gammaparticles
JF-Expert Member
- Jan 9, 2024
- 1,407
- 3,855
Mnaweza kuorganize hata wawili watu mkachukua mzigo wa maana mkapereka, kuokoa gharamaHaiingi akilini,
Kwa barabara utakufa njiani
Kwa meli hakuna
Na kwa ndege hiyo gharama yake haina faida
View attachment 3083568
Andika tuHaha kuna kitu nilitaka kuandika nikasahau
Ee unaweza ukapata site ukachoma nyama kule, ila sehem iwe classic sio unaenda kuwachomea wa kirumba mwaloni mwanza au vingunguti dar. Mtu aje kupark cardilac yake kula nyama yakoPamoja na kuwa na wazo la kuuza Mbuzi mnyama, nimewaza kumbe unaweza kuwa unauza Mbuzi Choma hasa kama utapata fundi mzuri wa Kuchoma
Uzuri wake maombi ya passport yamerahisishwa miaka hii
Hapo inabidi usafirishe mzigo kwenye ndege ya mizigo. Utahitaji mtaji mkubwa sana.Haiingi akilini,
Kwa barabara utakufa njiani
Kwa meli hakuna
Na kwa ndege hiyo gharama yake haina faida
View attachment 3083568
Lakini inalipa mkuu.Hapo inabidi usafirishe mzigo kwenye ndege ya mizigo. Utahitaji mtaji mkubwa sana.
Kwenye nchi za kiarabu ikiwemo Morocco,kuna kiwanda kikubwa tu cha kuchakata nyama kinachomilikiwa na muhindi mkoani Arusha huwa kinafanya uchakataji na usafirishaji nyama (ya mbuzi tu) kwenda huko, kiwanda kina uwezo wa kuchakata hadi mbuzi mia tano kw sikuna bado wanasema soko mzigo hautoshi, ni biashara nzuri ila inahitaji mtaji mkubwa,, wat3ja huwa wanatoa order ya kuanzia mbuzi 100 na kuendelea,nilishajaribu kutafuta wateja huko kupitia Go4worldbusiness.com na nikawapata wengi tu, issue ni vigezo na masharti yanakuwa mengi huku mtaji pia ukiwa changamoto, asante kwa kutusanua tena.Tanzania si nasikia tuna export nyama ya mbuzi huwa wanapeleka wapi?
Mimi nimefika sehem husika nimeshuhudia,naongea nilichokionaKwenye nchi za kiarabu ikiwemo Morocco,kuna kiwanda kikubwa tu cha kuchakata nyama kinachomilikiwa na muhindi mkoani Arusha huwa kinafanya uchakataji na usafirishaji nyama (ya mbuzi tu) kwenda huko, kiwanda kina uwezo wa kuchakata hadi mbuzi mia tano kw sikuna bado wanasema soko mzigo hautoshi, ni biashara nzuri ila inahitaji mtaji mkubwa,, wat3ja huwa wanatoa order ya kuanzia mbuzi 100 na kuendelea,nilishajaribu kutafuta wateja huko kupitia Go4worldbusiness.com na nikawapata wengi tu, issue ni vigezo na masharti yanakuwa mengi huku mtaji pia ukiwa changamoto, asante kwa kutusanua tena.
Mkuu, kinachosafirishwa ni nyama ya mbuzi,na si mbuzi mzima,ukisafirisha mbuzi mzima utakula hasara hata kabla hujaanza biashara.Haiingi akilini,
Kwa barabara utakufa njiani
Kwa meli hakuna
Na kwa ndege hiyo gharama yake haina faida
View attachment 3083568
Kwa umri wangu huu mdogo nimepata fursa ya kutembelea baadhi ya nchi hapa Afrika,ktk fursa hii nimebahatika kwenda nchi ya Morocco.
Nilienda morocco kupitia Mali kwa Tombouctou airport ya mali to Duarzazate airport ya morocco.
Nikiwa morocco nimetembelea majiji tofauti tofauti km unavyojua tunaojitafuta kila tulipo tunaangalia furasa, kati ya majiji niliotembea ni pamoja na Nador, Tetouan na Tangier(mji wa kibiashara sana,maana hapa watu utoka ulaya kuja kufanya biashara hapa).
Kuna fursa nimeliona morocco, kwa mtu mwenye connection na mtaji unaweza ukaifanya. Morocco biashara ya Mbuzi inalipa sana, kule wanapenda sana nyama choma hasa ya mbuzi, wazungu wanatoka Spain kuja kununua mbuzi Morocco. Mbuzi mwenye ubora mzuri anauzwa hadi laki tano(500,000/=)kwa ela ya kitanzania na wakati mwingine mbuzi zinakuwa hadimu bei upanda.
Kule warabu wana ela hawalili bei kiasi hicho,km anaitaji atachukua.lkn mbuzi wengi sana wanaenda ulaya,nimeona niwasanue kwa hili.
Hapo inabidi usafirishe mzigo kwenye ndege ya mizigo. Utahitaji mtaji mkubwa sana.
Nadhani hakuna ndege ya mizigo au ya abiria ya moja kwa moja TZ kwenda Morocco.
Hiyo biashara naijua, ina pesa sana.Ulizia hii issue utanipa majibu
Nina muda cjakaa tz ila nadhani kwenye 80000/= hadi 120000/=