Funga mwaka: Ukweli usemwe kuhusu mambo matatu yaliyomshinda Hayati Magufuli

Katiba mpya itakimbiza nyie vikaragosi wote , ni kweli Shetani hana rafiki , lakini chadema haina urafiki na shetani
Kumbuka jamaa alisema kuwa huu ndio mwaka wake wa mwisho siasani.

Sasa ujiandae kutafuta kibarua kingine cha kukupa ugali wako wa siku. Maana huenda mwenyekiti ajae hatokuwa na pesa za kuwalipa chawa wote wa mitandaoni.
 
Wewe mbona unalambwa kinyeo watu tunapiga kimya tu? Kama vipi mfuate huyu Mhutu huko jehanam
 
Akili fupi sana hata kuandika nishida kwako.
Nyie ndio vyeti feki wenyewe.

Ukiona mtu anashindwa kunyoosha sentence zake vizuri kama wewe ujue ni standard seven failure.
 
Kazikwe nae Chato
 
Kumbuka jamaa alisema kuwa huu ndio mwaka wake wa mwisho siasani.

Sasa ujiandae kutafuta kibarua kingine cha kukupa ugali wako wa siku. Maana huenda mwenyekiti ajae hatokuwa na pesa za kuwalipa chawa wote wa mitandaoni.
Narudia tena , mimi ndio nailipa Chadema ili kuiwezesha kuwakomboa Watanzania
 
Unamuitaje mtu anayekwambia 'maendeleo hayana vyama' halafu ndani ya dakika moja hiyo hiyo anakulaumu umechelewesha maendeleo kwa kumchagua mbunge kutoka CHADEMA?
 
WIVU WIVU WIVU UTAKUFA BILA KUGUSA KUTA ZA IKULU
Mwenyekiti wa upinzani akishagusa na kulamba asali inatosha. Nyie wengine mbakie kuwa chawa na kutumia bando lenu wenyewe kumsifu na kumsujudia kamanda mkuu.
 
Narudia tena , mimi ndio nailipa Chadema ili kuiwezesha kuwakomboa Watanzania
Kama unategemea kuwa watanzania watakombolewa na wapinzani wa namna hii basi unakosea sana.
Ukombozi huletwa na watu makini wanaosimamia kile wanachokiamini bila kuyumba wala kuyumbishwa kwa vijiposho vidogo vidogo kama anavyopewa mwenyekiti. Wengi wetu ukiwemo wewe mwenyewe unajua kinachoendelea kwa viongozi hawa wa upinzani, sema ndo hivyo na wewe unapambania tumbo lako kwahiyo lazima ujipe upofu.
 

Attachments

  • images (1).jpeg
    27.8 KB · Views: 4
  • download.jpeg
    10.7 KB · Views: 4
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…