Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
- Thread starter
-
- #41
Kumbuka jamaa alisema kuwa huu ndio mwaka wake wa mwisho siasani.Katiba mpya itakimbiza nyie vikaragosi wote , ni kweli Shetani hana rafiki , lakini chadema haina urafiki na shetani
Duh !!Vile tunalinda legacyπͺππππ
View attachment 2465078
Umesahau na legacy nyingine hii hapa mkuuVile tunalinda legacyπͺππππ
View attachment 2465078
Wewe mbona unalambwa kinyeo watu tunapiga kimya tu? Kama vipi mfuate huyu Mhutu huko jehanamHabari zenu wana JF wenzangu.
Hapo chini ni mambo 10 yaliomshinda raisi Magufuli enzi za uhai wake.
1) Alishindwa kuwa mnafiki
2) Alishindwa kushirikiana na mabeberu walioinyonya nchi yetu
3) Alishindwa kuwasujudia wazungu waliojifanya kutupa misaada mbali mbali ili aruhusu ndoa za jinsia moja nk.
Nimalizie kwa kumpongeza mwenyekiti wa Chadema mh Freeman Mbowe kwa kumtembelea raisi wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mama Samia S Hassan kwa mara ya tatu mfululizo kwa lengo la kulamba asali kimya kimya [emoji219]
Ndugu mwana JF tambua kwamba ulambaji wa asali ni mzuri kwa afya yako [emoji23][emoji1787][emoji1787]
Sura ya kuzimu kabisa
Then he's a hero!.Marehemu on fleek
Akili fupi sana hata kuandika nishida kwako.1. Magufuli ndiye rais mnafiki kuliki wote kuwahi kutokea Tanzania. Tena afadhali wenzake walijua kufanya unafiki kijanja, yeye alifanya unafiki kijinga. Alivunja katiba aliyoapa kuitetea, waziwazi.
2. Kashirikiana na mabeberu kajibaraguza kuwabana kwenye makenika, watu wakapiga hedabu za kila mtu kupata Noah yake, kumbe mwishoni akapozwa kama mtoto mdogo.
3. Hakuna rais aliyeeahi kuruhusu ndoa za jinsia moja Tanzania. Na Makinda alivyowasakama mashiga, Waziri wa Serikali ya Tanzania Dr. Mahiga alimuimbea msamaha bila Magufuli kukataza hilo.
Wataje tuone kama hawakuwa mafisadi wahujumuuchumi.Huna akili ? Mbona unaficha uporaji aliofanya Magufuli kwa Wafanyabiashara Wazalendo ?
Kazikwe nae ChatoHabari zenu wana JF wenzangu.
Hapo chini ni mambo 10 yaliomshinda raisi Magufuli enzi za uhai wake.
1) Alishindwa kuwa mnafiki
2) Alishindwa kushirikiana na mabeberu walioinyonya nchi yetu
3) Alishindwa kuwasujudia wazungu waliojifanya kutupa misaada mbali mbali ili aruhusu ndoa za jinsia moja nk.
Nimalizie kwa kumpongeza mwenyekiti wa Chadema mh Freeman Mbowe kwa kumtembelea raisi wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mama Samia S Hassan kwa mara ya tatu mfululizo kwa lengo la kulamba asali kimya kimya π
Ndugu mwana JF tambua kwamba ulambaji wa asali ni mzuri kwa afya yako ππ€£π€£
Narudia tena , mimi ndio nailipa Chadema ili kuiwezesha kuwakomboa WatanzaniaKumbuka jamaa alisema kuwa huu ndio mwaka wake wa mwisho siasani.
Sasa ujiandae kutafuta kibarua kingine cha kukupa ugali wako wa siku. Maana huenda mwenyekiti ajae hatokuwa na pesa za kuwalipa chawa wote wa mitandaoni.
Hakika wewe ndo umeelewa na kuandika kile nilichokikusudia.Alishindwa kuwasujudia wastaafu wanafiki
Mama yako mzazi anayo hiyo picha,mwambie akuonyesheHuyo unayemzungumzia alikuwa ni mchezaji wa Simba au yanga?
Pia ukitupia na picha yake utatusaidia sana kumfahamu
Mwenyekiti wa upinzani akishagusa na kulamba asali inatosha. Nyie wengine mbakie kuwa chawa na kutumia bando lenu wenyewe kumsifu na kumsujudia kamanda mkuu.WIVU WIVU WIVU UTAKUFA BILA KUGUSA KUTA ZA IKULU
Wafanyabiashara wakwepa kodi?Alishindwa kuweka misingi mizuri kwa wafanya biashara
Kama unategemea kuwa watanzania watakombolewa na wapinzani wa namna hii basi unakosea sana.Narudia tena , mimi ndio nailipa Chadema ili kuiwezesha kuwakomboa Watanzania
Umemjibu kiume mkuu, safi sana πππMama yako mzazi anayo hiyo picha,mwambie akuonyeshe