Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda kwa msaada wa watu wa lumumba kwa kura halali za wananchi sahau na kule hakuna mbulula kama uvyodhani wanaojielewa kule ndio kwao unaanzaje
Kama alifanya MAOVU awamu ya kwanza hadi kuwa na hofu ya kutaka sheria ya kumlinda kwenye MAOVU yake basi awamu ya pili itakuwa ni BALAA maana sheria ya kumlinda tayari anayo hivyo MAOVU mwanzo mwisho Mkuu.
Nimeona dada mkubwa anasema eti ni mpwa wa baba...aiiiFollowing,kijana kaangusha mibuyu. Nini siri ya ushindi wake ?
Kwa hiyo ni nani yake na Makonda?Ni mtoto wa dada yake Magufuli na alikuwa pale Bandarini kama mbea wa Rais.
Naona dalili zote za bashite kurudi.. na atawasulubu sana ccm 20_25
Siku hizi haulipi waumini wako teeUfufuo vp?
Yote tisa! Kumi pesa ya kuhonga wajumbe kaitoa wapi?Bila hata ungosha, kijana yupo smart na maisha yake yapo smart kuanzia uhusiano wake hana makuu.. ana mpenzi wake mmoja wanapenda sanaaa.. wapo kama kumbi kumbi.. nafurahi maisha yake kuanzia chuo, ya mahusiano na hata kijamii
Dogo hata hajaomba kura.. ametaja tuu jina na kusepa.. hawa wajumbe wote walipewa jina la kuandika sio bure.
Yote tisa! Kumi pesa ya kuhonga wajumbe kaitoa wapi?
Weka ushahidi, sio unanipiga porojo tu hapa na kunipitezea mda kuniuliza maswali ya kiwakiYote tisa! Kumi pesa ya kuhonga wajumbe kaitoa wapi?
Mkuu it is too early to count Bashite out. Let’s wait and see what the future holds for him.
Tano tena kwa dada yetu halima Mdee. NilMmehangaika weeeeeee mmeishia kuokota Korona, Halima is a hard nut to crack😀
Uno boyi
Mpando umesukwa, mpwa kawe, bashite kigamboni, mmoja waziri mambo ya ndani mwingine speaker
Hivi kigogo yuko???sijamsikia siku nyingiKigogo kasemaje nae?
Kuna watu wanadhani jamii forums imejaa watoto wa first year tuYani Mzee Mwinyi mliuliza yeye ni nani? Mwinyi ambae alishakuwa Waziri wa Mambo ya Ndani na akaja kuwa Rais wa Zanzibar??
Ebu toa ujinga na fix zako hapa...