Gallery ya shule mbalimbali za Sekondari Tanzania

Gallery ya shule mbalimbali za Sekondari Tanzania

2022-10-28.jpg
2019-07-12.jpg

International school of Tanganyika
Shule yenye gharama zaidi Tanzania
 
Hii siku hizi imekuwa boys na A-level pekee yake? Nilipiga hapo kidato Cha tano na sita ila wakati huo ilikuwa mchanganyiko wafulana na wasichana kuanzia kidato Cha kwanza mpaka Cha sita. Moja ya shule nzuri na kongwe kabisa. Ilianza rasmi 1906 ikiwa ni shule ya mission kabla ya kutaifishwa na serikali ya Tanzania.
Serikali ilifanya makosa makubwa sana kutaifisha shule za mission au watu binafsi, walikuwa wanaendesha shule kwa gharama zao bila kutegemea serikali, ukiangalia vizuri ulikuwa upuuzi mtupu, walitakiwa kujenga zao
 
Back
Top Bottom