Kariakooking1978
JF-Expert Member
- Jul 11, 2023
- 549
- 1,078
- Thread starter
- #61
Nimekuelewa vizuriš¤Nakubaliana nawe, chance ipo ila tunasasafari ndefu. Maana vitu vingine ni vya kipumbafu ila ndo tunavifanya kama tamaduni, na kusema unaweza kuamka asubuhi ukawabadili watu ndipo mtihani.. inahitaji muda