Fuvu na Mifupa(Skull and Bones) Jamii ya Siri ya Kishetani inayoongoza Matukio ya Duniani

Fuvu na Mifupa(Skull and Bones) Jamii ya Siri ya Kishetani inayoongoza Matukio ya Duniani

Mkuu Eiyer naona umewaacha wengi kwenye mataa kuhusu Pindar. Kifupi tu, Pindar ni kiongozi mkuu wa Illuminati hapa duniani. Kiongozi huyu anatoka katika familia 13 ambazo ndio waanzilishi wa Illumianti kwa sasa hivi inasadikika kuwa anatokea kwenye familia ya Rothschild. Pindar ni kifupi cha Pinnacle of the Draco, vile vile ikifahamika kama Penis of the Dragon. Kiongozi huyu ndio nguvu ya juu kabisa hapa duniani anayetawala (control) anayehakikisha kupanuka,na kuratibu mashambulizi ya ki-Illuminati na kutia hofu uma. Hizi familia 13 ni familia zenye nguvu ya kifedha na ushawishi mkubwa kwa serikali zote za dunia hii. Asili ya hizi familia si ya kawaida kwani wana vinasaba (DNA) za nyoka (Reptilian DNA)
Me Eiyer namkubali sana, tatizo lake anajua vitu vingi lakini apendi kuvitoa.
 
Me Eiyer namkubali sana, tatizo lake anajua vitu vingi lakini apendi kuvitoa.
Mkuu unajua kama hujui haya mambo unaweza kudhani ni rahisi tu kuyasema.Hapa sizungumzii labda hofu bali namna mambo yenyewe yalivyo,ili uweze kuandika kwa mtiririko mzuri na unaoweza kueleweka ni jambo litakalokufanya utumie muda mrefu sana labda uwe unaelezea vijikundi kama huyu mtoa mada kitu ambacho kwangu mimi naona siyo sahihi kwasababu tunakuwa tunaangukia kwenye mtego wa hawa watu maana wameandaa vijikundi hivi ili ku mislead watu wanaotaka kujua watu hao ni akina nani maana vijikundi hivi havitakufikisha popote ukiamua kuvifuatilia,nafahamu ninachokisema...

Labda pa kuanzia ni kuanza namna binadamu alivyoanza maisha kule Eden na kile kilichotokea kuanzia hapo huenda inaweza kuwa point ya maana kuliko kuanza na KKK au Theosophical society au Rosicrucian maana tutakuwa tunaanza kusafisha matairi ya gari wakati tulipaswa tuanze ndani kwenye viti kisha tule nje kwenye bodi kisha ndiyo tumalizie matairi...

Ndiyo maana post yangu ya kwanza tu katika mada hii imeonekana kama ni hasi au nimedharau alichokifanya Guru wakati sikuwa na maana hiyo.Pia,naona Guru amejiunga JF mwaka huu na inawezekana hafahamu mengi ambayo yameshajadiliwa hapa lakini kimsingi haya mambo tulishayajadili sana,tafuta uzi upo hapahapa Intelligence unahusu familia mbili kubwa na tajiri duniani,Rockerfeller [Rock Feller] na Rothschild [Rock shield] utaona mengi sana na usione uvivu kusoma maana ni mada ndefu sana nadhani ni ya mwaka 2012 hivi....

Nainatumai utaelewa mengi sana mule maana wapo watu waliojitokeza na kusema mengi sana ambayo ni muhimu hasa mkuu mmoja anaitwa Juve2012...
 
Naona sijaeleweka na baadhi ya watu wamechukulia post yangu negatively kiasi kwamba nimejikuta nashangaa sana tena sana na wengine kama wewe wametaka kujua kuhusu nilichoandika,nitaeleza sababu za mimi kuandika post kama ile ili wale ambao wanahitaji kujifunza wajifunze....

Kwanza kabisa ni kwamba nilitaka kuonesha kuwa mtoa mada hakuwa sawa kwa kusema kuwa Skull and Bones ndiyo wanaoiendesha dunia,pili nikaonesha njia kwa kutaja jina ambalo kabla ya mtu kunirushia shutuma alipaswa akafanye utafiti ajue ni jina la nani nililolitaja lakini kama kawaida yetu Wabongo tumerusha shutuma na matusi....

Kimsingi,kama nilivyofanya mimi ninapenda sana watu wasipende kuambiwa kila kitu bali wakafanye utafiti wao wenyewe wajue maana ukiambiwa sana uwezekano wa kudanganywa ni mkubwa sana,sasa hapa naona mnataka niseme mimi kile ninacho kijua,siyo jambo baya sana lakini tatizo kubwa zaidi ni kwamba hamjui ninachotaka kusema ni kitu gani.Ukweli ni kwamba ni ngumu sana kuelezea nijuacho kwenye post moja au thread nzima hapa JF kwasababu kuu mbili...

1;Wabongo ni wavivu sana wa kusoma makala ndefu hivyo nikipoteza muda kuandika hapa haitakuwa na maana yoyote ile...
2;Mambo ambayo ninapaswa kuyaandika ni mengi sana kiasi kwamba yatakula muda wangu hadi wa kutafuta mkate wa kila siku hivyo kunisababishia nishindwe hata kununua bando la kuingia hapa JF na kuandika haya,sasa hii ni shida kubwa sana....

Ninachowashauri watu ni kwamba wajitahidi sana kujifunza wenyewe kwa muda ambao wanakuwa free,siku hizi ni rahisi maana tunatoa na key word kabisa hivyo unapata pa kuanzia,nilitaja jina Pindar,huyu ni mkuu wa Illuminati asiyeonekana na hata wanachama wa Illuminati wenyewe hawamjui na inasadikiwa mkuu wa chama hiki cha siri anatoka kwenye familia zile mbili kubwa zinazounda Illuminati ambazo ni Rothchild na Rockerfeller lakini hiyo ni speculation tu,ukifuartilia utajua mengi kumhusu na utakapomfuatilioa huyo atakuongoza kuelekea kwingine ambako ni kupana zaidi ya hapo....

Kwa mimi ambaye nina miaka mingi kigogo ninafuatilia mambo haya nikikutana na mtu anayejadili Illuminati,Freemason au Skull and Bones kama wanaoiendesha dunia namuona kama bado hajajua ukweli kabisa maana hivyo vyama vya siri ndivyo ambavyo watu wanakutana navyo mwanzoni tu wanapofuatilia mambo haya na ndivyo vinavyojulikana mitaani sasa.Wakati mimi naanza kuwafuatilia hawa watu Illuminati na Freemason haikuwa ikijulikana kwa watu kabisa na kuna watu walikuwa wananiona ni kichaa,Skull and Bones ndiyo kabisaa hawakuwa wakijulikana,sasa kitu ambacho nilikifuatilia miaka karibia 15 huko nakuja kuona mtu leo anaona ndiyo cha ajabu nashangaa kidogo...

Kuna vyama vya siri ambavyo havijulikani na wengi,vyama kama Theosophical society,Luci's trust [Lucifer's trust],Rosicrusian [Rose and cross],Club of Rome na vingine vingi ni miongoni mwa vyama vya siri ambavyo viliundwa kwa umakini ili yoyote anayefuatilia ajikute anaamini kuwa hao ndiyo kila kitu na aishie hapo kama mtoa mada wakati kuna mengi zaidi...

Bahati mbaya ukiishia hapo hutawajua watu kama Aliester Crowell,John Dee na kiboko yao Mainly P. Hall na bila kumsahau Hellena Petrova Blavasky au mwanafunzi wake waliyeshirikiana naye kuunda Luci's Trust,Alice Baily.Hellena Blavasky anamahusiano ya kindugu na mke wa Prescot Bush babu wa George W. Bush ambaye ni mtoto wa George H Bush ambaye ni mtoto wa Prescot Bush...

Unapoanza kujadili masuala ya vyama vya siri unakuwa bado kabisa na nakuona kama upo shule ya msingi ya kuelekea kuwajua wanaoiendesha dunia kwasababu huko baado sana ni mbali.Ukifikia kuwajua Nephilims na bara la Atlantis ambalo halipo leo na walipotoka sasa hapo utakuwa upo secondary ukielekea kuwajua akina akina Sananda ni akina nani au Sanat Kumara hapo sasa unakuwa umefika secondary A-Level ukielekea chuo ambako utakutana na wanaoiendesha dunia....

Jitahidini kufuatilia majina niliyoandika ili muweze kujua mengi na siyo kutaka kuambiwa kila kitu.Hapa tu nimewapa hints na mnaona maandiko yamekuwa mengi.Kutaka kuwaelezea tu akina Mainly P. Hall si itakuwa shida?

Niwatake radhi kwa niliowakwaza lakini wito wangu ni kwamba tujitahidi sana kujifunza na kuacha kutukana watu bila sababu za msingi....
Mkuu hebu tumegee kidogo juu ya kupotea kwa hilo bara la Atlantis,na kwann wanataka lirudi?...umegusia sananda na saint kumara ni nani hawa?mkuu Eiyer mwaga vitu tupate elimu
 
kwetu watu kama wewe huwa tunawaoa kwa vitu vidogo sana. jamaa kaelezea ambacho amependa kushare. ukiwa na akili timamu unaanzisha uzi wako kimay kimya tu kama unadhan unafaham mengi. aliyoyaandika yanaeleweka na vielelezo vya kutosha ninyi wengine wenye wivu wa kike tayari yamewajaa kooni. sema tu umemkuta jamaa labda mstaarabu kwa sisi wanaume wa pwani kesho tu tunaleta mahari kwa wazaz wako kutangaza ndoa.
Dah! We jamaa noma umenifanya mpaka nimewaamsha watoto kwa kucheka kkkkkkkkkk ,Pwani oyeeee
Nalog off
 
Mkuu hebu tumegee kidogo juu ya kupotea kwa hilo bara la Atlantis,na kwann wanataka lirudi?...umegusia sananda na saint kumara ni nani hawa?mkuu Eiyer mwaga vitu tupate elimu
Nitajitahidi kufupisha kwa namna nitakavyoweza ili nisiandike maandishi mengi japokuwa siyo jambo zuri maana kuna mengine hutayajua...

Bara la Atlantis ni bara lililokuwa kwenye bahari ya atlantic baina ya bara ulaya na Amrerica ya kaskazini.Bara hili lilijulikana kama kitovu cha maendeleo duniani na wakati huo dunia ilikuwa na maendeleo makubwa mara kumi ya sasa.Jambo hili linafichwa sana kwa sababu maalum.Bara hili waliishi magiant [Nephilims] ambao waliendesha utawala duniani utawala ambao ulimuumiza sana binadamu wa kawaida.Kulikuwa kukifanyika kafara za binadamu na viungo vya binadamu vilikuwa vikitumika kwa shughuli mbali mbali za nguvu za giza.Ilifikia mahali damu ya binadamu ilikuwa ikitumika kama kinywaji cha kawaida kwa hawa viumbe..

Unaweza kujiuliza hawa Nephilim ni nani au akina nani.Nephilims ni viumbe ambao walikuwa nusu binadamu na nusu malaika ambao walipatikana baada ya malaika waasi kufanya ngono na wanawake wanadamu.Malaika waasi ndiyo waliowafundishwa wanadamu elimu za unajimu,utoaji wa mimba,kutengeneza silaha na teknolojia nyinginezo ambazo ni za hali ya juu sana.Binadamu baana ya kupata ujuzi huu walianza kuuana wao kwa wao na ndipo Mungu alipoingilia kati na kuleta gharika lililowasambaratisha viumbe wote na kuwasalimisha walioingia kwenye safina...

Maisha ya wakati huu yalikuwa ya kishetani haswa.ni maisha ya kutisha sana maana binadamu alikuwa akiishi kama vile mbuzi leo maana alikuwa akiwindwa vilivyo hadi pale ambapo Mungu alipoamua kuingilia kati.Anayetaka kulirudisha bara hili na ustaarabu ule ni Semjaza,miongoni mwa malaika wakuu walioasi wanataka kuuleta ufalme wao hapa duniani wakishirikiana na binadamu wachache wasiojua ukweli na wanaoujua wachache sana lakini kwa umakini na udanganyifu mkubwa sana wa kisayansi....

Wanataka watawale dunia na jambo hili litatokea siyo miaka mingi kutokea sasa maana wanamalizia tu na wanataka kuwaleta tena hao malaika kutoka walipo kupitia kinachoendelea kule kwenye mitambo yao ya LHC [Large Hadron Collider] kwenye project yao maarufu ya Cern ambapo wanataka kufanya kitu ambacho dunia haitakuja kusahau kamwe...

lhc.jpeg
lhc 1.jpeg

LHC

Sananda ni kiumbe wa roho ambaye anajifananisha na Yesu,picha inayotumika kwenye makanisa na ambayo watu wanaamini kuwa ni ya Yesu ni ya Sananda,kuna mengi kumhusu huyu lakini kwa hapa inatosha kusema hivyo.Watu wanadai ni picha ya Cecare Borgia lakini ukweli ni kwamba ni picha ya Sananda.Kiumbe huyu ni miongoni mwa wale malaika waasi na huyu atatumika kudanganya watu wakati watakapo fake ujio wa Yesu.....

sananda.jpeg
sananda 2.jpeg
sananda 3.jpeg
sananda 3.jpeg

Sananda...

Sanat Kumara ni Azazel ambaye hujulikana kama Satan Kumara maana jina lake la kwanza limebadilishwa tu herufi.Huyu inasemekana ni Shetani mwenyewe au ni second in command kwenye himaya yao hawa malaika waasi....

Nadhani nimekupa mwanga angalau kidogo....
 
Nitajitahidi kufupisha kwa namna nitakavyoweza ili nisiandike maandishi mengi japokuwa siyo jambo zuri maana kuna mengine hutayajua...

Bara la Atlantis ni bara lililokuwa kwenye bahari ya atlantic baina ya bara ulaya na Amrerica ya kaskazini.Bara hili lilijulikana kama kitovu cha maendeleo duniani na wakati huo dunia ilikuwa na maendeleo makubwa mara kumi ya sasa.Jambo hili linafichwa sana kwa sababu maalum.Bara hili waliishi magiant [Nephilims] ambao waliendesha utawala duniani utawala ambao ulimuumiza sana binadamu wa kawaida.Kulikuwa kukifanyika kafara za binadamu na viungo vya binadamu vilikuwa vikitumika kwa shughuli mbali mbali za nguvu za giza.Ilifikia mahali damu ya binadamu ilikuwa ikitumika kama kinywaji cha kawaida kwa hawa viumbe..

Unaweza kujiuliza hawa Nephilim ni nani au akina nani.Nephilims ni viumbe ambao walikuwa nusu binadamu na nusu malaika ambao walipatikana baada ya malaika waasi kufanya ngono na wanawake wanadamu.Malaika waasi ndiyo waliowafundishwa wanadamu elimu za unajimu,utoaji wa mimba,kutengeneza silaha na teknolojia nyinginezo ambazo ni za hali ya juu sana.Binadamu baana ya kupata ujuzi huu walianza kuuana wao kwa wao na ndipo Mungu alipoingilia kati na kuleta gharika lililowasambaratisha viumbe wote na kuwasalimisha walioingia kwenye safina...

Maisha ya wakati huu yalikuwa ya kishetani haswa.ni maisha ya kutisha sana maana binadamu alikuwa akiishi kama vile mbuzi leo maana alikuwa akiwindwa vilivyo hadi pale ambapo Mungu alipoamua kuingilia kati.Anayetaka kulirudisha bara hili na ustaarabu ule ni Semjaza,miongoni mwa malaika wakuu walioasi wanataka kuuleta ufalme wao hapa duniani wakishirikiana na binadamu wachache wasiojua ukweli na wanaoujua wachache sana lakini kwa umakini na udanganyifu mkubwa sana wa kisayansi....

Wanataka watawale dunia na jambo hili litatokea siyo miaka mingi kutokea sasa maana wanamalizia tu na wanataka kuwaleta tena hao malaika kutoka walipo kupitia kinachoendelea kule kwenye mitambo yao ya LHC [Large Hadron Collider] kwenye project yao maarufu ya Cern ambapo wanataka kufanya kitu ambacho dunia haitakuja kusahau kamwe...

View attachment 503610 View attachment 503611
LHC

Sananda ni kiumbe wa roho ambaye anajifananisha na Yesu,picha inayotumika kwenye makanisa na ambayo watu wanaamini kuwa ni ya Yesu ni ya Sananda,kuna mengi kumhusu huyu lakini kwa hapa inatosha kusema hivyo.Watu wanadai ni picha ya Cecare Borgia lakini ukweli ni kwamba ni picha ya Sananda.Kiumbe huyu ni miongoni mwa wale malaika waasi na huyu atatumika kudanganya watu wakati watakapo fake ujio wa Yesu.....

View attachment 503607 View attachment 503608 View attachment 503609 View attachment 503609
Sananda...

Sanat Kumara ni Azazel ambaye hujulikana kama Satan Kumara maana jina lake la kwanza limebadilishwa tu herufi.Huyu inasemekana ni Shetani mwenyewe au ni second in command kwenye himaya yao hawa malaika waasi....

Nadhani nimekupa mwanga angalau kidogo....
Ahsante mkuu ,umenipa mwaga,km kuna nyongeza nitarudi ,namupitia kumsoma huyu Pindar na wenzake
 
Wakuu Guru Master na "Eiyer, umenipa somo murua sn. nimeanza kuwafatilia hawa watu since september 2009, lakini sikutaka jitanua zaidi ya freemason. na kweri nilikua mahili miongoni mwa wezangu, kumbe hata shule ya vidudu kuwajua hawa watu nilikua sijaanza. I see asante sana Mkuu. plse niongeze kwa tag list yako in case utatoa andiko kuwahusu hawa wapinga Kristu.
 
mkuu hii post yako sikuiona kabla sikajukiji hapo juu....

Umeelezea vizuri lakini Pindar anapokea maelekezo pia na siyo yeye anaamua kila kitu...

Hiyo Penis of the Draco ni Penis of the Dragon,hapo wakiwa wanamaanisha ile Obelisk iliyoko pale Manhattan ambayo inawakilisha uume wa Nimrod ambao haukupatikana wakati Semiramis alipokusanya viungo vya Nimrod baada ya kuuawa vibaya na babu yake.Semiramis ambaye anajulikana pia kama Queen of heaven naye anaabudiwa na vyama hivi vya siri na ndiye mwenye sanamu ile pale Manhattan inayojulikana kama statue of liberty....

View attachment 502566

Obelisk ya USA,New York..

View attachment 502567
Statue of Liberty,Manhattan USA...
kaka samahani naomba kama hutojali unielezee kwa kirefu kuhusiana na visa vya semiramis na nimrod
 
kaka samahani naomba kama hutojali unielezee kwa kirefu kuhusiana na visa vya semiramis na nimrod
Nimrodi ni mjukuu wa Ham mtoto wa Nuhu.Alikuwa ni mtuhodari sana na muwindaji mahiri sana.Vyanzo vingine vinaeleza kwamba,kwasababu ya watu kuanza kuenea baada ya gharika na wanyama kuazaliana kuliibuka kitisho kwa binadamu wa eneo la Babeli la kudhuriwa na wanyama wakati na Nimrod alikuwa akipambana na wanyama vilivyo na kuwa mtu muhimu sana katika jamii iliyomzunguka...

Alianza kua mtawala wa Babel hadi Ninawi na maeneo mengine ya jirani.Alimuoa Semiramis ambaye vyanzo vingine vinasema kwamba alikuwa ni mama yake.Alianzisha dini ya kuabudu sayari ambayo ilikuwa maarufu sana maeneo mengi ya dunia baadaye.Imani hii aliipata baada ya kuwasiliana na viumbe wa roho ambao ni wale malaika walioasi.Dini hii ilikuwa maarufu sana katika Babeli....

Baada ya watu kuwa wengi aliamua kujenga mnara ambao kama itatokea tena gharika basi watu wasife.Alijenga mnara mkubwa sana ambao ulikuwa ni mnara mrefu zaidi duniani kwa wakati ule.Pia hakutaka watu wasambae duniani kote bali wabaki pale pale ili kujenga jamii moja na yenye nguvu ikiwa na dini moja.Maelekezo yote haya aliyapata kutoka kwa malaika waasi ambao alikuwa akiwasiliana nao kwa njia mbali mbali kama vile maono na ndoto....

Dhana hii ya kuunda jamii moja yenye nguvu inayozungumza lugha moja na yenye dini moja ndiyo ipo hadi leo na ndiyo maana hata jengo la umoja wa ulaya limejenga likionekana halijamaliziwa wakimaanisha kudhamiria kukamilisha alichoshindwa kukikamilisha Nimrod.Pia,kitendo kilichotokea sept 11 kule Marekani ni ishara ya kuondoa mamlaka mbili zilizokuwa zikishindana na kubakisha moja ya shetani na ndiyo maana likajengwa jengo moja tu na likaitwa One World Trade center...

Turudi kwa Nimrod..
Babu yake ambaye ni Ham hakufurahishwa na imani hii,aliamua kumuua mwanae huyu na kumkatakata vipande vipande na kuvisambaza katika maeneo yote aliyokuwa akitawala Nimrod na kutoa agizo kuwa yoyote atakayeendelea kufanya ibada alizokuwa anazifanya Nimrod basi atafanywa kama kiongozi wao alivyofanywa...

Suala hili liliwafanya wakazi wa Babel wakaogopa lakini kwa muda tu.Mkewe Nimrod ambaye ni Semiramis alikusanya vipande vya mwili wa mumewe na kuvizika lakini kiungo cha uzazi cha Nimrod hakikupatikana na Semiramis akasema kuwa Nimrod amepaa kwenda kuishi juu na alama yake ni jua [Sun] na tangia hapo alama ya Jua ikawa ni alama ya Nimrod na akaanza kuabudiwa kama mungu na ndipo ibada ya kuabudu jua ilivyoanza na ikaonekana kuwa kiungo cha uzazi ni kitakatifu hivyo wakakitengenezea alama ya kukiheshimu kama alama ya imani yao na ndipo ilipotengenezwa Obelsk..

Obelisk hizi zipo maeneo mengi sana duniani kama vile St. Peter's square kule Vatican,Washingnton DC,Paris,Ufaransa na maeneo mengi kuonesha ni imani gani waliyonayo...

Baada ya miaka kupita Semiramis alipata ujauzito kwa namna ambayo hadi leo haijulikani lakini yeye akasema kwamba alikuwa amekwenda kumtembelea Nimrod mawinguni na akampatia ujauzito kwa njia ya ajabu hivyo hata atakachokizaa kitakuwa ni kitakatifu.Baada ya muda alimzaa mwana aliyejulikana kama Tamuz....

Tamuz,kama alivyokuwa "baba yake" naye alikuwa muwindaji mahiri sana lakini alikuja kuuawa na nguruwe pori siku ya ijumaa na waumini wa dini ile wakaamua kila ikifika ijumaa hiyo kwenye mwaka walikuwa hawali nyama kabisa kuenzi kifo cha Tamuz.Tamuz alichukuliwa kama |mwana wa mungu" [son of god] kwasababu ya maelezo ya mama yake ambaye alisema kuwa alikwenda mawinguni na kupewa ujauzito na Nimrod hivyo naye wakawa wanamuabudu...

Semiramis alikuja kufa na waumini wake waliamini naye kama ilivyokuwa Nimrod alikuwa ameenda kuishi na mumewe mawinguni na kuanzia hapo alama yake ikawa ni mwezi,mwezi ukawa kama mke na jua likawa kama mume kwakuwa lilikuwa linawakilisha watu hao muhimu mawili katika imani ya Babeli na ndipo ilipozaliwa ibada ya kuabudu vitu hivyo na kuviweka kwenye majumba ya ibada.....

Walitengeneza utatu wao ambao ulikuwa ni wa Nimrod,Semiramis na Tamuz,semiramis akajulikana kama malkia wa mbingu [queen of heaven]

Baadaye ilipoanguka mamlaka ya Babeli imani hiyo ilisambaa duniani kote na watu hao watatu walikuwa wakiabudiwa kwa majina tofauti tofauti.Mfano kule Misri waliitwa Isis [Semiramis] Osiris [Nimrod] Horus [Tamuz]....

Ni hayo kwa ufupi sana mkuu...
 
mimi naona kama kuna Ibada inayoweza kumpa mtu utajiri, haiba,kukubalika na jamii, power na mali halafu usidhuruke mwili wala kudhuru wengine inafaa. Bora tu hao kwa sababu kila binadamu anataka afya, utajiri, madaraka , mali, haiba na kukubalika. Maisha ni hapa hapa duniani kwingine ni imani tuu.
 
Umepapasa tu kuhusu ukweli wa dunia na anayeiendesha....

Endelea kujifunza na utajua hao Skull and Bones ni sisimizi tu,hata Freemason na Illuminati ni sisimizi tu...

Jifunze kuhusu Pindar utapata mwanga kidogo....
Mkuu away from Google una source yeyote ile inaweza upload
 
Mkuu Eiyer naona umewaacha wengi kwenye mataa kuhusu Pindar. Kifupi tu, Pindar ni kiongozi mkuu wa Illuminati hapa duniani. Kiongozi huyu anatoka katika familia 13 ambazo ndio waanzilishi wa Illumianti kwa sasa hivi inasadikika kuwa anatokea kwenye familia ya Rothschild. Pindar ni kifupi cha Pinnacle of the Draco, vile vile ikifahamika kama Penis of the Dragon. Kiongozi huyu ndio nguvu ya juu kabisa hapa duniani anayetawala (control) anayehakikisha kupanuka,na kuratibu mashambulizi ya ki-Illuminati na kutia hofu uma. Hizi familia 13 ni familia zenye nguvu ya kifedha na ushawishi mkubwa kwa serikali zote za dunia hii. Asili ya hizi familia si ya kawaida kwani wana vinasaba (DNA) za nyoka (Reptilian DNA)
Asante kwa lishe
 
Kwenye kifo cha JFK ni kwamba yule aliuawa akiwa anajua kuwa atauawa kwasababu naye alikuwa kwenye hivi vyama vya siri..

Haya mambo wengi hawajui lakini watu kama Osama,Sadam na Gaddafi ni watu ambao walikuwa wanajua destiny yao kabisa kwasababu kuna makubaliano maalum wanaingia nao kwa kazi maalum na wanajua kabisa watakapoishia..

Wanakaa mezani na kufanya mikakati na wanateuliwa watu kwaajili ya shughuli fulani ambayo wanajua kabisa itaishia wapi kwaajili ya kutengeneza mtazamo fulani katika jamii na mfano rahisi ni ishu ya Gadafi ambapo wengi wanaamini kabisa kuwa jamaa alikuwa ni adui wa Marekani na Ulaya na hichi ndicho wanachokitaka hawa "watu" ninyi muamini....

Hakuna kutokuelewana kokote kati ya Marekani na North Korea,wanatumia kanuni yao ya kijinga sana ambayo wana tengeneza tatizo kisha wanatoa suluhu ambayo inatoa matokeo wayatakao wao....

Unadhani vita ya dunia ya pili iliisha mwezi wa 11 tarehe 11 asaa 11 jioni kwa bahati mbaya?

Unadhani bomu la Marekani lililodondoshwa Hiroshima na Nagasaki tarehe 6 na 9 mwezi wa 8 mwaka 1945 lilikuwa bahati mbaya au vita kama unavyofikiria?

Tunatakiwa tujifunze kwanza basics za haya mambo ili tuanze kuelewa mambo mengine meengi sana kwakweli na ndipo kazi ilipo.....
Mkuu dondosha vitu wengine tupo ñyuma yako tatizo lugha
 
Back
Top Bottom