Zombi Mweusi
JF-Expert Member
- Feb 9, 2017
- 841
- 1,755
Wakuu nimekuwa msomaji sana wa ishu za single moms mjue tunatishana kila mtu anawaongelea vibaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watoto wa single mother wanauza Ramani zote za vita kwa baba yao.
Kwnza hawatokupenda kwa kuamini wewe pengine ndy chanzo cha mahusiano ya wazazi wao kivunjika.
Ukweli ndio huu mm pia nilikua naona hiz issue za kuwapondea single mama ni uongo ila mm kwa sasa naishi na single mama lkn najionea uhalisia yaani nilikua na mipango ya kumuoa lkn kwa haya mapicha anayonionyesha nimeghaili moyoni na akiliniWakuu nimekuwa msomaji sana wa ishu za single moms mjue tunatishana kila mtu anawaongelea vibaya
Mke mwenzie???mke mwenzie
HtrMke mwenzie???
Kumbe naye yule ni mkeo??
Na hii ndo chanzo cha kiporo kupashwa kama kawa.. mtoto akitaka aonane na baba yake hata kama wazazi wa mtoto hawaelewani basi mama yupo tayari kufanya lolote kwa ex wake huyo ilimradi tu aone mtoto wake ana furaha,
🤣🤣🤣🤣Kwa kwer nimekoma tyrNa hii ndo chanzo cha kiporo kupashwa kama kawa
Swali ni je Hawa single mom waolewe na nani? Maana nao wanahitaji faraja kama wanawake wengine.Inajulikana hilo kwamba kuoa single mother ni Sawa na kununuwa kiwanja chenye kesi mahakamani.
Sio wote lkn,katika 10 kuna 2 wenye misimamo,wakishaachsna wameachana mazimaHakika na sadiki maneno yako ni kweli...Ukithubutu kuoa single mother ni kukaribisha umauti wako mapema au kuwa mtu wa depression maisha yako yote..
UongoLazima mkuu. Hakuna single mother anaachana na mzazi mwenzie
Hii mada naiunga mkono kwa sababu nimeyashuhudia yaliyomkuta mdogo wangu, alioa "singo mom". Ni hatari sana.Usije kujidanganya hata siku moja kwamba mwanamke atakupenda kuzidi watoto au mtoto wake, tena yule wa kwanza huwa ana nafasi yake maalum huwezi mwambia mwanamke chochote kuhusu mtoto wa kwanza aliejifungua, huyu ndie anampa heshima kwa mara ya kwanza kuitwa mama.
Na ndio hapa tunapotoaga onyo kwamba linapokuja suala la ku date ama kutaka kumuoa single mom hakikisha sana umemchunguza vizuri mwenzako aliemtunga mimba ya kwanza na kumpa heshima ya kuwa mama, mapenzi ya mama kwa mtoto atafanya chochote kwajili ya furaha ya mtoto, mtoto akitaka aonane na baba yake hata kama wazazi wa mtoto hawaelewani basi mama yupo tayari kufanya lolote kwa ex wake huyo ilimradi tu aone mtoto wake ana furaha,
Watulie walee watoto wao, kuolewa siyo lazima.Swali ni je Hawa single mom waolewe na nani? Maana nao wanahitaji faraja kama wanawake wengine.
Wawarudie wenzio wao walio watoa bikraSwali ni je Hawa single mom waolewe na nani? Maana nao wanahitaji faraja kama wanawake wengine.
😂😂😂😂Kumbe wanaitwaje walioterekezwaMiaka yote hapa JF nimekuwa nikipinga hilo jina walilojipachika la "singo mom".
Hakuna "singo mom" duniani. Ni kujidanganya na kudanganya wengine tu.
Anaitwa "mama ..." kwenye dots weka jina la mtoto wake.😂😂😂😂Kumbe wanaitwaje walioterekezwa
Kama humfaham anaitwaje mamtu😄Anaitwa "mama ..." kwenye dots weka jina la mtoto wake.