Fursa ya safari ya kibiashara China (kwa wajasiriamali wenye mitaji midogo)

Fursa ya safari ya kibiashara China (kwa wajasiriamali wenye mitaji midogo)

Wewe kila mara huoni? Acha mambo ya ajabu. Nimeitwa hapo Chawa kwa dhihaka ukajibu kuwa unaendelea kunielimisha. Utanielimisha nini wewe kuhusu China? UKIENDELEA NA HUU UNAFIKI SITAVUMILIA ZAIDI.
Kuomba radhi ni hekima sio unyonge! Sijawahi kutishwa nikatishika ... Nimemaliza mjadala nawewe.. Hutaona reply yangu kwako tena!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siwezi acha uoga, dunia hii ukiona fursa usikimbilie huenda we ndio fursa.

Japo sijasema mleta uzi ni muhuni, namuheshimu saana mleta mada, nae analijua hili kiasi gani namuheshimu.
Ni vile tu kwenye masuala ya hela sijawahi amini mtu.
Ukisema katika suala la Hela hutakiwi kumuamini mtu nadhani hauko sahihi mkuu. Suala la uaminifu ktk Hela linategemeana na mambo mengi. Kwa mfano wewe hapo ulipo kama umeajiriwa humuamini hata anayekulipa ujira? Au kama umejiajiri huamini wateja wako au suppliers wako? Je, huamini pia watu waliokufikisha hapo through certain connection? La mhimu ni umakini na kuwa na taarifa za kutosha kuhusu masuala ya pesa inayoingia au kutoka na faida zake. Issues za hela nyingi ni za kutake risk ndo maana watu wamefika hapo walipo. Hakuna mtu amefanikiwa bila kupoteza au kijifunza.
 
Hilo neno nililisikia mtoto akimwambia mtoto mwenzie wakiwa wanacheza, alafu akaondoka 🤣🤣🤣

Ni neno la kinyamwanga
ndio maana napenda sana kufundishwa kama mtoto kwakweli mama...

sasa mama,
hao wa nyamwanga ndio wanapatikana huko nyamwongo ?

yote na yote ni muhimu kuzingatia safari ya china...
 
ndio maana napenda sana kufundishwa kama mtoto kwakweli mama...

sasa mama,
hao wa nyamwanga ndio wanapatikana huko nyamwongo ?

yote na yote ni muhimu kuzingatia safari ya china...
Ni watu wa Songwe huko
China lazima twende uncle Mshana akatuonyeshe machimbo ya biashara
 
Back
Top Bottom