Fuvu na Mifupa(Skull and Bones) Jamii ya Siri ya Kishetani inayoongoza Matukio ya Duniani

Fuvu na Mifupa(Skull and Bones) Jamii ya Siri ya Kishetani inayoongoza Matukio ya Duniani

Mkuu Eiyer naona umewaacha wengi kwenye mataa kuhusu Pindar. Kifupi tu, Pindar ni kiongozi mkuu wa Illuminati hapa duniani. Kiongozi huyu anatoka katika familia 13 ambazo ndio waanzilishi wa Illumianti kwa sasa hivi inasadikika kuwa anatokea kwenye familia ya Rothschild. Pindar ni kifupi cha Pinnacle of the Draco, vile vile ikifahamika kama Penis of the Dragon. Kiongozi huyu ndio nguvu ya juu kabisa hapa duniani anayetawala (control) anayehakikisha kupanuka,na kuratibu mashambulizi ya ki-Illuminati na kutia hofu uma. Hizi familia 13 ni familia zenye nguvu ya kifedha na ushawishi mkubwa kwa serikali zote za dunia hii. Asili ya hizi familia si ya kawaida kwani wana vinasaba (DNA) za nyoka (Reptilian DNA)
mkuu hii post yako sikuiona kabla sikajukiji hapo juu....

Umeelezea vizuri lakini Pindar anapokea maelekezo pia na siyo yeye anaamua kila kitu...

Hiyo Penis of the Draco ni Penis of the Dragon,hapo wakiwa wanamaanisha ile Obelisk iliyoko pale Manhattan ambayo inawakilisha uume wa Nimrod ambao haukupatikana wakati Semiramis alipokusanya viungo vya Nimrod baada ya kuuawa vibaya na babu yake.Semiramis ambaye anajulikana pia kama Queen of heaven naye anaabudiwa na vyama hivi vya siri na ndiye mwenye sanamu ile pale Manhattan inayojulikana kama statue of liberty....

obelis11.jpg


Obelisk ya USA,New York..

statue of liberty.jpeg

Statue of Liberty,Manhattan USA...
 
Mkuu Eiyer naona umewaacha wengi kwenye mataa kuhusu Pindar. Kifupi tu, Pindar ni kiongozi mkuu wa Illuminati hapa duniani. Kiongozi huyu anatoka katika familia 13 ambazo ndio waanzilishi wa Illumianti kwa sasa hivi inasadikika kuwa anatokea kwenye familia ya Rothschild. Pindar ni kifupi cha Pinnacle of the Draco, vile vile ikifahamika kama Penis of the Dragon. Kiongozi huyu ndio nguvu ya juu kabisa hapa duniani anayetawala (control) anayehakikisha kupanuka,na kuratibu mashambulizi ya ki-Illuminati na kutia hofu uma. Hizi familia 13 ni familia zenye nguvu ya kifedha na ushawishi mkubwa kwa serikali zote za dunia hii. Asili ya hizi familia si ya kawaida kwani wana vinasaba (DNA) za nyoka (Reptilian DNA)
DNA ya nyoka ni kitu gani?kuna simulizi inayoonyesha zamani nyoka walikuwa binadamu
 
Kwenye kifo cha JFK ni kwamba yule aliuawa akiwa anajua kuwa atauawa kwasababu naye alikuwa kwenye hivi vyama vya siri..

Haya mambo wengi hawajui lakini watu kama Osama,Sadam na Gaddafi ni watu ambao walikuwa wanajua destiny yao kabisa kwasababu kuna makubaliano maalum wanaingia nao kwa kazi maalum na wanajua kabisa watakapoishia..

Wanakaa mezani na kufanya mikakati na wanateuliwa watu kwaajili ya shughuli fulani ambayo wanajua kabisa itaishia wapi kwaajili ya kutengeneza mtazamo fulani katika jamii na mfano rahisi ni ishu ya Gadafi ambapo wengi wanaamini kabisa kuwa jamaa alikuwa ni adui wa Marekani na Ulaya na hichi ndicho wanachokitaka hawa "watu" ninyi muamini....

Hakuna kutokuelewana kokote kati ya Marekani na North Korea,wanatumia kanuni yao ya kijinga sana ambayo wana tengeneza tatizo kisha wanatoa suluhu ambayo inatoa matokeo wayatakao wao....

Unadhani vita ya dunia ya pili iliisha mwezi wa 11 tarehe 11 asaa 11 jioni kwa bahati mbaya?

Unadhani bomu la Marekani lililodondoshwa Hiroshima na Nagasaki tarehe 6 na 9 mwezi wa 8 mwaka 1945 lilikuwa bahati mbaya au vita kama unavyofikiria?

Tunatakiwa tujifunze kwanza basics za haya mambo ili tuanze kuelewa mambo mengine meengi sana kwakweli na ndipo kazi ilipo.....
KAKA UPO VIZURI SANA AISEE..hawa jamaa haeafai wanaanzisha chanzo cha tatizo, wanasababisha tatizo,wanakuja kutatua tatizo.
 
Mkuu Eiyer naona umewaacha wengi kwenye mataa kuhusu Pindar. Kifupi tu, Pindar ni kiongozi mkuu wa Illuminati hapa duniani. Kiongozi huyu anatoka katika familia 13 ambazo ndio waanzilishi wa Illumianti kwa sasa hivi inasadikika kuwa anatokea kwenye familia ya Rothschild. Pindar ni kifupi cha Pinnacle of the Draco, vile vile ikifahamika kama Penis of the Dragon. Kiongozi huyu ndio nguvu ya juu kabisa hapa duniani anayetawala (control) anayehakikisha kupanuka,na kuratibu mashambulizi ya ki-Illuminati na kutia hofu uma. Hizi familia 13 ni familia zenye nguvu ya kifedha na ushawishi mkubwa kwa serikali zote za dunia hii. Asili ya hizi familia si ya kawaida kwani wana vinasaba (DNA) za nyoka (Reptilian DNA)
Ahsante Dami umenipa kamwanga
 
KAKA UPO VIZURI SANA AISEE..hawa jamaa haeafai wanaanzisha chanzo cha tatizo, wanasababisha tatizo,wanakuja kutatua tatizo.
Novus ordo Seclorum...

Order out of chaos,New world order,New order of ages n.k....

Inatumika kwa namna tofautu tofauti sana lakini hapo kwenye hiyo yako imetumika hiyo ya order out of chaos,wanaleta vurugu mahali ili kuleta matokeo wayatakayo.....

Mfano wa hili ni vita viwili vya dunia,vita ya Iraq,Afghanistan,WTC attack,ISIS war,Syrian war,Congo war,Somali war,na vita vingine vyote vinavyoendelea duniani iwe vya nchi na nchi au vya wenyewe kwa wenyewe vyote vimetengenezwa na hawa watu ambao kila mmoja anawaelewa kwa namna tofauti kulingana na ufahamu wake wa amambo yanavyoendelea duniani...

Hatujachelewa sana tunaweza kujua mengi bado...
 
Duh, I understand the order we get out of chaos now.....low memory ...loading ....stacked...!
 
Novus ordo Seclorum...

Order out of chaos,New world order,New order of ages n.k....

Inatumika kwa namna tofautu tofauti sana lakini hapo kwenye hiyo yako imetumika hiyo ya order out of chaos,wanaleta vurugu mahali ili kuleta matokeo wayatakayo.....

Mfano wa hili ni vita viwili vya dunia,vita ya Iraq,Afghanistan,WTC attack,ISIS war,Syrian war,Congo war,Somali war,na vita vingine vyote vinavyoendelea duniani iwe vya nchi na nchi au vya wenyewe kwa wenyewe vyote vimetengenezwa na hawa watu ambao kila mmoja anawaelewa kwa namna tofauti kulingana na ufahamu wake wa amambo yanavyoendelea duniani...

Hatujachelewa sana tunaweza kujua mengi bado...

Hawa jamaa washenzi kweli aiseee.....kweli kuwaelewa mpaka upate nondo kama hizi...na wameshateka kila sehemu makanisani misikitini wamejaaa wanaedit tu taratibu za ibada
 
Umepapasa tu kuhusu ukweli wa dunia na anayeiendesha....

Endelea kujifunza na utajua hao Skull and Bones ni sisimizi tu,hata Freemason na Illuminati ni sisimizi tu...

Jifunze kuhusu Pindar utapata mwanga kidogo....
13families n KKK....apitie pia Jesuit..
 
Umepapasa tu kuhusu ukweli wa dunia na anayeiendesha....

Endelea kujifunza na utajua hao Skull and Bones ni sisimizi tu,hata Freemason na Illuminati ni sisimizi tu...

Jifunze kuhusu Pindar utapata mwanga kidogo....
Mweeeh!! Kazi ipo!
 
Hawa jamaa washenzi kweli aiseee.....kweli kuwaelewa mpaka upate nondo kama hizi...na wameshateka kila sehemu makanisani misikitini wamejaaa wanaedit tu taratibu za ibada
Kimsingi tunapaswa kuwa makini sana hasa kwenye hizi imani na ukiendelea kufanya utafiti wako kuna dini utaziona kuwa ni za kutoka sehemu moja tu lakini zinatofautiana majina tu....

Jambo hilo wengi hatulijui haswa sisi wa huku Afrika maana hatupendi kusoma na kufuatilia mambo mengi kwa kina na ndiyo hapo tunamalizwa kiulaini kabisa na wale wachache ambao wanajisomea na kutafiti zaidi wanaonekana vichaa pale wanapoongelea mambo fulani ambayo yanaonekana kama hayawezekanini....

Kimsingi hiyo ndiyo shabaha ya wakuu wa ulimwengu huu ili ifike mahali wale wanaozungumza ukweli waonekane vichaa na wasisikilizwe.Sitakuja kusahau nilipokuwa namueleza bro wangu kuhusu Freemason mwaka 2010 aliniangalia tu na baadaye akawa anaongea na rafiki yangu mmoja akimuuliza kama nilikuwa nimeanza kuvuta bangi....

Baada ya mtu mmoja maarufu kufariki hapa Bongo ndipo habari za hao jamaa zilianza kumwagika sana na akaelewa japokuwa wakati namuambia kuhusu hao jamaa nilikuwa naongelea basics tu na siyo yale makubwa na nadhani angesema kabisa wazi wazi kuwa nilikuwa ni kichaa....

Tupende kujisomea tutapona....
 
Eiyer nakupongeza sana mkuu umeichagiza hii mada kwa kiasi kikubwa mno, nikuombe tuu mkuu hiko ulichokipata kwa muda wote huo usibakiwe nacho bila ya kutumegea japo kwa kidogo tu mr nasi angalao tufunuke maaarifa kidogo.
Mkuu,bado najifunza mambo haya na naona kama hata robo sijafika na kuna hatua nikiifikia nitaandika kitabu au nitatafuta namna ya kutengeneza documentary ambayo atakayeitaka nitampa bure kabisa....

Ninapoongelea haya huwa nashindwa nianzie wapi maana ni mengi sana.Kwa mfano uki trace Freemason utajikuta unaishia kwa akina Albert Pike na imani ya ya G.A.O.T.U basi,uki trace back Illuminati utaishia kwa wakuu 13 walioko juu na kama utakuwa siyo mvivu utaishia kwa Pindar baasi,ukifuatilia Theosophical society utajikuta unaishia kwa akina Ms Blavaski n.k,utajikuta unawaona hao ndiyo wanaiongoza dunia kama wengi wanavyofikiri wakati kuna wakubwa zaidi...

Kimsingi unatakiwa utafute vyanzo zaidi vya kutafiti,Mainly P. Hall aliwahi kusema kwamba wanampango wa kuirudisha bara la Atlantis katika ubora wake,sasa hapo ndiyo tujiulize huko Atlantis kulikuwa na nini na bara hilo leo halipo kwasababi ipi?

Hapo nawashauri ni pazuri kuanzia maana utaenda mbele kisha utarudi hadi wakati wa zamani sana na utajua mengi sana ambayo nikiandika hapa ni mengi sana....

atlantis continet.jpeg

Ramani ya dunia ikionesha bara la Atlantis...
 
Mkuu,bado najifunza mambo haya na naona kama hata robo sijafika na kuna hatua nikiifikia nitaandika kitabu au nitatafuta namna ya kutengeneza documentary ambayo atakayeitaka nitampa bure kabisa....

Ninapoongelea haya huwa nashindwa nianzie wapi maana ni mengi sana.Kwa mfano uki trace Freemason utajikuta unaishia kwa akina Albert Pike na imani ya ya G.A.O.T.U basi,uki trace back Illuminati utaishia kwa wakuu 13 walioko juu na kama utakuwa siyo mvivu utaishia kwa Pindar baasi,ukifuatilia Theosophical society utajikuta unaishia kwa akina Ms Blavaski n.k,utajikuta unawaona hao ndiyo wanaiongoza dunia kama wengi wanavyofikiri wakati kuna wakubwa zaidi...

Kimsingi unatakiwa utafute vyanzo zaidi vya kutafiti,Mainly P. Hall aliwahi kusema kwamba wanampango wa kuirudisha bara la Atlantis katika ubora wake,sasa hapo ndiyo tujiulize huko Atlantis kulikuwa na nini na bara hilo leo halipo kwasababi ipi?

Hapo nawashauri ni pazuri kuanzia maana utaenda mbele kisha utarudi hadi wakati wa zamani sana na utajua mengi sana ambayo nikiandika hapa ni mengi sana....

View attachment 503070
Ramani ya dunia ikionesha bara la Atlantis...

mkuu andika hayohayo machache ktk mpangilio wenye kuleta maana na mtiririko wa hao jamaa,ili kwa pamoja tuongezeane maarifa naamini humu wapo wanjua ambavyo wewe bado haujavifikia...
 
Back
Top Bottom