Kabinti ka ludilo
JF-Expert Member
- Sep 30, 2014
- 409
- 468
Juma pili tena anakuja na muendelezo wa somo la huduma ya kupanua na waumini wanapanua tuu Kuna Mambo yanahitaji kujitoa ufahamu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio watu wajue Success Has No Formula, Age, Jinsia nk. Kuna vijana wasiofahamika kitaifa ila wameshinda wazee (Furaha Dominick Kawe), Wazee wenye experience wameshindwa (Mwanri, Mwakyembe), Vijana walioshindwa (Joshua Nassari, Msando nk), waliokuwa na vyeo awali wameshindwa (Mashinji, Makonda), waliohamia CCM wameshinda (Mkumbo, Mollel -Siha), wengi zaidi waliohamia CCM wameshindwa, wasanii wa music nk nafikiri wote wameshindwa.Hongera Furaha, sayansi gani katumia huyu kijana kuwabwaga wenzake 175? tujifunze kwa anaejua atujuze!
Pole kwa kupatwa na jiwe la gizani. Ndiyo ukome kuvamia na kula vya watu. Next time uwe na msimamo uache umalaya wa kisiasa.Look nani anazungumza, wewe nyege zimekuouta akili, go and get laid. Ukiwa sexless kwa ulimwengu wa maana yake mtu asiye na uwezo wa kumshawishi msichana au mwanamke, na watu kama nyie huwa mna uhasidi, hasira, chuki na mapungufu mengi sana. Pole na utazidi kuumia.
Huyu ndiye Mjomba wa Magufuli aliyeshinda Kura za Maoni Kawe. Yupo GCLA(maabara ya Taifa) yeye ndo incharge, pale hamna mtu wa kumpinga akisema hold mzee ni hold hamna wa kukupa release hata uende wapi, anaishi masaki kwa sasa. Hata cheo alichonacho ni figisu-figisu.
#Wasifu:
Jina: Furaha Dominic Jacob
Kazaliwa: Chato Kagera
Shule: Chato Secondary School
Shule: Makongo High school
Chuo : DIT
Reseach: Technician at International Institute of Tropical Agriculture (IITA)
Na Kwa sasa anaishi Dar es salaam
Mtoto wa dada yake Rais MAGUFULI.View attachment 1512953
Naona mzukulu gentamycine amefuta ki comment chake.Na wewe chawa tu, watu wanahitaji CV yake, wewe unaropoka kiuswazi uswazi tu
Katumia sayansi ya kuwa mtoto wa dadake na mkuu wa kaya toka chattleHongera Furaha, sayansi gani katumia huyu kijana kuwabwaga wenzake 175? tujifunze kwa anaejua atujuze!
Kura mbili. Huu mwanguko sio wa dunia hii. Jiwe amkumbuke hata kwa ukatibu tarafa huko BuhigweKatibu Mkuu Mstaafu CDM Kapata Ngapi Jamani?
Laki moja tu mkuu.Nje ya maada, nilikua na mjadala na mdau mmoja akaniuliza swali nmeshindw kujibu, hivi form ya chama kugombea ubunge Ni sh ngp
Ni mtoto wa dada yake Magufuli na alikuwa pale Bandarini kama mbea wa Rais.
Kwahiyo kura sio muhimu tena? Basi kumbe NEC na wakurugenzi awafuati nani amepata kura bali wanafuata mambo mengine mfano maagizo nkKwani ndio amepitishwa kupeperusha bendera ya CCM October? Kwa nini usisubiri majibu ya mkutano mkuu ndio uje tujadiri huu utopolo wako?
Following,kijana kaangusha mibuyu. Nini siri ya ushindi wake ?
Mtoto WA CHATOHabari,
Naomba kupata Taarifa ya mshindi wa kura za Maoni Jimbo la Kawe ndugu Furaha Dominic ni nani haswa?
Imekuwaje akawashinda vigogo wengine kwenye kura za maoni ndani ya CCM katika Jimbo la Kawe?
Je, ni mpinzani sahihi kwa Halima Mdee kwenye uchaguzi wa Oktoba?