Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Nakwambia mambo machache sana. Mengine nitayazungumza kwa App kwa kuwa yanatisha. Sasa sikia.
Huu uzi wote ni tangazo la biashara ya app?
Sababu vitu vingine vyote ulivyoandika si vigeni...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakwambia mambo machache sana. Mengine nitayazungumza kwa App kwa kuwa yanatisha. Sasa sikia.
Jicho la tatu!
Umeona unavyotetea wazungu😅😅Madarasa sio mfumo rasmi wa Elimu ya Dunia, madarasa zinahusu Elimu ya kiislamu... Kwani uliwahi kuona madarasa anaenda mtu mwingine tofauti na muislamu... Elimu ninayoizungumzia hapa ni Elimu ya Dunia... Wazungu wamejenga sana shule afrika na maeneo mbalimbali ya Dunia... Na mpaka walikuwa wanachukua watoto kwenda nao kuwasomesha ughaibuni. Lini umewahi kusikia muarabu kafungua shule na akachukua watu kwenda kuwasomesha... Zunguka kote Tanzania ni zimejaa shule za wazungu tena nyingine mpaka zinatumia mitihani ya uingereza na kuna mahospitali ya wazungu... Muarabu gani kafanya hayo Africa?
Kuondoka na kichwa cha mkwawa sio kwa sababu alikuwa ana Akili, sababu ya kuchukua kichwa ni kama uthibitisho kwenda kumuonesha kansela kuwa yule mtu msumbufu tumemuua, na kichwa chake kikatunzwa kama historia kwamba aliwasumbua, sio mkawa tu hata Patrice Lumumba walimng'oa jino, kwa hiyo utasema walichukua jino kwa sababu ya Akili? Utamaduni wa kuchukuwa kichwa au kiungo cha mwili ni utamaduni wa kale wa wazungu, walikuwa wakienda kuwinda wanyama wanachukua vichwa vyao na kurudi navyo nyumbani kama uthibitisho wamemuua huyo mnyama "Hunting Trophy"
Wewe unachokizungumza ukijui kaa kimya
unajua bongo dili!!!,huyu jamaa amekuwa akitupiga dili kwa muda mrefu sana,,,sasa leo anatushawishi eti tufungue jicho la tatu,,,,,kapata ofa huko kisiwani mafia,,,,kuna jamaa kamwalika aende amfungue hilo jicho!!Sio lazima uwe na pesa ndipo uzijue Siri za Dunia bali ni wewe tu shauku yako ya kutaka kujua utayajua kila kitu kipo wazi elimu zote zipo wazi kupitia media.
Zamani ilikua ni giza kuzijua Siri za wachawi tofaut na sasa ambapo watu uziongea wazi wazi zamani ukitoa Siri za wachawi,au freemason unauwa siku hizi hawana uwezo wa kuzibiti Siri zao watu wasizijue sababu ya technology.
Hapana hilo sio lengo langu... Lengo langu ni wewe kufungua jicho la tatuWe MPUMBAVU nimesoma madudu yako na binafsi najilaumu sana!
Naona target yako ilikuwa ni kuiponda dini moja kiaina na kutaka kuonesha kwamba haina maana isipokuwa nyingine ndo dini Kinara.
Wahaya hamuishagi mashauzi na ujuaji!
HOVYO KABISA!
Wewe uliyefungua tuletee dawa ya kansa.Hapana hilo sio lengo langu... Lengo langu ni wewe kufungua jicho la tatu
App yako inaitwaje tupakue madini.Wakati mwingine nasema sijui niwafumbue watu macho, muone kile watu wengi wanavyoviona ama niache. Nikiandika kidogo, watu wanakuja na kusema bro! Mwisho utakufuru...bro! Haya mambo ni makubwa sana... Na kadhalika.
Nisikilize! Hii dunia ina siri kubwa sana. Ina siri kubwa ambazo ukizisikia utajiona hufahamu kitu chochote kile, ila kwa dunia ya sasa hivi hawataki kuona wewe ukifumbuliwa macho, na yeyote anayejaribu kuwafumbua macho basi wanamuua.
Ndiyo!
Walimuua Dk. Sebi kwa sababu alisema magonjwa yote duniani yanaponywa kwa matunda tu, unaumwa Ukimwi, anakwambia nenda kale tunda fulani na fulani kwa siku kadhaa, unaumwa kansa, anakwambia nenda kale tunda fulani na fulani. Yaani kila mtu anayejifanya kimbelembele ni lazima apotezwe.
Kwa dunia ya sasa hivi ukisema una dawa ya Ukimwi wanakumaliza haraka sana, kwa nini? Ni kwa sababu mambo ya jicho la tatu hutakiwi kuyatoa mbele ya watu wengine, elimu ya jicho la tatu haitakiwi kupokewa na kila mtu, wapokee wachache, na wakae kimya, vinginevyo tunakuua.
Hapa Tanzania kuna mambo mengi ya ajabu huwa yanatokea, ila huwezi kuyaona kama huna pesa. Ukitaka kujua siri za jiji la Dar es Salaam na Tanzania yake basi tafuta pesa.
Kwanza utayasikia na kuyaona usiyowahi kuyaona tangu uzaliwe, kuna vitu huwezi kufumbuliwa macho bila kuwa na pesa, hata hapa duniani kupo hivyohivyo. Unaambiwa matajiri wanajua mpaka kuhusu Mungu. Nawazungumzia matajiri wakubwa duniani, yaani wao wanamjua Mungu wa kweli ni yupi na wa uongo ni yupi! Inawezekana wewe unayemuabudu siyo yule anayejulikana kwamba ni wa kweli, hii ndiyo siri waliyoiweka ambayo hawataki hata tuisikie.
Ukienda upande wa Waislamu, wanavutiwa sana na Waarabu, yaani mtu akionekana kuwa ni Mwarabu halafu akaenda msikitini kuswali, watu wanaona kama malaika fulani ameingizwa msikitini.
Haya mambo yalitengenezwa, yaani si kwa hiari yako bali kuna watu walikaa kikao na kusema tufanye hivi na hivi, Mwarabu aheshimiwe, wakaseti mambo yao, kila kitu kikawa hivyo.
Kwa Wakristo wao Wazungu, wanamuheshimu Mzungu utadhani nini. Bro! Kila kitu kimewekwa hivyo, yaani wanajua ni kipi kinachotakiwa kufanywa.
Leo ukienda Uarabuni ndipo watu wanaongoza kufirwa (Hili neno si tusi, limeandikwa mpaka kwenye Biblia). Wafiraji ni wengi sana Uarabuni, na wanaofirwa ni wengi sana, lakini watu hao hao leo wanakwambia ukifanya hivi kuna lile na hili, jaribu kukaa na msichana aliyekwenda Uarabuni na kuishi huko.
Waarabu na Wazungu wanaongoza kwenye suala la ufiraji lakini kitu kinachotokea kwa Waarabu hawataki kujionyesha. Kuna jamaa yangu alipata demu wa Kiarabu akaniambia yule manzi yaani hataki mbele, yeye ni nyuma tu, na nikawa nampelekea moto. Sehemu nyingi ambazo Waarabu wameishi kwa wingi zamani, kwanza hazina maendeleo la pili michezo ya kufirana imekuwa mingi. Angalia Kilwa, Tanga, Bagamoyo, Dar na sehemu nyingine.
Okay! Tuendelee.
Hii dunia watu walikupangia Mungu wa kumuabudu, wakatengeneza stori nzuri sana za kukuaminisha kila kitu. Wakataka kuona Waafrika wasiendelee, wasishikilie elimu bali dini, na wakafanikiwa.
Leo! Vijana wengi wa Kiislamu wanasimamia dini kuliko elimu ya darasani. Kuna jamaa mmoja alikuwa anazungumzia mambo ya anga tu, kila mtu akawa anamsifia, oya! Huyu Shekhe amesoma sana, yaani anafafanua mambo hatari...mambo aliyokuwa akiyafafanua, niliyajua miaka kumi iliyopita.
Kwa nini walishangaa?
Kwa sababu familia nyingi za Kiislamu zinawataka watoto wakazanie dini kuliko elimu ya darasani. Yaani unaweza kukuta mashehe kumi hakuna hata aliyemaliza kidato cha nne. Wengi wanaishia la saba.
Tunaongea kidogo. Naanzia mbali lakini nitahakikisha tunafika pale tunapotakiwa kufika.
Hii dunia wakati inatawaliwa na Waroma, wao walihakikisha kila mtu anapata elimu. Waroma waliona kabisa hii dunia inapokwenda kuna siku elimu itakuwa muhimu zaidi, nini kufanyike? Kwanza wakahakikisha wanakuwa na elimu kubwa na ndiyo maana wakajenga vyuo vikubwa mpaka kuiba elimu ya Wamisri kwa kuwa walihitaji kujifunza zaidi.
Waroma wakahakikisha wanatoa elimu kwa waumini wao, shule za Kiroma ndizo zinazoongoza Tanzania kwa kufaulisha, ama nadanganya? Ukienda kusomea upadri, huwezi kuwa padri bila kuwa na PhD, kwa nini? Kwa sababu siku zote Waroma wanaamini kwenye elimu.
Ukija kwa Waarabu, wao wanaamini kwenye pesa, utajiri na biashara. Tangu zamani Mwarabu alikuwa mfanyabiashara mkubwa sana. Hakukuwa na mfanyabiashara wa Kiarabu aliyesitisha utumwa, wao waliuza na kununua watumwa, Wazungu ndiyo walipiga marufuku utumwa, kwa nini? Kwa sababu waliona mbali na yote huyu mwafrika alitakiwa kusoma.
Waarabu wakaleta umwinyi. Wakawa hawafanyi kazi kwa kuwa wana pesa. Sasa walipokuja huku Afrika, wakaambukiza hicho kitu na ndiyo maana ukienda Tanga wazee wapo wanacheza bao tu, ukienda Kilwa na kwingine, kule kote Mwarabu alipeleka mambo yake, Waafrika tukayachukua bila kujua kwamba huyu aliyetuletea haya mambo yeye ni tajiri, hata asipofanya kazi atakula.
Braza! Bado sijafika pale ninapotakiwa kufika na kujaribu kukuonyesha jicho la tatu linaonekanaje kwenye hii dunia. Nitataka ujifunze baadhi ya mambo, usikasirike, wewe soma hapa kisha yachukue yale muhimu, yale mabaya, yapotezee.
Vyuo vya uchawi ulaya vipo kitambo hata kabla ya Hicho.so wazungu waifungua mpaka shule za madrasa,,,manake madrsa pia wanasoma na kuandika!!!.....so wazungu walikua wanajua kuandika kiarabu!!,,,na kama wazungu walikuwa wanataka tuwe na elimu??? mbona walikuwa wanasema elimu zetu ni za kishenzi wakati huohuo waniba mabo yetu ya kihstoria??.......we ishomile,,kwa nini wazungu walimkata kichwa mkwawa na kuondoka nacho na kukihifadhi?????"kwa sababu walijua anaakili nyingi sana mpaka kuoganize vita dhidi ya wajerumani"...kwa nini walisema dawa ztu na mila zetu ni za kishenzi wakti jana tu kwenye mitandao ya kijamii uingereza wametangaza wanafungua chuo kikuu cha uchawi??{sio uchawi unaofundishwa pale mzee ni kile walichotuibia toka kwa babu zetu,,,elimuadhimu""""acha kula makongoro na bia mzee ishomile!!!
Kabla hayajasafiri usaka taarifa za kutosha kwenye mediaKwenye Media utalishwa matango pori bure... Wewe unahisi matajiri wanakesha na hizo Media, ndio maana wazungu wanatabia ya kusafiri ya kujua Dunia na siri zake... Wakitaka kupanda mlima Kilimanjaro hawaingii YouTube kuutizama, wanasafiri kuupanda... Experience unaipata kwa kuona kwa macho, kujifunza kwa kuona kwa macho...
Illuminati hawawezi kukufata wewe ambae huna chochote, wenzako wanafata watu wenye nguvu kipesa na ukiwa na pesa automatically unakuwa na nguvu ya ushawishi. Diamond Platnumz ananguvu kubwa ya ushawishi kuliko Juma Nature... Wewe unahisi kati ya Diamond na Juma Nature nani anajua siri za ulimwenguni wa kimziki kuliko mwenzake?
Siri utakazozijua ni zile siri ambao wao wametaka uzisikie... Media hizi ziko controlled, wanakupangia mahudhui yapi uyaone kwanza na yapi husiyaone... Na media nyingi ndogo ndogo zinatoa habari kwa kuiga media kubwa ambao ni za kwao
Hizi media nyingi ni controlled... Kuna taarifa wao wakitaka wewe huzisome utazisoma tu, wanakulisha wao wanachoona ni sahihi... Hii mifumo ina Algorithm, hata hawa JamiiForum kuna Uzi wanakuletea tu, au ukipost zinaamishwa au kufutwa....Kabla hayajasafiri usaka taarifa za kutosha kwenye media