Alubati
JF-Expert Member
- May 29, 2016
- 6,535
- 14,840
HomeChuma hicho
Tosamaganga secondary school
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HomeChuma hicho
Tosamaganga secondary school
Mkuu Mimi nimesoma international school of Tanganyika.Kmmk😂 97.20 million mtu analipa ada tena ya mtoto mmoja na hapo ukute kabarikiwa watoto wanne
Kwa lugha rahisi kabisa ni kwamba kwa mwaka analipa ada sawa bna bei ya Toyota IST ishirini na saba pamoja na registration fees na kila IST inaweza kuwekwa mafuta lita 10 kuisogeza
Hilo ni jengo la utawala?Mkuu hiyo ni moshi ufundi ya around 2005 mpak 2016.
Nimetoka hapo 2016.
Wapi Dada Asha
Wapi wanangu wa Karume 33
Wapi wazee wa ndorobo
Wapi wazee wa Karanga mtoni.
Baba yangu mzazi na baba mdogo wamesoma hapa Ilboru miaka ya 70. Baba alinisimulia wakiwa form III ndo uwanja wa Sheikh Amri Abeid unajengwa ikabidi wanafunzi Arusha nzima wawe wana zamu ya saidia fundi. Nakumbuka alitaja mwaka 1976Huwezi amini lakini ukweli ni kwamba shule ya wavulana Ilboru mwaka 2020 ilikua ni shule ya 1 Arusha ya 2 kitaifa ilikuwa na division two moja tu zingine zote (more than a hundred students) walipata one division one za sabaa zilikua 57
View attachment 3047294
Kuingia hapa form five ilikuwa kwa mbinde sana. Walioweza walikuwa vipanga kwelikweliView attachment 3047322Nyumbani kwa wazumbe
Mzumbe Boys
Hii shule pia zamani ilikuwa jamii ya Kantalamba.. kilimo kingi sana. Miaka ya 90 hadi mwanzoni mwa 2000 walikuwa na mkuu wao wa shule anaitwa Kibatala. Alijulikana na wanafunzi wengi wa kanda ya kaskazini. Ilboru walikuwa na mtu anaitwa Chifu.. huyu Chifu stori zake za unoko zilienea pia Arusha.Karatu Boys Secondary school-Arusha
View attachment 3047356View attachment 3047357View attachment 3047358
Nina picha ya hii shule. NitaitupiaNa sisi wa private tuweke zetu. Ahlulbayt islamic center. Hapo ni Ahlulbayt islamic seminary kigoma huko kwa waha
View attachment 3047366
Lumbila imesaidia sana Vijana kupona 😜Lumbila kwa sana mitaa ya kalobe na nzovwe kutafuta sherehe kula vizuri ila ushauri mwingi kutoka kwa Modesta ulinirudisha kwenye mstari
Yeah adminstration block hilo, ila kwasasa limekarabatiwa.Hilo ni jengo la utawala?
Where Galax boys lives
Nenda Tosamaganga mzee utaona Kama ni ubatili au ni ubatuliSecondary yoyote yenye ghorofa hiyo ni batili
Mzumne ni ghorofa pia😀Mzumbeni nyumbani kwa wazumbe ulikua unakaa kijiji gani kipindi upo hapo s 0140
View attachment 3046723
Nililima sana na kufagia mabanda ya ng'ombe hapa.Korogwe girls ya pale Tanga
View attachment 3047301
Hiki ni chuma kwerikweriChuma hicho
Tosamaganga secondary school
Hii ni ile ya moshi kule kwa mrema?Scolastica secondary school
View attachment 3047324
Ndio mkuuHii ni ile ya moshi kule kwa mrema?
Dungu jeshi hili..napakubali since day oneVita ni vita mura hapo ni Musoma ufundiView attachment 3046734