Furaha ilioje, leo mimi ni baba wa mapacha!

Furaha ilioje, leo mimi ni baba wa mapacha!

Kwanza Nampa Hongera Sana Mkuu kwa Kuongeza Familia

Ni kweli Kabisa Ila Sio kweli kwa 100%
According to epidemiology and Biostatics..
genetic Inacontribute Only to Occurence of Fraternal Twins Na mara Nyingi ni Kwa Upande wa Maternal na sio Partenal..

Ngoja nishuke Nondo za Epidemiology na Biostatistics..

Kwenye Fraternal Twins likelihood ya Kupata fraternal twins (au dizygotic) huwa inaweza Kusababishwa au kuwa Inflenced na Genetic au Lineage kama ulivyosema .

Yaani kama mwanamke akitokea Katika Familia ya Wanaozaa Mapacha na Mara Nyingi chance yake ya kuzaa.Mapacha huwa iko juu sana kuliko ambaye hana Lineage japo inaweza kutkea Asiye na Lineage naya akazaa Japo chance yake sip kubwa sana...

Unajua kwanini??

Kuna kitu Kinaitwa hyperovulation (Kutoa Yai zaidi ya Moja kwa ajili ya Kuwa Fertilized)..
Sasa Hii Tabia "hyperovulation" ndo hurithishwa kwa Wanawake waliozaliwa kwenye Familia ya Mapacha na pale unapopachika Mbegu unajikuta Unachavusha Mayai mawili kwa wakati mmoja..

Kwa mapacha wa Kufanana "Identical Twins" hawa hutokea mfuko mmoja "monozygotic" ..
Na hii ndo ukisikia watu wanasema Majariwa ya Mungu ni haya maana Haihitaji Genetic Predisposition Mbegu Mbili Zifertilize Yai Moja au Yai moja baada ya Kuwa Fertilised lijigawe mara mbili...(ahuu ni Muujiza tu)

Kuna hii nakupa chukua Ethinicity pia Huchangia Kupata Mapacha waarabu na wahindi Ni Vigumu sana Kupata Mapacha Kuliko Waafrika..

Nakuongeza na Hii wanawake wenye Umri wa Miaka 30 na zaidi Wako kwenye Higher Rate ya Kupata mapacha kuliko walio chini ya Hapo unajua kwanini kwa sababu Wanawake wengi Kuanzia Miaka 30 Huanza kutoa mayai Mawili kila mwezi badala ya Moja..

Nawasilisha Mkuu
Elimu yako ya kukariri,sidhani kama ni Kweli mtaani kuna jamaa kadhaa na wanawake watatu tofauti wote kawazalisha mapacha,kati ya hao wanawake hakuna ambaye kwao kuna historia ya mapacha
 
Elimu yako ya kukariri,sidhani kama ni Kweli mtaani kuna jamaa kadhaa na wanawake watatu tofauti wote kawazalisha mapacha,kati ya hao wanawake hakuna ambaye kwao kuna historia ya mapacha
Umesoma Nilichoandika na Nilivyoandika kuhusu Aina ya Upatikanaji wa Mapacha??

Watu ambao hawana Historia ya Mapacha wanaweza Kupata Mapacha endapo kuna HyperFetilzation na mara nyingi ni mapacha wasio fanana na nadhani ungesoma Nilichoandika Ungeelewa zaidi..

Watanzania Wengi tunakosa akili ya Kusoma zaidi tumejawa Chuki kwa waliosoma Haitufikishi popte roho hiyo zaidi ya Kutufanya kuwa Wajinga na wapumbavu..

Asante sana kwa Comments Yako ila Jifunze Kusoma kabla ya Kujibu na kingine Jifunze kusoma Between Lines kabla ya KuQoute..
(Concentrative Skills Unazidiwa na Mjukuu wangu ambaye kwa sasa ana miaka 17)
 
Umesoma Nilichoandika na Nilivyoandika kuhusu Aina ya Upatikanaji wa Mapacha??

Watu ambao hawana Historia ya Mapacha wanaweza Kupata Mapacha endapo kuna HyperFetilzation na mara nyingi ni mapacha wasio fanana na nadhani ungesoma Nilichoandika Ungeelewa zaidi..

Watanzania Wengi tunakosa akili ya Kusoma zaidi tumejawa Chuki kwa waliosoma Haitufikishi popte roho hiyo zaidi ya Kutufanya kuwa Wajinga na wapumbavu..

Asante sana kwa Comments Yako ila Jifunze Kusoma kabla ya Kujibu na kingine Jifunze kusoma Between Lines kabla ya KuQoute..
(Concentrative Skills Unazidiwa na Mjukuu wangu ambaye kwa sasa ana miaka 17)
Chief, comprehension skills hazipo kwa wabongo wengi
 
Umesoma Nilichoandika na Nilivyoandika kuhusu Aina ya Upatikanaji wa Mapacha??

Watu ambao hawana Historia ya Mapacha wanaweza Kupata Mapacha endapo kuna HyperFetilzation na mara nyingi ni mapacha wasio fanana na nadhani ungesoma Nilichoandika Ungeelewa zaidi..

Watanzania Wengi tunakosa akili ya Kusoma zaidi tumejawa Chuki kwa waliosoma Haitufikishi popte roho hiyo zaidi ya Kutufanya kuwa Wajinga na wapumbavu..

Asante sana kwa Comments Yako ila Jifunze Kusoma kabla ya Kujibu na kingine Jifunze kusoma Between Lines kabla ya KuQoute..
(Concentrative Skills Unazidiwa na Mjukuu wangu ambaye kwa sasa ana miaka 17)
Elimu yako ya kikoloni ya kukariri ndio unajiona genius hahahaha πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Umeingia kwenye mfumo, kapime DNA kwanza, usishangilie penalty shangilia goli
 
Mimi namuomba Mungu anijalie mapacha wanaofanana wa kike
πŸ™πŸ™
 
Elimu yako ya kikoloni ya kukariri ndio unajiona genius hahahaha πŸ˜‚πŸ˜‚
Hakuna Mahali nimesema Mimi Genius na hakuna Elimu nyingine tuliyo nayo Duniani zaidi ya elimu ya Kukariri ya Kikoloni au Mwenzetu Elimu yako Imetoka Peponi ulifundishwa na Mitume na Malaika??

Hakuna mahali nimeomba Uquote Nilichoandika au Ureply....

Elimu yangu ya Kukariri ya kikoloni mpaka sasa Imesaidia Watu wengi sana Kuna watu wameona tabasamu Kupitia Mimi hospitalini, Kuna vijana ambao Nimewatibu wakiwa wadogo tangu nimeanza kazi mwaka wa 23 sasa ni Majabali watu wazima ,Nimesaidia Watu zaidi ya 10 Milion na Elimu yangu ya Kikoloni..

HIyo kwangu Inatosha Sana tena Sana na Shukrani zao na maombi yao hao watu huenda ndo vinanifanya mpaka Leo naishi miaka yote hii

Kwa siku naona Wagonjwa Si chini ya 30 Hiyo inamaanisha kwa Mwezi naona wagonjwa zaidi ya 1000... kwa mwaka naona wagonjwa si Chini ya 12,000
NIna furaha kuona Elimu yangu ya Kikoloni inaweza Kurudisha Tabasamu la Watoto Si chini ya 12,000..

VIpi elimu yako Kutoka Peponi/Kutoka kwa Mitume Imesaidia watu wangapi mpaka sasa?
 
Back
Top Bottom