Mshana Jr Hapo unamaanisha nauli ya safari siyo sehemu ya mtaji?
maana hiyo 5-10 milioni ni gharama za usafiri tuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mshana Jr Hapo unamaanisha nauli ya safari siyo sehemu ya mtaji?
Mungu akijalia wakati mwingine nikielekea huko mamaUkienda Mbeya niletee matoke
Nimekugunya 😏Mungu akijalia wakati mwingine nikielekea huko mama
Ya mzigo ukiwa na 10M nauli inclusive sio mbayaMshana Jr Hapo unamaanisha nauli ya safari siyo sehemu ya mtaji?
maana hiyo 5-10 milioni ni gharama za usafiri tuu.
Wewe chawa acha vitisho,usipovumilia utafanya Nini sasa?Wewe kila mara huoni? Acha mambo ya ajabu. Nimeitwa hapo Chawa kwa dhihaka ukajibu kuwa unaendelea kunielimisha. Utanielimisha nini wewe kuhusu China? UKIENDELEA NA HUU UNAFIKI SITAVUMILIA ZAIDI.
Kuomba radhi ni hekima sio unyonge! Sijawahi kutishwa nikatishika ... Nimemaliza mjadala nawewe.. Hutaona reply yangu kwako tena!Wewe kila mara huoni? Acha mambo ya ajabu. Nimeitwa hapo Chawa kwa dhihaka ukajibu kuwa unaendelea kunielimisha. Utanielimisha nini wewe kuhusu China? UKIENDELEA NA HUU UNAFIKI SITAVUMILIA ZAIDI.
Mkuu hapo pa mali kauli ,mchakato umekaaje na vigezo na masharti ni yepi?!Kuomba radhi ni hekima sio unyonge! Sijawahi kutishwa nikatishika ... Nimemaliza mjadala nawewe.. Hutaona reply yangu kwako tena!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wadhamini wa kuaminika mkuuMkuu hapo pa mali kauli ,mchakato umekaaje na vigezo na masharti ni yepi?!
Anhaaa sawa sawa,
Umefanya vyema kuliko kuomba radhi kinafiki.Kuomba radhi ni hekima sio unyonge! Sijawahi kutishwa nikatishika ... Nimemaliza mjadala nawewe.. Hutaona reply yangu kwako tena!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie ndo mnaomharibia jamaa yenu huu uzi wake.Wewe chawa acha vitisho,usipovumilia utafanya Nini sasa?
Ukisema katika suala la Hela hutakiwi kumuamini mtu nadhani hauko sahihi mkuu. Suala la uaminifu ktk Hela linategemeana na mambo mengi. Kwa mfano wewe hapo ulipo kama umeajiriwa humuamini hata anayekulipa ujira? Au kama umejiajiri huamini wateja wako au suppliers wako? Je, huamini pia watu waliokufikisha hapo through certain connection? La mhimu ni umakini na kuwa na taarifa za kutosha kuhusu masuala ya pesa inayoingia au kutoka na faida zake. Issues za hela nyingi ni za kutake risk ndo maana watu wamefika hapo walipo. Hakuna mtu amefanikiwa bila kupoteza au kijifunza.Siwezi acha uoga, dunia hii ukiona fursa usikimbilie huenda we ndio fursa.
Japo sijasema mleta uzi ni muhuni, namuheshimu saana mleta mada, nae analijua hili kiasi gani namuheshimu.
Ni vile tu kwenye masuala ya hela sijawahi amini mtu.
ndio nini hiyo mama.Nimekugunya 😏
Hilo neno nililisikia mtoto akimwambia mtoto mwenzie wakiwa wanacheza, alafu akaondoka 🤣🤣🤣ndio nini hiyo mama.
ndio maana napenda sana kufundishwa kama mtoto kwakweli mama...Hilo neno nililisikia mtoto akimwambia mtoto mwenzie wakiwa wanacheza, alafu akaondoka 🤣🤣🤣
Ni neno la kinyamwanga
Pole, kunywa maji mengiKahaba ushaanza kuharibu uzi wa watu
Ni watu wa Songwe hukondio maana napenda sana kufundishwa kama mtoto kwakweli mama...
sasa mama,
hao wa nyamwanga ndio wanapatikana huko nyamwongo ?
yote na yote ni muhimu kuzingatia safari ya china...