mauti, naam, mauti ya msalaba. Kwa hiyo tena Mungu alimwadhimisha mno, akamkirimia Jina lile lipitalo kila jina; ili kwa jina la Yesu kila goti lipigwe, la vitu vya mbinguni, na vya duniani, na vya chini ya nchi; na kila ulimi ukiri ya kuwa YESU KRISTO NI BWANA, kwa utukufu wa Mungu Baba.
Kwa andiko hilo lina tuzibitishia yule alikuwa Mungu ndani ya mwili wa wanadamu
Hiyo ni kawaida ya Mungu anaweza kujibadirisha chochote na anacho kipenda
Kwa hiyo kwa yesu alikuja mwenyewe akaona kuliko kujiita Mungu ni bora niwe kama mwanadamu mwenzao
Sent using Jamii Forums mobile app
Yohana 17 : 3
Jibu ni philiipe 2:5 - 11
ambaye yeye mwanzo alikuwa yuna namna ya Mungu, naye hakuona kule kuwa sawa na Mungu kuwa ni kitu cha kushikamana nacho; bali alijifanya kuwa hana utukufu, akatwaa namna ya mtumwa, akawa ana mfano wa wanadamu; tena, alipoonekana ana umbo kama mwanadamu, alijinyenyekeza akawa mtii hata mauti, naam, mauti ya msalaba. Kwa hiyo tena Mungu alimwadhimisha mno, akamkirimia Jina lile lipitalo kila jina; ili kwa jina la Yesu kila goti lipigwe, la vitu vya mbinguni, na vya duniani, na vya chini ya nchi; na kila ulimi ukiri ya kuwa YESU KRISTO NI BWANA, kwa utukufu wa Mungu Baba.
Kwa andiko hilo lina tuzibitishia yule alikuwa Mungu ndani ya mwili wa wanadamu
Hiyo ni kawaida ya Mungu anaweza kujibadirisha chochote na anacho kipenda
Kwa hiyo kwa yesu alikuja mwenyewe akaona kuliko kujiita Mungu ni bora niwe kama mwanadamu mwenzao
Sent using Jamii Forums mobile app