Fundisho la Utatu haliingii akilini kabisa, mnaoamini mmetoa wapi mbona Biblia iko wazi kabisa?

Fundisho la Utatu haliingii akilini kabisa, mnaoamini mmetoa wapi mbona Biblia iko wazi kabisa?

Mungu ni intangible ila yesu ni mtu kweli akili ni nywele kila mtu ana zake.
Mbona husemi Allah ni Moto???
Akíli kweli ni nywele![emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji116][emoji116]
وَهَلْ أَتَىٰكَ حَدِيثُ مُوسَىٰٓ ﴿٩﴾
Na je! Imekufikia hadithi ya Musa?
إِذْ رَءَا نَارًۭا فَقَالَ لِأَهْلِهِ ٱمْكُثُوٓاْ إِنِّىٓ ءَانَسْتُ نَارًۭا لَّعَلِّىٓ ءَاتِيكُم مِّنْهَا بِقَبَسٍ أَوْ أَجِدُ عَلَى ٱلنَّارِ هُدًۭى ﴿١٠﴾
Alipo uona moto, akawaambia watu wake: Ngojeni! Mimi nimeuona moto, huenda nikakuleteeni kijinga kutoka huo moto, au nikapata uongofu kwenye moto.
فَلَمَّآ أَتَىٰهَا نُودِىَ يَٰمُوسَىٰٓ ﴿١١﴾
Basi alipo ufikia akaitwa: Ewe Musa!
إِنِّىٓ أَنَا۠ رَبُّكَ فَٱخْلَعْ نَعْلَيْكَ ۖ إِنَّكَ بِٱلْوَادِ ٱلْمُقَدَّسِ طُوًۭى ﴿١٢﴾
Hakika Mimi ndiye Mola wako Mlezi! Basi vua viatu vyako. Kwani upo katika bonde takatifu la T'uwa.
 
Alishiriki kuumba
Kwamba pasipo yeye (Yesu) hapakufanyika chochote kilichofanyika (kilichoumbwa).

If it was only and only God who created everything, utasemaje Yesu sio Mungu? Tena Yesu kwa kinywa chake anashuhudia mimi na Baba tu umoja; kama Baba ni Mungu inaingiaje akilini kwamba Yesu si Mungu?
 
Form one nimefika na pia kuishi humo mwaka mzima. Biolojia pia nimesoma. Seli ina sehemu nyingi na haielezi kitu juu ya uhai wake kuwa unatoka wapi na unakaa wapi ndani yake.

Je uhai umetoka wapi na unakaa wapi katika hiyo seli? Unaweza kuuthibitisha hilo au unaamini tu?

Kumbuka kuwa, sio kila jambo lina mfumo wa kuthibitisha uwepo wake. Uhai upo mwilini lakini huwezi kuthibitisha umetoka wapi na unakwenda wapi baada ya kufa.
Hata kifo pia kipo mwilini lakini hatuna mfumo wa kuthibitisha uwepo wake.

Amini Mungu yupo kama unavyoamini kuwa uhai upo katika seli za mwili. Kutokuwa na nfumo wa kuthibitisha, sio njia sahihi ya kusema kuwa jambo husika halipo.

Mungu yupo, nakutakia xmas njema.
Mkuu nimekueleza kwa nini uhai hautoki kwa Mungu, kwa sababu kuna contradiction katika dhana ya uhai kutoka kwa Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote halafu watu wakawa wanaumwa, wanazeeka, wanakufa.

Hujaipangua contradiction hiyo.

Huwezi kuipangua.

Kwa sababu Mungu hayupo.

Kama unabisha, thibitisha Mungu yupo, halafu pangua hiyo contradiction.

Kama umeielewa, maana naona hujaielewa.
 
Ngoja ufe utathibitisha.
Hata kifo ni uthibitisho kwamba Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.

Kwa sifa hizo, Mungu huyo asingeumba ulimwengu ambao unaruhusu kifo kinachotenganisha watu wanaopendana sana, hata kwa sekunde moja.

Kwa hivyo, nikifa, kifo changu nacho kitazidi kuthibitisha Mungu hayupo.
 
Mkuu nimekueleza kwa nini uhai hautoki kwa Mungu, kwa sababu kuna contradiction katika dhana ya uhai kutoka kwa Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote halafu watu wakawa wanaumwa, wanazeeka, wanakufa.

Hujaipangua contradiction hiyo.

Huwezi kuipangua.

Kwa sababu Mungu hayupo.

Kama unabisha, thibitisha Mungu yupo, halafu pangua hiyo contradiction.

Kama umeielewa, maana naona hujaielewa.
Ni kweli umenieleza kuwa uhai hautoki kwa Mungu. Silaha kubwa unayotumia ni kuwa kuna utata katika dhana ya uhai kutoka kwa Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote halafu watu wakawa wanaumwa, wanazeeka, wanakufa.

Hayo mambo uliyoyataja hayawezi kuwa pasipo mamlaka ya Mungu. Haijalishi tunayapenda au hatuyapendi, lakini yote ni ya Mungu.

Huo ni ushahidi tosha kuwa Mungu yupo kwani hakuna kitu chochote kinachoweza kutengenza watu wawe wanaumwa, wanazeeka na wanakufa. Ni Mungu tu.

Unasisitiza nipangue hoja yako ya kuwa Mungu hayupo. Kwa taarifa yako, mimi sipangui hoja yoyote kizembe. Akili za kuambiwa, naongeza na zangu.

Pia umerudia tena nithibitishe uwepo wa Mungu! Nilikujibu kuwa sio kila jambo lina mfumo kuthitisha uwepo wake. Rejea post #156. Uhai, kifo, uzee na pia usinginzi huwezi kuvithibitisha uwepo wake ingawa tunavyo mwilini mwetu.

Acha kiburi na ukengeufu dhidi ya Mungu.

Nakutakia heri ya mwaka mpya.
 
Mleta mada nenda kamuulize mchungaji/kasisi wako humu wengi ni wataalamu wa kuchambua aina za Mbususu,G spot NK.
 
Ni kweli umenieleza kuwa uhai hautoki kwa Mungu. Silaha kubwa unayotumia ni kuwa kuna utata katika dhana ya uhai kutoka kwa Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote halafu watu wakawa wanaumwa, wanazeeka, wanakufa.

Hayo mambo uliyoyataja hayawezi kuwa pasipo mamlaka ya Mungu. Haijalishi tunayapenda au hatuyapendi, lakini yote ni ya Mungu.

Huo ni ushahidi tosha kuwa Mungu yupo kwani hakuna kitu chochote kinachoweza kutengenza watu wawe wanaumwa, wanazeeka na wanakufa. Ni Mungu tu.

Unasisitiza nipangue hoja yako ya kuwa Mungu hayupo. Kwa taarifa yako, mimi sipangui hoja yoyote kizembe. Akili za kuambiwa, naongeza na zangu.

Pia umerudia tena nithibitishe uwepo wa Mungu! Nilikujibu kuwa sio kila jambo lina mfumo kuthitisha uwepo wake. Rejea post #156. Uhai, kifo, uzee na pia usinginzi huwezi kuvithibitisha uwepo wake ingawa tunavyo mwilini mwetu.

Acha kiburi na ukengeufu dhidi ya Mungu.

Nakutakia heri ya mwaka mpya.
Hujapangua hoja zinazoonesha Mungu hayupo.

Hujathibitisha Mungu yupo.

Huwezi kupangua hoja hizo wala kuthibitisha Mungu yupo.

Kwa sababu Mungu hayupo.

Kama unabisha.

Pangua hoja zinazoonesha Mungu hayupo.

Thibitisha Mungu yupo.
 
Hujapangua hoja zinazoonesha Mungu hayupo.

Hujathibitisha Mungu yupo.

Huwezi kupangua hoja hizo wala kuthibitisha Mungu yupo.

Kwa sababu Mungu hayupo.

Kama unabisha.

Pangua hoja zinazoonesha Mungu hayupo.

Thibitisha Mungu yupo.
Nathibitisha kuwa Mungu yupo kwa kuwa tunamjadli. Hatuwezi kujadili jambo ambalo halipo, nikiamini kuwa hatuna tatizo la afya ya akili.

Uthibitisho: Mungu anajadiliwa
Hitimisho : Mungu yupo.

Angalizo: Tuache kiburi na kukengeuka dhidi ya Mungu.
 
Nathibitisha kuwa Mungu yupo kwa kuwa tunamjadli. Hatuwezi kujadili jambo ambalo halipo, nikiamini kuwa hatuna tatizo la afya ya akili.

Uthibitisho: Mungu anajadiliwa
Hitimisho : Mungu yupo.

Angalizo: Tuache kiburi na kukengeuka dhidi ya Mungu.
Tunaweza kumjadili James Bond 007.

Jasusi la Kiingereza.

Je, hilo linamaanisha James Bond 007 jasusi la Kiingereza lipo kweli nje ya hadithi na sinema?
 
Tunaweza kumjadili James Bond 007.

Jasusi la Kiingereza.

Je, hilo linamaanisha James Bond 007 jasusi la Kiingereza lipo kweli nje ya hadithi na sinema?
Ndiyo, tunaweza kumjadili kama mhusika wa kubuni.

Jasusi hilo la Kiingereza halitakuwapo nje ya hadithi na sinema zake . Ni kwa sababu atakuwa amekosa utambulisho wa kazi yake.

Pasipo hadithi na sinema zake, hakuna James Bond.
 
Nasikitika sana kuona mtu anatetea fundisho la Utatu jambo ambalo ndani ya biblia halipo.

Upo ushahidi mwingi wa maandiko unaotofautisha Mungu, Yesu Kristo na Roho Takatifu ambayo waamini wa Utatu wanaita Roho Mtakatifu kama vile ni mtu. Je, Mungu anaonekana? Yesu alionekana, hakuna aliemuona Mungu hata Musa mwenyewe.

~ Andiko la Yoh 17:3 lina maana gani? Ikiwa Yesu ni Mungu?

~ Methali 8:30 ina maanisha nini?

~ Mwanzo 1:26 Mungu alikuwa akizungumza na nani?

Ningependa kupata majibu ya maandiko, jibu hoja kwa andiko ili tuamini unachosema. Maandiko yapo mengi sana yanayo tifautisha Mungu, Yesu na roho/nguvu ya Mungu ya utendaji.
Watu maskini ndio hushinda wakichunguza maandiko matakatifu,
Kitu kiliandikwa Karne ya kwanza!!unabishana na waliokikuta na wewe umekikuta!!
Wewe jadili formula za kisayansi,na zitumie hizo kuleta maendeleo,mambo ya dini mtabishana weeee,mwishowe ni kuchqpana Ngumi tu,
Hivi unafikiri watoto wa Eron musk,wanaenda hata kanisani,au msikitini?kupata kipaimara?au utakuja kusikia mtoto wa bakheresa,au Kikwete kaenda kushindana kukalili Quran!!
Sasa hv watu wanawaza artificial intelligence,robotics,magari ya umeme,EVs,drones,GMO,
Wewe hata kutumia rasilimali za nchi,Ili ununue vogue,unashindwa,unaleta hujuaji kwenye biblia!!
 
Ndiyo, tunaweza kumjadili kama mhusika wa kubuni.

Jasusi hilo la Kiingereza halitakuwapo nje ya hadithi na sinema zake . Ni kwa sababu atakuwa amekosa utambulisho wa kazi yake.

Pasipo hadithi na sinema zake, hakuna James Bond.
Kwa hivyo, James Bond kuweza kujadiliwa hakuthibitishi James Bond yupo kweli nje ya hadithi na sinema kama mtu, ni character wa hadithi tu.

Na Mungu naye kuweza kujadiliwa hakuthibitishi Mungu yupo kweli nje ya hadithi tu.

Hiyo habari ya kwamba "kitu kikiweza kujadiliwa, hilo linathibitisha kipo" ni makosa ya kimantiki, si sawa, ni epic fail.
 
Watu maskini ndio hushinda wakichunguza maandiko matakatifu,
Kitu kiliandikwa Karne ya kwanza!!unabishana na waliokikuta na wewe umekikuta!!
Wewe jadili formula za kisayansi,na zitumie hizo kuleta maendeleo,mambo ya dini mtabishana weeee,mwishowe ni kuchqpana Ngumi tu,
Hivi unafikiri watoto wa Eron musk,wanaenda hata kanisani,au msikitini?kupata kipaimara?au utakuja kusikia mtoto wa bakheresa,au Kikwete kaenda kushindana kukalili Quran!!
Sasa hv watu wanawaza artificial intelligence,robotics,magari ya umeme,EVs,drones,GMO,
Wewe hata kutumia rasilimali za nchi,Ili ununue vogue,unashindwa,unaleta hujuaji kwenye biblia!!
Pole sana
 
Kiranga heb ulimwengu umetoka wapi,au umeenzaje
Ulimwengu ni nini?

Unajuaje umetoka popote au hata umeanza?

Unaelewa kwamba hiyo dhana ya kwamba hiki kinaanza, halafu kinasababisha kingine, katika muda unaotiririka, hai apply kote?
 
Kwa hivyo, James Bond kuweza kujadiliwa hakuthibitishi James Bond yupo kweli nje ya hadithi na sinema kama mtu, ni character wa hadithi tu.

Na Mungu naye kuweza kujadiliwa hakuthibitishi Mungu yupo kweli nje ya hadithi tu.

Hiyo habari ya kwamba "kitu kikiweza kujadiliwa, hilo linathibitisha kipo" ni makosa ya kimantiki, si sawa, ni epic fail.
Ukiongea juu James Bond, unaongea juu ya hadithi na ukiongea juu ya Mungu, unaongea juu ya historia.

Ipo tofauti kati ya hadithi na historia. Hadithi ni mambo ya kutunga tu na mhusika wa kubuni, wala hayana uhalisia. Historia haihitaji mhusika wa kubuni. Ni matukio halisi yaliyotokea muda uliopita. Historia haitungwi wala haina mhusika wa kubuni.

Kwa hiyo tunamjadili Mungu kihistoria wala si kihadithi.

Kwako itakuwa sahihi kusema Mungu hayupo iwapo unasoma biblia/kurani kama kitabu cha hadithi.

Mimi nasoma kama historia. Jambo la kihistoria daima lipo, halifutiki. Mungu yupo.

Tuache kiburi Mungu yupo.
 
Ukiongea juu James Bond, unaongea juu ya hadithi na ukiongea juu ya Mungu, unaongea juu ya historia.

Ipo tofauti kati ya hadithi na historia. Hadithi ni mambo ya kutunga tu na mhusika wa kubuni, wala hayana uhalisia. Historia haihitaji mhusika wa kubuni. Ni matukio halisi yaliyotokea muda uliopita. Historia haitungwi wala haina mhusika wa kubuni.

Kwa hiyo tunamjadili Mungu kihistoria wala si kihadithi.

Kwako itakuwa sahihi kusema Mungu hayupo iwapo unasoma biblia/kurani kama kitabu cha hadithi.

Mimi nasoma kama historia. Jambo la kihistoria daima lipo, halifutiki. Mungu yupo.

Tuache kiburi Mungu yupo.
Hoja yako ilikuwa kwamba, ukikijadili tu kitu, hilo linathibitisha kuwa kipo kweli.

Kwa sababu, kama hakipo kweli, usingeweza kukijadili.

Hivyo, kumjadili Mungu tu kunathibitisha kwamba yupo kweli.

Nimekuonesha kwamba tunaweza kumjadili James Bond 007, jasusi wa Kiingereza, ambaye ni character wa hadithi na sinema, hayupo nje ya hadithi na sinema.

Hivyo, hoja yako kwamba kitu ukiweza kukijadili tu huo ni uthibitisho kwamba kipo kiukweli, nje ya ulimwengu wa fikra na hadithi tu, imeonekana kuwa ni potofu na haina mashiko.

Jaribu hoja nyingine.

Ukisema Mungu yupo kihistoria na si kihaithi, toa uthibitisho kwamba Mungu yupo.

Unaelewa kwamba historia inatenganishwa na hadithi tupu kwa uthibitisho right?

Thibitisha Mungu yupo, acha longolongo.
 
Back
Top Bottom