Furaha ni jina lenye bahati Sana. Kijana wa pacha wangu anaitwa furaha. Ni watu wenye mikakati, wakarimu, Wana nidhamu Wana upendo, hawashindwi kirahisi, wapole lakini Wana msimamo na hawaonewi kijinga. Furaha atambwaga Halima Mdee mapema Sana, mapema Sana.Yani unaweza kujua furaha ni mmama flani[emoji16][emoji16][emoji16]majina mengine kwikwi
Wewe unakaa kungoja mkutano wakati yeye anafuatilia mikwamo tunayokutana nayo hasa ya miundo mbinu. Hizo akili za kukaa kusubiri mikutano tuu ni za kindezi kabisa.Acha uongo sisi ndiyo wapigakura wa Kawe Mdee hatutaki hata kumsikia alivyotutenda hii miaka mitano hatuwezi msahau. Tangu tumchague hajawahi itisha mkutano wowote wa wananchi!!
Au hata kibamba yan...kazinguaSi bora angeenda Ubungo ?
Sawa kwa box la kura atapigwa mapema mpka aitwe happy,ila kwa kutumia DC,NEC na policeccm ndio atamshinda halimaFuraha ni jina lenye bahati Sana. Kijana wa pacha wangu anaitwa furaha. Ni watu wenye mikakati, wakarimu, Wana nidhamu Wana upendo, hawashindwi kirahisi, wapole lakini Wana msimamo na hawaonewi kijinga. Furaha atambwaga Halima Mdee mapema Sana, mapema Sana.
hata kama hatakatwa, na apite tuKumbe ni ngosha wa Chato. Hongera kwake. Basi mpaka hapa kijana hawezi kukatwa.
Kama ACT nao wanaweka mgombea,basi dogo anachukua kirahisi tu.hata kama hatakatwa, na apite tu
je Wakazi wa Kawe watamuacha Halima Mdee wampe Ngosha?
hilo Jimbo bado sana CCM kulikomboa kutoka Chadema
tusubirie mgombea wa ACT
maana NCCR atakuwepo Mbatia
Kuangusha mke siyo mchezo wewe.By the way hii ya rafiki yako kipenzi uliiona? Babu Tale aibuka kidedea, amshinda Naibu Waziri – Millardayo.com
hao wajumbe 100 waliompa usidhani ni sawa na wakazi wa Kawe watakaomchagua Halima Mdee au mgombea yoyote wa ACTKama ACT nao wanaweka mgombea,basi dogo anachukua kirahisi tu.
MjombaFollowing,kijana kaangusha mibuyu. Nini siri ya ushindi wake ?
Walipiga hesabu ya wajumbe. Wajumbe 100+ wakasetiwa. Tena labda kuna wengine walisetiwa ila walighaili na kumpa kura zao Gwajima,Sitta ama Kizila.hao wajumbe 100 waliompa usidhani ni sawa na wakazi wa Kawe watakaomchagua Halima Mdee au mgombea yoyote wa ACT
jua kwanza katokea wapi hata kura haombi
Kawe si mchezo, tuone km Mjomba wako atakuwepo siku ya kuhesabu kuraMjomba wangu
Ina maana humjuwi Kawe alumin yupo humu!Si jina geni sana hapo Kawe lakini tunaomba wanaomfahamu vizuri waje watujuze.
tutakimbia na box la kura na polisi anatulinda mtafanya nini?Kawe si mchezo, tuone km Mjomba wako atakuwepo siku ya kuhesabu kura
hapo watakuacha mbali na hakuna rangi au nyota utakayoitambua
kosa kubwa sana wamefanya
Umemchoka wewe, sisi wengine bado ndiyo kumekuchaHalima kwa kweli watu wameshamchoka sana na huyo Furaha hatumjui !
Ndiomana Bashite aliamua asiende Kawe.Aliogopa kupambana na MpwaBasi dogo kumbe ni mgombea maalum. Nimejiuliza sana hiyo influence kaipata wapi ?Basi sina swali tena. Na huyu ndo mgombea rasmi wa CCM kupitia kawe. Hapa mkakati ulisukwa aisee.