Furaha ya mama ipo zaidi kwa mtoto wake hasa wa kwanza, Balaa ni pale unapooa single mom, mwenzake aliempa heshima ya kuwa mama ni mwiba usiokwepeka.

Furaha ya mama ipo zaidi kwa mtoto wake hasa wa kwanza, Balaa ni pale unapooa single mom, mwenzake aliempa heshima ya kuwa mama ni mwiba usiokwepeka.

Mtoto akikua hisia zinarudi kwa dingi ake weeeh!!
 
Mimi nnaye mmoja Yuko macho na maokoto yangu,ila muhuni jf ilishanisanua kitambo,mi ni mbupu tu afu masurufu kimtindo sana
 
Ukweli ndio huu mm pia nilikua naona hiz issue za kuwapondea single mama ni uongo ila mm kwa sasa naishi na single mama lkn najionea uhalisia yaani nilikua na mipango ya kumuoa lkn kwa haya mapicha anayonionyesha nimeghaili moyoni na akilini

Sent from my PRA-LA1 using JamiiForums mobile app
Bora nusu Shari mkuu ..[emoji1787][emoji1787]
 
Mtoto wanyoka ninyoka hawanaga shukuran utamhudumia vizur ila ujue yeye siku zote anajua wew sio babake hasa hawa watoto wakiume wanakuaga nawivu kuona mama yao anabanduliwa namhuni mwingine[emoji2][emoji2][emoji2]
Et na mhuni mwingine
 
Nahunga mkono hoja 👍🏼Nilitaka ni yakanyage kwa single mother mwenye watoto watatu pumbuvu sana yule dada lilijifanya kunipenda kumbe lilitaka kunitumia nimerishitukia nimeripiga chini linajifanya kulia lia nikaribrock na kufuta kabisa namba . Baba aliniambia usije oa single mother mwenye watoto wengi
 
Nahunga mkono hoja 👍🏼Nilitaka ni yakanyage kwa single mother mwenye watoto watatu pumbuvu sana yule dada lilijifanya kunipenda kumbe lilitaka kunitumia nimerishitukia nimeripiga chini linajifanya kulia lia nikaribrock na kufuta kabisa namba . Baba aliniambia usije oa single mother mwenye watoto wengi
Wahurumieni maana ata wao ukute hawakutaka kua hivo
 
Single mothers sio wa kuwaoa ila ni wazuri katika kudate nao wanakua na mpevuko mkubwa wa kimawazo, wazuri katika kudinyana na pia wastaarabu kwenye mawasiliano.
Kikubwa usiishi nae sehemu Moja, msaidie vihela kidogo kidogo hawanaga shida
Sawa
 
Mtoto wanyoka ninyoka hawanaga shukuran utamhudumia vizur ila ujue yeye siku zote anajua wew sio babake hasa hawa watoto wakiume wanakuaga nawivu kuona mama yao anabanduliwa namhuni mwingine[emoji2][emoji2][emoji2]
Kabisa mkuu,,

Mimi hata mwanamke awe mrembo kiasi gani,,akishanambiya amezalishwa,,,

Nakuwa sina hamu nae tena.
 
Mkuu nimewahi kushuhudia mama wa miaka 60 anamsikiliza baba aliyezaa naye mtoto wa kwanza na kumdharau mumewe, kumbuka waliachana zaidi ya miaka 40 iliyopita
Ndy hivyo mkuu..

Mwanamke ukizaa nae especially mtoto wa kwnza,,

Kukuacha ngumu sana.
 
Hakika na sadiki maneno yako ni kweli...Ukithubutu kuoa single mother ni kukaribisha umauti wako mapema au kuwa mtu wa depression maisha yako yote..
Usipo IPA like
Hii comment yako mtu na ahukumiwe kama MUHAINI😊😊☺️☺️
 
Mwanamke yeyote alie zaa au kuolewa Na kuachika usitegemee atapoteza mapenz Na mumewe Wa kwanza big no ni rahis kurubuniana Na wakaendelea kulana wakikaa Na kuongea mke wangu kumbuka Zama zile...... Bas kumbekeni ndoa ni maagano Na ubani unachomwa hakuna anaeweza tenganisha hapo wataachana lakin swala la kulana ni kawaida tu
 
[emoji15][emoji15][emoji15]Kuchapiwa njenje
Tena anaweza akasababisha hata ratiba zenu za kustarehe na mkeo zikabadilika..


Maana kila siku single mother atasema anaumwa na hayupo sawa kukupa mbususu.
Kumbe baby dady wake anamchosha huko nje [emoji23][emoji23].
 
Tena anaweza akasababisha hata ratiba zenu za kustarehe na mkeo zikabadilika..


Maana kila siku single mother atasema anaumwa na hayupo sawa kukupa mbususu.
Kumbe baby dady wake anamchosha huko nje [emoji23][emoji23].
Mimi nshasema siwezi kuyatiringanyisha tena Wacha nami Nile tu😆
 
Back
Top Bottom