Uchaguzi 2020 Furaha Dominic Jacob mshindi wa kura za maoni CCM jimbo la Kawe ni nani?

Uchaguzi 2020 Furaha Dominic Jacob mshindi wa kura za maoni CCM jimbo la Kawe ni nani?

Ni Kijana Mmoja Mnyenyekevu, Mkarimu, Mwerevu, siyo Mjivuni kama Mtu Mmoja aliyekimbilia Kutuomba Msamaha wake wa Kipopoma / Kipumbavu na Mnafiki, ana Elimu yake nzuri tu, anakubalika na wana Kawe na wala hahitaji kwenda Kuosha Nyota yake Kijijini ' Usukumani ' Kishirikina ( Kiutamaduni ) kama wengine, siyo Maarufu Mitandaoni kama walivyo Waomba Misamaha ya ' hovyo hovyo ' Kwetu, hana Unafiki, Sanifu na Dharau kama Waliotuomba Misamaha na mwisho ni Mtu wa Watu hasa.

Mtoto Mdogo ( Kijana ) ambaye hana hata ' Umaarufu ' ulionao anapata Kura 101 halafu Kongwe, Jivuni na Jitu lenye ' Kiherehere ' linaambulia Kura yake 1 tu.Hongera sana Kijana Furaha Dominic Jacob japo najua una Kazi ' pevu ' kwa Dada yangu Halima Mdee ila nakuamini utamshinda na kuwa Mbunge tu.

Kwa wale ambao hamjapata Matokeo ya Mwisho haya hapa tafadhali....

1. Mr. Furaha Dominic Jacob 101
2. Mrs. Angela Daisy Kizigha 85
3. Mr. Mathias Josephat Gwajima 79
4. Mr. Benjamin Samuel Sitta 61
5. Mr. Kipi Joseph Warioba 3
6. Mr. Njaa Naombeni Msamaha 1

Kila la Kheri!

... kuna miezi kadhaa kule North Korea, dadae Kim alifanya yake. Dadas could be as powerful. Imagine mtoto wa dadae ambae ni bonafide mjomba aweza kuibua powers zake pia.
 
Hongera Furaha, sayansi gani katumia huyu kijana kuwabwaga wenzake 175? tujifunze kwa anaejua atujuze!
Mimi nimeshaanza tilia shaka kwa wapiga kura hizi sijui kama walifuata huru na haki... Si mnakumbuka kilichompata kibajaji dom siku chache kabla ya kura hizi ?
Ni kama ktk kundi lile kunakua na kamati mipango... Kilichonishangaxa mawaziri wengi vigogo wamepeta wengine hata huko kwao hawajazoeleka
 
Following,kijana kaangusha mibuyu. Nini siri ya ushindi wake ?

nepotism.jpg

Baraza la Mawaziri!​
 
DADA TUMEMCHOKA,HAKUNA ANACHOFANYA KAWE.TOKEA MWAKA 2015 SIJAMWONA AKITEMBELEA JIMBO LAKE KUNA SHIDA YA MAJI SEHEMU ZA MSIGANI NYAKASANGWE N.K MIUNDOMBINU YA BARABARA SHIDA SANA
Wajinga mko wengi ccm imefanya nini tangu uhuru na bado unaicjagua jinga kabisa
 
Halima ni mziki mnene yule.
Hakuanzia siasa straightly Kawe.
Alianzia harakati za siasa chuo kikuu, kisha 2005 akalamba ubunge wa viti maalum CHADEMA, ilipofika 2010 akaingia kuomba ubunge Kawe (akamgaragaza mpaka Mbatia wa NCCR), 2015 akamgaragara vibaya Kippi Warioba mbele ya vigogo wote wakuu wa serikalini na dunia ikishuhudia.

Acha kabisa kumfananisha Halima Mdee ni vitu vingine vya ajabu ajabu vya kuokoteza kikabila, kiukoo na kisultani.
Vitu vya ajabu nadhani wewe ndio ujui. unajua kafika je hapo alipo. huyu ni binadamu bwana si vitu vya kuokoteza
 
Vitu vya ajabu nadhani wewe ndio ujui. unajua kafika je hapo alipo. huyu ni binadamu bwana si vitu vya kuokoteza
Kumbe huyo dogo anafaa mung’onya halima asubuhi! Hivyo anawafaa CCM maana kwa CCM ni kutafuta ushindi. Nyote mnaompiga madongo huyu bwana mdogo ni wapenzi wa Halima tu
 
Back
Top Bottom