Fursa kwa wana IT: Wateja wanahitaji Kariakoo ya mtandaoni inayofanana na Alibaba.Com, kama una uwezo chukua hatua bila kusita

Ndo unavyowajibu wateja wako? Kiburi ndo kitu kinawafelisha vijana wengi. Wewe ni mfano hai.

SIJIBU WATEJA WANGU HIVI,NAJIBU WATU WANAOONA MATATIZO KWENYE KILA FURSA KAMA WEWE.

Hicho kiburi unakiona wewe tu.

Umetoa hoja basi ukiulizwa swali jibu kwa hoja.Sio umekosa hoja za msingi za kutetea akili yako dhaifu yakuona kila kitu hakiwezekani unakuja kijificha nyuma ya kivuli et vijana tunakiburi na ujuaji.SASA KAMA UMEKOSA USIAMBIWE UKWELI,MIMI SINA NIDHAMU YA UWOGA.

KAMA UKWELI UTAKUUA WEWE KUFA TU
 
Huyu mleta uzi mwenyewe ni kijana wa hovyo na kujifanya mjuaji. Huyu aendelee kuwa winga tu. Kwa hii ego aliyo nayo anapoteza muda kufikiria jambo kama hilo.
Angalia mwenzako nilivomuuliza swali alivojibu kwa hoja kwani umeona tumekwaluzana sehemu yeyote.Wewe akili ndogo unakosa hoja unakimbilia kusema watu wajuaji
 
Kwanini bro.
 
Wewe kama wewe unashauri nini katika hili swala?
 
Wewe kama wewe unashauri nini katika hili swala?
labda IT wa Kenya au Rwanda, Bongo Viswahili vingi, kazi mbovu
na pia msichana wa jana hapo juu ana hoja, Bongo nidhamu hakuna kabisa, upande wa muuzaji na upande wa mteja pia, kote changamoto

mie kama mteja, kwenye ad, delivery inasema free, ukimpigia anasema utaongezea sh. 5000
siyo mara moja unapiga unaambiwa hiyo bidhaa haipo, maana kashindwa ku-update kwenye ad
yaani Bongo bora liende
na kero nyingine kibao, kuongeza bei kiholela, etc,etc
 
Nimekuelewa vizuri sanašŸ¤šŸ¤

Msichana wa jana pia nimemuelewa vizuri sana.
 
Wewe tayari umeshafeli.
 

Nilishafikiria hii kitu ugumu unakuja nani ataweka bidhaa kwenye app?
 
Au unaweza kuwa agent wa maduka ya kkoo, unakuwa registered unaweka mfumo wa malipo mtu anaweka oda ya bidhaa anayotaka analipia pamoja na usafiri wewe kazi yako ni kwenda kununua au kupiga sim duka husika wafunge mzigo au unaenda mwenyewe. Unachukua buku kwa kila bidhaa unaweka limit ya oda labda 100pcs kwa kila bidhaa ili upate chochote kitu ukiwa mtu kazi.
 
Wazo zuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…