kibobori mahoro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 7,452
- 10,785
Maajabu, Israel inunue silaha USA na kuziuza China?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli hayo mataifa ni useless bora yawe AnnexedIsrael is now China's second-largest foreign supplier of arms after Russia with China having purchased a wide array of military equipment and technology, including communications satellites China is a vital market for Israel's aerospace and defense industry.
Wavaa kobazi kabla ya kujiuliza Israel inatoa wapi Jeuri, uliza mchango wa Mataifa ya wavaa kobazi duniani ni upi zaidi ya Ugaidi
Mbona simple tu China wako vizuri kwene technologia ya digital information siyo military equipmentUsiwe unaropoka ropoka tu.
Lete chanzo cha taarifa hapa.
JF siku hizi sijui imekuaje aise!?
China imeanza kuunda silaha tangu enzi hizo za Ming dynasty ije inunue silaha kwa Israel!?
hawezi elewa gaidi huyoYaani hata hilo unataka source? Kama ni mtu unayeishughulisha akili tako, hilo lipo wazi sana.
Na ilikwishatangazwa mara nyingi na vyombo vya habari vya kimataifa, pale China ilipofanikiwa kununua tekinolojia ya mawasiliano toka Israel, baada ya kugonga mwamba kuipata tekinolojia hiyo toka USA.
Ufahamu kuwa Israel inauza silaha kwa mataifa mengi, mpaka ya kiarabu. Inauza silaha pua kwa Marekani, japo yentewe inanunua nyingi zaidi katika thamani kutoka Marekani. Israel inatenfeneza mpaka het fighters. Ni nchi ndogo katika ukubwa wa eneo na idadi ya watu, lakini ni kubwa sana katika tekinolojia.
Chukua na hiyo"
"Meanwhile, one distinct advantage Israel holds is its air force, considered one of the most advanced in the world."
Hivyo msishangae Iran kupigwa na marubani wanawake. Hawa waisrael katika tekinolojia ya vita vya anga wapo juu sana.
Ya kwanza awesome muislam tena wa swala tano.Maana ya GAIDI..?
Taja sifa 3 za GAIDI.
Ushawahi sikia neno Necessity is mother of all invention?Kwa hiyo,Israli anamuuzia China stock yoote, halafu yeye anasaidiwa na USA?
Hivi kwa nini USA amsaidie Israel? Na sio kumsaidia tuu USA anamlinda Israel na maslahi yake.Kwa hiyo,Israli anamuuzia China stock yoote, halafu yeye anasaidiwa na USA?
Hainunui silaha ila inanunua teknolojia.............Usiwe unaropoka ropoka tu.
Lete chanzo cha taarifa hapa.
JF siku hizi sijui imekuaje aise!?
China imeanza kuunda silaha tangu enzi hizo za Ming dynasty ije inunue silaha kwa Israel!?
Sasa hoja yako ni nini? mbona sikuhizi watu mnachanganyikiwa sana, sasa israel kumuuzia china silaha ndio kitu cha ajabu?Israel is now China's second-largest foreign supplier of arms after Russia with China having purchased a wide array of military equipment and technology, including communications satellites China is a vital market for Israel's aerospace and defense industry.
Wavaa kobazi kabla ya kujiuliza Israel inatoa wapi Jeuri, uliza mchango wa Mataifa ya wavaa kobazi duniani ni upi zaidi ya Ugaidi
Yaani mpaka inakeraHumu siku hizi pamekua kama facebook, kizazi kilichonyea mapot
Jielimishe.Maajabu, Israel inunue silaha USA na kuziuza China?
Duh!! Mbona unaonesha uelewa duni?Kwa hiyo,Israli anamuuzia China stock yoote, halafu yeye anasaidiwa na USA?
JF siyo ya porojo unaokota habari kwenye vijiwe vya Mbege unaleta JF china anateneza silaha zake mwenyewe leta ushahidi au endelea kuwadanganya wavaa misaba wenzako.Israel is now China's second-largest foreign supplier of arms after Russia with China having purchased a wide array of military equipment and technology, including communications satellites China is a vital market for Israel's aerospace and defense industry.
Wavaa kobazi kabla ya kujiuliza Israel inatoa wapi Jeuri, uliza mchango wa Mataifa ya wavaa kobazi duniani ni upi zaidi ya Ugaidi
Asante kwa Kujazia nyama..Jielimishe.
Israell inanunua silaha toka USA, lakini pia USA ndiyo nchi inayoongoza kununua silaha toka Israel.
The main destination of Weapons exports from Israel are: United States ($123M), Philippines ($65.7M), India ($41.1M), Thailand ($27.1M), and Spain ($12M). The fastest growing export markets for Weapons of Israel between 2021 and 2022 were El Salvador ($8.46M), Australia ($6.53M), and Brazil ($6.46M).
![]()
Weapons in Israel | The Observatory of Economic Complexity
Find the latest exports, imports and tariffs for Weapons trade in Israel.oec.world
Does China buy weapons from Israel?
China had looked to Israel for the arms and military technology it could not acquire from the United States, Europe and Russia. Israel is now China's second-largest foreign supplier of arms after Russia with China having purchased a wide array of military equipment and technology, including communications satellites.
![]()
China–Israel relations - Wikipedia
en.m.wikipedia.org
Hao ni walokole chochote wakisikiacho kizur cha isreli hata kama ni cha uongo kiasi gani watakuja nacho mbio.. isreli siku us akikata mrija pale wa silaha amekwishaUsiwe unaropoka ropoka tu.
Lete chanzo cha taarifa hapa.
JF siku hizi sijui imekuaje aise!?
China imeanza kuunda silaha tangu enzi hizo za Ming dynasty ije inunue silaha kwa Israel!?
Angalia trade btwn china and Israel. Wanafanya biashara ganiUsiwe unaropoka ropoka tu.
Lete chanzo cha taarifa hapa.
JF siku hizi sijui imekuaje aise!?
China imeanza kuunda silaha tangu enzi hizo za Ming dynasty ije inunue silaha kwa Israel!?
Jibu hoja yangu kwa hoja mbadala tafuta nchi za wavaa kobazi ulinganishe na trade za na ChinaJF siyo ya porojo unaokota habari kwenye vijiwe vya Mbege unaleta JF china anateneza silaha zake mwenyewe leta ushahidi au endelea kuwadanganya wavaa misaba wenzako.