Nilizan peke yangu, kumbe tupo weng ! Wacha tusubir tuone
Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
Mpinzani wa Halima ni msimamizi wa uchaguzi, sio huyu.Habari,
Naomba kupata Taarifa ya mshindi wa kura za Maoni Jimbo la Kawe ndugu Furaha Dominic ni nani haswa?
Imekuwaje akawashinda vigogo wengine kwenye kura za maoni ndan ya CCM katika Jimbo la Kawe?
Je, ni mpinzani sahihi kwa Halima Mdee kwenye uchaguzi wa Oktoba?
Ndani ya Chama alikuwa ni Mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi. Kama una Maswali mengine tafadhali Kawaulize akina Bashiru na Polepole.
Mashinji kura 2Katibu Mkuu Mstaafu CDM Kapata Ngapi Jamani?
Isije ikawa tofaut na mtazamo wakoComred Halima Mdee atashinda asubuhi na mapema.Kijana Furaha tutampatia kazi nyingine kama uDC au DAS
Kigagula mkuu ! Kawavisha vigagula wengiHuyu atakuwa kigagula sio bure
Katibu Mkuu Mstaafu CDM Kapata Ngapi Jamani?
Sijui lakini ni kama CCM tumelambwa !Habari,
Naomba kupata Taarifa ya mshindi wa kura za Maoni Jimbo la Kawe ndugu Furaha Dominic ni nani haswa?
Imekuwaje akawashinda vigogo wengine kwenye kura za maoni ndan ya CCM katika Jimbo la Kawe?
Je, ni mpinzani sahihi kwa Halima Mdee kwenye uchaguzi wa Oktoba?
Hakuwa na maneno mengi,alishajijenga kitambo field.
Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
Nami nawaza hivo ,Ila nakosa Final say kwa kuwa sina file lake lolote inakuwa ngumu kujipa matumain ya kimawazo pasipo kuwa na strong folder juu yakeHuyu ameshachukua jimbo asee, yuko vizuri katika strategia.. very humble in his lane.
Usiku wa Leo ,kwake akikaa akifikiria anaweza kujiona mjinga kwa kura 2 ha ha haNi aibu ndugu yangu.
Ccm hawakuwa na unafki juu yake..
Vikura viwili mpaka anaona aibu kuvishika
Nami nawaza hivo ,Ila nakosa Final say kwa kuwa sina file lake lolote inakuwa ngumu kujipa matumain ya kimawazo pasipo kuwa na strong folder juu yake
Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
Nami nawaza hivo ,Ila nakosa Final say kwa kuwa sina file lake lolote inakuwa ngumu kujipa matumain ya kimawazo pasipo kuwa na strong folder juu yake
Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
Nadhani atakuwa hana sifa chafu au hana sifa chafu nyingi kama hao wenye majina makubwa.Following,kijana kaangusha mibuyu. Nini siri ya ushindi wake ?
Nataman pia wengine ,waungane mm na ww kwenye ili! Haiwezekan Vigogo wote wale wakakalishwa na dogo! Kuna jambo sio kawaidaWanasema kuingia vitani na adui usiomjua ni sawa na kushindwa vita kwa asilimia 50. Hivyo huwezi jua maana kama kaweza kuongoza kwa kura za maoni kama sura mpya, hii inabidi ikupe ishara flani mkuu
CCM tuna watu kibao kuna frontliners na back benchers hidden in dark places.Usishangae mtu kuibuka paap huyu hapa!! Kama kwenda mbinguni hivi unaenda kukutana na usiowajua!!!Mpaka page ya 40 hakuna anaemfahamu huyo dogo...Labda tumuuliza pasco huyo mbabe wao anamfahamu vipi.
Unataka kusema atakuwa ni mmoja wa wale makacheloNa ni ngumu kupata file lake. Ila ndio hivyo atapata ubunge. Huyu ni chini kwa chini tu jukwaani kumalizia mahesabu.
Ni mtoto wa dada yake Magufuli na alikuwa pale Bandarini kama mbea wa Rais.Following,kijana kaangusha mibuyu. Nini siri ya ushindi wake ?