G7 waazimia kuongeza jitihada baada ya Urusi kuanza kushambulia uraiani

Jamaa anapiga mzinga kwenye bembea za watoto kisa ameshindwa kwenye frontline.
Kuna taarifa nimesoma sehemu, alipiga mizinga 84, ila 43 ikapanguliwa yote kisa ililenga maeneo ya kijeshi, ndio jamaa wakapata hasira wakaelekezwa kwa raia.

Hao watoto wamelelewa na MAGAIDI wakikua wakubwa nawao watakua MAGAIDI

Kwahio acha wawahiwe kabla hawajaja kutusumbua huku DUNIANI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawezi akaogopwa maana ameshindwa kuparamia kataifa kadogo jirani, kamemzingua hadi ameamua kutupa mabomu uswahilini....
Ukraine wanatumia maeneo ya kiraia kudicha silaha na kama kambi za kijeshi. Mrusi anawafuata hukohuko na wanabaki kukamatana wenyewe uchawi eti nani anayewapa Russia habari zao za kiintelejensia
 
Ukraine wanatumia maeneo ya kiraia kudicha silaha na kama kambi za kijeshi. Mrusi anawafuata hukohuko na wanabaki kukamatana wenyewe uchawi eti nani anayewapa Russia habari zao za kiintelejensia
Wanatumia maeneo ya kiraia kuficha silaha na kufanya kambi za jeshi za muda. Zikkllipuliwa wanalialia na kudanganya dunia eti Russia napiga maeneo ya kiraia.
 
Hao watoto wamelelewa na MAGAIDI wakikua wakubwa nawao watakua MAGAIDI

Kwahio acha wawahiwe kabla hawajaja kutusumbua huku DUNIANI

Sent using Jamii Forums mobile app

Bora wewe unaitoa kabisa bila unafiki kama ndugu zako kwenye dini.... ha ha ha takbirrr akbar akbar
 
Ukraine wanatumia maeneo ya kiraia kudicha silaha na kama kambi za kijeshi. Mrusi anawafuata hukohuko na wanabaki kukamatana wenyewe uchawi eti nani anayewapa Russia habari zao za kiintelejensia

Mumeshindwa kupiga kambi za kijeshi ambazo ndio zenye silaha kabisa mnafuata uswahilini...
 
ni aibu jeshi namba mbili duniani kupigana na kanchi kadogo na kushindwa kudili za military bases badala yake anarusha mabomu hovyo
Hapo kichwa cha kenge kimeshushiwa kwenzi tu,kenge wengine na mijusi wanalalama huku aliyeshukiwa kwenzi akiendelea kujidai jeuri hata pale atakapopata ubongo umemwagika nje ya fuvu lake🏃🏃
 
Mkuu ubalozi wa Germany Ukraine umepigwa na bomb na Urusi.
Hiyo ni kama Germany wenyewe wameshambuliwa, its a direct provocation.

Article No 5 ya NATO inasemaje??

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Crimea ipo Russia mkuu, daraja limejengwa na Putin mwenyewe.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu ubalozi wa Germany Ukraine umepigwa na bomb na Urusi.
Hiyo ni kama Germany wenyewe wameshambuliwa, its a direct provocation.

Article No 5 ya NATO inasemaje??

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app

Kombora lilipiga jengo lililokua na consulate ya Germany embassy ambayo ilitelekezwa kitambo, acheni kujikweza, hamna jeuri ya kupiga ubalozi.
 
Mkuu , ata Bucha walizusha kwamba warusi wameua watu wakawatupa barabarani na kuwazika wengine kwenye makaburi ya pamoja then Warusi wakawithdraw..but Urusi wakaomba UN security council ifanye uchunguzi ukihusisha independent organ Ili kama wao wanahusika wachukuliwe hatua..tangu Urusi waombe haikuweza fanyika Zaidi ya miezi minne now coz dunia nzima inajua ukweli wahusika wakuu wa hayo mauaji ni Ukrain..na hata hao UN ni Us puppets ...so kwa hizo picha unazopost ni picha ambazo Nazis wamezipost Ili dunia ipate sympath..slogan kuu ya Nazism ni kuwafanya watu watii amri kwa nguvu yeyote...juzi tu hapo baada ya Warusi kujiondoa Liman wamechinja sana watu ambao walihisi ni pro Russians..but hutaona. Popote hizo main stream media kama BBC, cnn zikicoment chochote. So cha kukushauri jaribu kufuatilia Zaidi hiyo vita kwa undani Ili usijejikuta unashabikia mambo usiyoyafahamu
 
Well put Bro, mtoa mada akibishaKwa hoja niite mbwa niko pale
 
Kwamba huyu hapa..Huyu jamaa ndo aliyebadilisha uelekeo wa vita, ambapo mwanzoni Urusi ilikuwa inapigana vita kwa kuzingatia sheria za umoja wa mataifa, wakati Ukrain wanapigana vita kama magaidi, sasa hv anakula Sahani moja na hao nguruwe, ukirusha kombora Moja Urusi unarusha makombora 100
 
Acha tutunze hii kwa matumizi ya baadae.
 
Mjomba kwani wewe ni Mara yako ya kwanza kuona ukatili? wacha wauane ni mara ngapi uliwahi lalamika hivi.acheni Vita iendelee
 
Wakome na bado,,,,,....wakalie kwa mashoga wenzao wawape misaada na bado watanyooshwa tu
 
Ndo anapigwa sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…