FY2021|22 HESLB imesajili wanafunzi wapya elfu 29 tofauti na elfu 32 wapya waliosajiliwa FY2016|2020

Daaaah, Umeongea pointi sana,

Mama anasukuma dude balaaa
 
mkuu umetisha sana
 
Stratergy walotumia n kugawa kidogokidogo, mm na classmates zangu( mechanical ,marine & mechatronics) hakuna aliyepata hata 90% , how will we study🤔 something is wrong with their staratergy , wengi hatotoenda kusoma

 
Inadaiwa 35 m sijawahi kulipa na sitilipa sababu ninao..... hujambo bwana mwita waitara.....
 
hongera mama, nani kama mama jamani.
 
Mnavyosifia utadhani Samia hakuwa sehemu ya serikali iliyopita duh, kashaanza kupora pesa za watu kwenye akaunti zao...kupitia tozo
 
Sio wote halafu mkopo wametoa nusu nusu mno that why wameongezeka eb ngoja batch zote ziiishe ndo tuongee vizuri

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Ni kweli hili nalo linaweza kuwa neno yaani unaweza kuta mwanafunzi ni masikini lakini kapewa hela ya accomodation na meal tena nusu na ada hapewi na unaweza kuta mwanafunzi kwao wanajiweza ila kapewa mkopo wote au asilimia kubwa.
 
Na hayo ndio makosa wanayofanya ccm kumpromotisana mama mapema mnooo tena mnooo ambayo sii nzuri

Mama awe makini sana
 
Wazee wa kusifia mmeanza
Mtasifia mpaka mama akikosea asijue kama kakosea, nyie hawa hawa ndo mlichangia JPM kukosea kwa sababu ya sifa zenu kusifia kila jambo ambalo wakati mwingine halina ulazima.
 
Sijasoma kabisa ila restructuring haiwezi kufanyika katikati ya mkopo elewa,

Kama ni 20% basi utapewa from first year on
Hahahahah mie ngoja nisubiri june 30,2022 tutajua ukweli upo wapi??
 
Ndo kwanza 37 elfu bado 50 elfu hawajapangiwa unaleta siasa hapa
 
Eb acha siasa kwa boom la wa 25 wawape nusu nusu watu 40 alafu useme wameongeza. nini sasa

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Kuna watu utakuta wamepewa hela asilimia kumi tu ya walichoomba .Mfano mtu anaomba milioni mbili unampa laki mbili halafu mbio unasema wakopeshwaji wameongezeka!!

Takwimu ziwekwe hivi waliopata mikopo asilimia Mia wangapi aasilimia 90 wangapi nk kusema tu wameongezeka na vigelegele na makofi yapigwe Bado

Ila napongeza serikali kwa kuwapa asilimia 100 mapema watoto wa familia Maskini waliokuwa wakihudumiwa na miradi ya kusaidia Maskini ya TASAF kwa Hilo naipigia makofi na vigelegele serikali

Huko kwingine mmmm

Na waandishi wetu wa habari hatuna nchi hii tuna reporters tu wa habari.Wao kwenye Hiyo press conference walitakiwa waulize wangapi aasilimia ngapi mumewapa mikopo asilimia 100 nk lakini wametoka press conference mbio na waliokopeshwa waongezeka!!! Very sad.

Ilisemwa kuwa waandishi wa habari wawe na digrii Sasa hivi wanazo digrii lakini ukiwapeleka press conference wako hopeless hawawezi uliza hata maswali ya maana Kama wenzao wa BBC,CNN ,Voice of America,Sauti ya Ujerumani,Aljazeera no wa kwetu so hopeless
 
Kuna watu utakuta wamepewa hela asilimia kumi tu ya walichoomba. Mfano mtu anaomba milioni mbili unampa laki mbili halafu mbio unasema wakopeshwaji wameongezeka!...
Mkuu naomba ujibu hili najua unauwezo nalo,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…