6321
JF-Expert Member
- Oct 16, 2016
- 649
- 1,117
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu sina ufahamu mkubwa juu ya hiloMkuu unaweza kunieleza gharama zote za visa,nauli na michakato yote kwa ujumla hadi kufika Canada na kuanza kutafuta kazi kule?
Hii nina ufahamu nayo,ambacho bado sijakipatia majibu ni kujua niandae kiasi gani cha pesa ili niwe na confidence ya kuuanzisha huo mchakato lengo ni kwamba nikianza ufuatiliaji nisikwame na kuishia kati.Mkuu sina ufahamu mkubwa juu ya hilo
Ila nijuavyo Canada wana program yakutoa visa kupitia canada Express entry kwa watu wenye ujuzi mbali mbali unaweza temebelea web yao ukapata mwanga zaidi ili tushare ulichokielewa
Express Entry: Who can apply - Canada.ca
Check if you’re eligible for 1 of the 3 immigration programs managed by Express Entry. Compare key differences in eligibility criteria.www.canada.ca
View attachment 1898878
Nimekupata mkuu sina jibu la moja kwa 1 ila wameziweka kwa makundi hizi gahrama kurtegemeana ana aina yako ya kazi.Hii nina ufahamu nayo,ambacho bado sijakipatia majibu ni kujua niandae kiasi gani cha pesa ili niwe na confidence ya kuuanzisha huo mchakato lengo ni kwamba nikianza ufuatiliaji nisikwame na kuishia kati.
Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
ooh asante mkuu kwa infoNimekupata mkuu sina jibu la moja kwa 1 ila wameziweka kwa makundi hizi gahrama kurtegemeana ana aina yako ya kazi.
mfano health worker gharama zake zinaweza kuwa tofauti na engineers..
Hii apa site yenye FEE LIST
Citizenship and immigration application fees: Fee list
Check our complete list of immigration and citizenship application fees, grouped by category.www.cic.gc.ca
Naamnin ukipita category moja hadi nyingine utakuwa na data za kutosha..
Maana wanaweza kjkujumuishia Visaa Fee + permanent residence fee or Temporary residence fee e.tc !
Kama $800+
Unazungumzia hii site hapa chini?Uzi upo moto ila humu ndani kuna mwanajamvi alishawahi kutoa uzi flani hivi wa kwenda nje kihalalo na kirahisi kupitia kuomba kwenye website flani hivi nimezosahau majina ambapo utakuta watu wanatoa mialiko ya kwenda kuwasaidia kazi huku wew wakikupa hifadhi na chakula kwa muda husika
Wiki kadhaa zilizopita rais wa Kenya alikuwa U.K kaongea na moja ya waziri huko ...kuhusu masuala ya wafanyakazi sekta ya healthy care,
Sasa hivi wakenya wana chance kubwa ya kupata kazi za health care huko U.K kutokana na uhaba uliopo..
Nashukuru kwa Tag mkuu, hili ndio nilikuwa nazungumzia hongera kwake Rais wa Kenya Kuwatafutia huu mchongo hao nurses- nje za ulaya na marekani nurses wanalipwa vizuri sana sana!!!..![]()
Over 30,000 Kenyan nurses to get jobs in UK
The arrangement was requested by the government and launched by President Uhuru Kenyatta last month during his London visit.www.standardmedia.co.ke
Hizo nakumbuka watu walifanya mtihani alaf ubalozi ukakaankimya sijajua kama Kuna ambao walipataScholarship postgraduate za japan zilipita kimya kimya.. wabongo walisha apply..
View attachment 1896294
Hii site iko vipi mkuu,tupe maelezo kidogo kama una uelewa nayoNafikrie u
Unazungumzia hii site hapa chini?
![]()
Affordable cultural exchange program - discover meaningful projects in over 180 countries!
Join global travel community to learn, teach and share skills. Contact local hosts worldwide, meet likeminded adventurers and create lasting connections now!www.workaway.info
View attachment 1898916
LAbda wadau watuambie inakuwaje ...unaweza kupata visa just kwa mualiko utakoupata humu??
GoodMasters Scholarship fully funded kwa Wa Tanzaznia wote ni free kuapply
View attachment 1889826![]()
Tanzania (Chevening Scholarship) | Chevening
Chevening Scholarships for Tanzanians looking to study in the UKwww.chevening.org
Hii unalipiwa hadi ticket ya ndege..!!Masters Scholarship fully funded kwa Wa Tanzaznia wote ni free kuapply
View attachment 1889826![]()
Tanzania (Chevening Scholarship) | Chevening
Chevening Scholarships for Tanzanians looking to study in the UKwww.chevening.org