Fungua jicho la tatu

Nakwambia mambo machache sana. Mengine nitayazungumza kwa App kwa kuwa yanatisha. Sasa sikia.

Huu uzi wote ni tangazo la biashara ya app?

Sababu vitu vingine vyote ulivyoandika si vigeni...
 
Jicho la tatu!

Jicho la nne ono la njia ya kuzimu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeona unavyotetea wazungu😅😅
 
Kushoto jirani na mlango nimekaa safar ianze
Dere twende kaz
 
unajua bongo dili!!!,huyu jamaa amekuwa akitupiga dili kwa muda mrefu sana,,,sasa leo anatushawishi eti tufungue jicho la tatu,,,,,kapata ofa huko kisiwani mafia,,,,kuna jamaa kamwalika aende amfungue hilo jicho!!
 
We MPUMBAVU nimesoma madudu yako na binafsi najilaumu sana!

Naona target yako ilikuwa ni kuiponda dini moja kiaina na kutaka kuonesha kwamba haina maana isipokuwa nyingine ndo dini Kinara.

Wahaya hamuishagi mashauzi na ujuaji!

HOVYO KABISA!
Hapana hilo sio lengo langu... Lengo langu ni wewe kufungua jicho la tatu
 
Hapana hilo sio lengo langu... Lengo langu ni wewe kufungua jicho la tatu
Wewe uliyefungua tuletee dawa ya kansa.

Sio kuongea yasiyo na maana! Ubaguzi, mashauzi na udini tu 😏
 
Siku waarabu na wazungu wakisikia tumeacha hizi dini zao na kufuata utaratibu wetu wataogopa na kutetemeka kinyume na hapo tunaonekana shi_ho__ tu.
 
Siku waarabu na wazungu wakisikia tumeacha hizi dini zao na kufuata utaratibu wetu wataogopa na kutetemeka kinyume na hapo tunaonekana shi_ho__ tu.
Very true
 
App yako inaitwaje tupakue madini.
 
Vyuo vya uchawi ulaya vipo kitambo hata kabla ya Hicho.
Mwafrika hamfikii mzungu kwa uchawi
 
Kabla hayajasafiri usaka taarifa za kutosha kwenye media
 
Kabla hayajasafiri usaka taarifa za kutosha kwenye media
Hizi media nyingi ni controlled... Kuna taarifa wao wakitaka wewe huzisome utazisoma tu, wanakulisha wao wanachoona ni sahihi... Hii mifumo ina Algorithm, hata hawa JamiiForum kuna Uzi wanakuletea tu, au ukipost zinaamishwa au kufutwa....
 
Hizi mada za kufungua jicho la tatu waachie kina Mshana.Nimesoma huu Uzi umeandika ushuzi mtupu,nimegundua lengo lako ni kuponda uislam na kutukuza ukristo.
 
Kwa upande wa uislam dini Yao imejitosheleza Kwa kila kitu Yani Haina editing.Papa juzi kabariki ndoa za wase.nge halafu Bado unakomaa na uislam au hujazisikia hizo taarifa??au unajizima data!!!
 
Mimi naamini "dini ni utumwa ". Mwafrika unabebeshwa mzigo ya wazungu na wearabu bila ya kujitambua. Wao wanaishi kwa kuchungilia kwa kutumia jicho la tatu.

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…